Kitu gani kitanizuia kuwa Kama Elon Musk

Kitu gani kitanizuia kuwa Kama Elon Musk

Habari Wana jf

Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi

👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami sikuchelewa nikafuta account ya Facebook na Instagram
👉Elon Musk pia wakati anasimulia kuhusu story yake ya Maisha alisema at 13 alikuwa amejifunza coding lakini pia alikuwa anaweza kutengeneza application hapa nikapishana nae.
👉Kinacho ni inspire zaidi ni kwamba Elon ni kijana wa kiafrika tu from South Africa aliyesoma physics akaielewa.

Basi niambieni ni kitu gani kitanizuia Mimi kuwa Kama Elon Musk miaka 10 baadaye
Hakuna kinachoweza kukuzuia kama utakuwa na discipline kwenye unachokifanya,soma kuhusu discipline katika mafanikio,au soma kitabu cha poor dad/ rich dad kama upo vizuri kwenye kingereza au soma vitabu vyaa Joel Nanauka Ameandika vitu vya msingi Sana na kiufupi ukiweza kuviishi basi after 10 years insha'Allah you'll be like/more than Elon Musk.
 
Hapo kwenye kipengele cha kuwa programmer/coder umekiondoa ... kwanini.?

Je kama Elon kakatiliwa kuleta huduma yake ya teknolijia ya internet hapa Tz..
Unafikiri wewe serikali yao itakuruhusu/support wewe i.e (kukupa vibali) kuzifanya project kama anazozifanya elon huko marekani.??
Kwenye serikali yao umefika mbali. Anzia serikali yetu hiihii ya tz. Ukigundua jambo ambalo litakuwa na manufaa kwa jamii hupewi vibali. Watu wanajali sana matumbo yao.

Hii inchi sio kwamba haina wavumbuzi. Wavumbuzi wapo tena wakubwa tu. Sema wanazimwa na wazee wenyematumbo yao huko juu. Haya mambo yalimfanya hadi Benjamini wa NALA akapelea operations zake Kenya. Hivi kwa watu wenye akili timamu unaweza kukataa huduma kama starlink? Si upumbavu huo.
Wenye akili ndogo wanaongoza wenye akili kubwa. Nay.
 
Misihitaji kuwa Kama Elon Musk maana hata nikitaka siwezi fikia hata Robo ya utajiri wa Musk.

Minataka vitu vichache tu kwanza mchongo naousikilizia utusue niwe na uhakika wa mshahara wa 600,000 Tzs kila mwezi baada ya hapo nikamilishe ka office set-up kangu Geto, nimlipe developer million 4 yake anikamilishe PRODUCT yangu..

Targey users kati ya population ya watu 60 Million Tz at least ni 20 Millions ni target users/market.

Katika watu 20 million Kuna wasio na smartphone, wasuokuwa tayari kulipa huduma nk so nahitaji 1% tu ya users katika hio population ambao watu 200,000 (Users).

Watu 200,000 ambao target users waweze kunilipa 2,000 Tzs kilamoja kila Mwezi (Paying Users)

So, 200,000 (Users) × 2000 Tzs

= 400,000,000/Month Revenue

Kila Mwezi tuingize Million 400 at least kutoka kwa paying users.

But, hii ni traction kubwa kwa kwa nchi especially Tz so kwa kwakuanza tutapunguza target at least 10% ya paying users 200,000 ambao ni 20,000 tu👇

20,000 users × 2000 Tzs = 20,000,000

Hi target attainable kabisa kupata paying users 20,000 ambao wanaweza kulipa kutoka na hitajio la huduma kuwa kubwa.

All target kukusanya revenue ya at least 300 Million mpaka 500 Million tu hata Kama million 200 aise itanifanya nime Elon Musk of my own😂

Developer nikashampa chake kazi zote zitaisha Geto Designers mwenyewe, Digita marker mwenyewe, Social media manager mwenyewe, Financier mwenyewe mpaka mzigo uki Scale na kunishinda kuupush mwenyewe nitatoa ajira.

