900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
ndoa ni taasisi hivyo wengi akili zao hazimudu changamoto za kuendesha taasisi hizi kwa ufanisi Mungu asipoingilia kati,baada ya muda kila moja atataka uhuru awe peke yake kama ilivyokuwa mwanzoMimi ndoa bana,
Niliifurahia mwanzoni sana,semina zake mpaka kuiishi kwa muda hivi,
Ila kwa sasa,huwa sishauri mtu Kuoa au kuolewa,
I’ll remain divorced the rest of my life,
Hii ni exclusive kabisa toka kwangu.
Hii kitu iliwai kunifikirisha sana.....Semina za kikatoliki zile
Alafu boya tu kachukua wife mazima,
Nasikia ana mtoto sasa,
Unaipendaje ssa kwa mfano,
Napenda pesa sasa,haijawahi nitupa.
Swali zuri sanaHii kitu iliwai kunifikirisha sana.....
Kwamba, kasisi hajaoa na haruhusiwi kuoa, hana mke na hajakaa kwenye ndoa.
Then eti kasisi anakuja kushauri wana ndoa ama kutoa semina kwa wanna ndoa, kwakweli hili mimi niliwai kupingana nalo mbele ya Paroko.
Na nilimuuliza kwamba, kama yeye hauyo kwenye ndoa je, anawezaje kuzijua changamoto na maumivu ya wana ndoa..??
Semina za kikatoliki zile
Alafu boya tu kachukua wife mazima,
Nasikia ana mtoto sasa,
Unaipendaje ssa kwa mfano,
Napenda pesa sasa,haijawahi nitupa.
Ulizungusha ZEROMimi nilitarajia ningepata Division one Olevel lakini nilichopata siku ya kutangazwa matokeo Adi leo sija amini.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
yaanibikira tu uolewe?Nilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
yaanibikira tu uolewe?Nilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
me bwana kuhusu k nilikua nikisimuliwa kuhusu utamu wake nashindwa imagineNi kitu gani katika maisha yako uliwahi kukifurahia kabla lakini ukaja kukuta sivyo kabisa na matarajio kiasi cha kukukata stimu kabisa.
Mfano mimi kipindi tunasoma boarding nakumbuka ilikuwa jumatano iyo siku inakuwaga siku ya kula pilau pale shuleni sasa bhana siunajua mambo ya boarding zikifikaga siku za pilau na nyama mnakuwaga mnaona muda hauendi kwa jinsi mnavyongojea kufinya ubwabwa,
sasa nakumbuka tupo zetu hosteli ndani tunasubiria time ifike tu tukafinye zetu kichele, basi muda wote tupo ndani kule tunacheza miziki balaa full mijasho yaani full kujitupatupa na minyimbo ya TMK wanaume " hakuna kulala hakuna kulala hatakama hujala hatakama hujala" yaani ilikuwa full shangwe, sasa bhana time ikafika kwenda zetu dining tukakuta MAKANDE. bhana tulikaa chini tumenyong'onyea yaani ilikuwa kama kuna msiba.
Professor anayefundisha maengineer na yeye ni lazima awe engineer?Hii kitu iliwai kunifikirisha sana.....
Kwamba, kasisi hajaoa na haruhusiwi kuoa, hana mke na hajakaa kwenye ndoa.
Then eti kasisi anakuja kushauri wana ndoa ama kutoa semina kwa wanna ndoa, kwakweli hili mimi niliwai kupingana nalo mbele ya Paroko.
Na nilimuuliza kwamba, kama yeye hauyo kwenye ndoa je, anawezaje kuzijua changamoto na maumivu ya wana ndoa..??
Sina cha ziadayaanibikira tu uolewe?
Au una nini cha ziada?
basi mshikaji hakua na tatizo loloteSina cha ziada
Mwali, naona umeianza Christmas kwa uchungu zaidi....😂😂
Anyway, pole sana
Hakuna nilikoandika ana tatizobasi mshikaji hakua na tatizo lolote
Pole na kicheko 🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana.
Savage..pole sanaNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Savage..pole sana