Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana kaka
NilimuachaAlikuacha au ulimuacha
Unahisi utapandwa kichwani?[emoji3]Mi mchumba angu kanizidi kidogo shule.....Sasa Kuna time machale huwa yananicheza cheza kishenzi[emoji848]
Napata pata kidogo vimashaka ila huwa najicounsel tuUnahisi utapandwa kichwani?[emoji3]
Mi mchumba angu kanizidi kidogo shule.....Sasa Kuna time machale huwa yananicheza cheza kishenzi[emoji848]
Alikujibu niniHii kitu iliwai kunifikirisha sana.....
Kwamba, kasisi hajaoa na haruhusiwi kuoa, hana mke na hajakaa kwenye ndoa.
Then eti kasisi anakuja kushauri wana ndoa ama kutoa semina kwa wanna ndoa, kwakweli hili mimi niliwai kupingana nalo mbele ya Paroko.
Na nilimuuliza kwamba, kama yeye hauyo kwenye ndoa je, anawezaje kuzijua changamoto na maumivu ya wana ndoa..??
Iyo code imekuchenga, kakuta mechi inapigwa live kutoka eneo la tukio.Alikuwa anatumikaje mkuu ambayo unaona ni zaidi ya kucheat?
Hahahaha,live kutoka mkapa stadiumIyo code imekuchenga, kakuta mechi inapigwa live kutoka eneo la tukio.
Usikate tamaa kajaribu tena
"kilimo Cha matikiti maji kina hela"
Kilicho nikuta huko shambani mpk leo sitakagi kushika jembe[emoji17][emoji29][emoji29][emoji29]