😂😂😂Muombe Mchongo wa shirika utoboe wazee
 
Hivi ule mziki wa wanandoto upogo kweli nimefikilia mbali miaka ile najisemea mpaka nifke miaka fulan au kwenye maisha yangu nataka niwe ruban nkaishia form 4 failure 😀 na life goes on sikukatish tamaa mtu kuwa role model wako haimaanishi utakuwa kama yeye zaidi pambana tu ukipata uwezo wa kubadlisha mulo kila siku ukapata hat kujenga ukawa na biashara yako bila kusahau ndinga kama vijana wasemavyo bas maisha unakuwa umeyakamilisha kibongabonga ila kusema uwe kama huyo unaemsemea amka kumekucha usijejikojolea kwa ndoto mkuu 😀
 
Lack of capital
Low science and technology
Lack of skilled labor
Taxation
Low government support
 
Misihitaji kuwa Kama Elon Musk maana hata nikitaka siwezi fikia hata Robo ya utajiri wa Musk.

Minataka vitu vichache tu kwanza mchongo naousikilizia utusue niwe na uhakika wa mshahara wa 600,000 Tzs kila mwezi baada ya hapo nikamilishe ka office set-up kangu Geto, nimlipe developer million 4 yake anikamilishe PRODUCT yangu..

Targey users kati ya population ya watu 60 Million Tz at least ni 20 Millions ni target users/market.

Katika watu 20 million Kuna wasio na smartphone, wasuokuwa tayari kulipa huduma nk so nahitaji 1% tu ya users katika hio population ambao watu 200,000 (Users).

Watu 200,000 ambao target users waweze kunilipa 2,000 Tzs kilamoja kila Mwezi (Paying Users)

So, 200,000 (Users) × 2000 Tzs

= 400,000,000/Month Revenue

Kila Mwezi tuingize Million 400 at least kutoka kwa paying users.

But, hii ni traction kubwa kwa kwa nchi especially Tz so kwa kwakuanza tutapunguza target at least 10% ya paying users 200,000 ambao ni 20,000 tu👇

20,000 users × 2000 Tzs = 20,000,000

Hi target attainable kabisa kupata paying users 20,000 ambao wanaweza kulipa kutoka na hitajio la huduma kuwa kubwa.

All target kukusanya revenue ya at least 300 Million mpaka 500 Million tu hata Kama million 200 aise itanifanya nime Elon Musk of my own😂

Developer nikashampa chake kazi zote zitaisha Geto Designers mwenyewe, Digita marker mwenyewe, Social media manager mwenyewe, Financier mwenyewe mpaka mzigo uki Scale na kunishinda kuupush mwenyewe nitatoa ajira.

😂😂😂Muombe Mchongo wa shirika utoboe wazee
Oya, yani ni developer system kwa 4M hihiyo system inakuingizia 400M per month?, lbd iyo system iwe open source ni edit logo na footer.
 
Oya, yani ni developer system kwa 4M hihiyo system inakuingizia 400M per month?, lbd iyo system iwe open source ni edit logo na footer.
Mkuu emu soma nilichoandika mzee 400M hio ni Goal kwani FB Billions inayoingiza Leo inalingana na thamani ya first time walivyo develop.

Nimeandika first target ni Users 20,000 je platform iliyofanyiwa development kwa million 4 haiwezi bena traffick ya watu 20,000 Kama jibu Yes hao watu wakilipa 2000 si revunue ya 20,000,000 kwa mwezi (Hii ni Business side)

Wewe inazungumzia SCALABILITY kufikia traffic ya paying users 200,000 ambao watareta hio 400M/Month hio sio platform ya Million 4 tena lazima ifanyiwe maboresho ambayo itavuka hata 50M kumbuka tushaanza kuingiza faida na pale chini nimekuandikia ikianza Scale nitaanza kuajiri so Programmers watakua Full Employed ku-deal na system.

So sijaacha kitu kwenye Data
 
Mkuu emu soma nilichoandika mzee 400M hio ni Goal kwani FB Billions inayoingiza Leo inalingana na thamani ya first time walivyo develop.

Nimeandika first target ni Users 20,000 je platform iliyofanyiwa development kwa million 4 haiwezi bena traffick ya watu 20,000 Kama jibu Yes hao watu wakilipa 2000 si revunue ya 20,000,000 kwa mwezi (Hii ni Business side)

Wewe inazungumzia SCALABILITY kufikia traffic ya paying users 200,000 ambao watareta hio 400M/Month hio sio platform ya Million 4 tena lazima ifanyiwe maboresho ambayo itavuka hata 50M kumbuka tushaanza kuingiza faida na pale chini nimekuandikia ikianza Scale nitaanza kuajiri so Programmers watakua Full Employed ku-deal na system.

So sijaacha kitu kwenye Data
Karibia wote walio success kwenye Tech industry wali code product zao wenyewe hata iyo FB ali code mwenyewe.

Watu wengi hua wanadhani programming ni rahisi
 
Habari Wana jf

Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi

👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami sikuchelewa nikafuta account ya Facebook na Instagram
👉Elon Musk pia wakati anasimulia kuhusu story yake ya Maisha alisema at 13 alikuwa amejifunza coding lakini pia alikuwa anaweza kutengeneza application hapa nikapishana nae.
👉Kinacho ni inspire zaidi ni kwamba Elon ni kijana wa kiafrika tu from South Africa aliyesoma physics akaielewa.

Basi niambieni ni kitu gani kitanizuia Mimi kuwa Kama Elon Musk miaka 10 baadaye
mechanism iliyomfanya afike hatua ile unaijua?
 
Karibia wote walio success kwenye Tech industry wali code product zao wenyewe hata iyo FB ali code mwenyewe.

Watu wengi hua wanadhani programming ni rahisi
So kweli hio Ni kipindi Web 2 inaanza rise tu ila baadae mpaka Sasa waliofanikiwa wengi ni non technical broz hata kwa ecosystem ya Tz Startup zinazofanya vizuri Founder sio Coder mfano Benjamin was NALA, Kuna dogo ana startup yake ya Fintech anai push vizuri mwaka huu amepata Fund ya 100M sio Coder, Kuna jamaa mwengine namjua sio Coder nae Fintech, zipo startup hata digita product nyengine Founder sio Coder.

Uwezekano wa Coder kufanikiwa kibiashara mgumu kwasababu always wengi wanakuwa interested ya kuona Codes tu zina flow kwenye laptop zao Hobby yao kuona Code zinaleta uhai wa wazo na si kuanza kukomaa na kuendesha kitu.
 
Karibia wote walio success kwenye Tech industry wali code product zao wenyewe hata iyo FB ali code mwenyewe.

Watu wengi hua wanadhani programming ni rahisi
Kingine kufanikiwa kwenye Tech kubuni solution inayohitajika sio kuwa Fundi wa Code Mange kimambi anaingiza pesa nyingi kwa App ambayo hata UX/UI yake iko hovyo ila Traffic yakushato na Mange wala sio Developer.
 
Wivu tu ,wa mafanikio.Ujue Marc alifaninikwa kabla ya Elon.
Ila Elon kakaza yule fala kafurukuta mpaka kawa Top minimeanza kumjua 2016 baada ya kutajwa kama mtu mwenye akili imagine hiko kipindi hata 20 Bora alikuwa hayupo Kama si 30 ila kafurukuta mpaka ka-prove
 
Ila Elon kakaza yule fala kafurukuta mpaka kawa Top minimeanza kumjua 2016 baada ya kutajwa kama mtu mwenye akili imagine hiko kipindi hata 20 Bora alikuwa hayupo Kama si 30 ila kafurukuta mpaka ka-prove
Mimi nilikuwa ninamfuatilia,ila nilipojua yupo dhaifu sana ,simfuatilii tena.Kuna kipindi alisema anatoka Twitter yaani anafuta page yake,akafuta baada ya masaa akarudi tena.Kwenye kutengeneza utajiri yupo vizuri.Huwa anakurupuka pia ,kuna kile kipindi aliwafutia watu blue tick hadi walipie,mara wenye followers kuanzia million akawarudishia tena.Ni kama dishi lake limeyumba kidogo.
 
Back
Top Bottom