Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🅿🅴🆂🅰 🅽🅸 🆁🅰🅵🅸🅺🅸 🆆🅰 🅺🆆🅴🅻🅸Semina za kikatoliki zile
Alafu boya tu kachukua wife mazima,
Nasikia ana mtoto sasa,
Unaipendaje ssa kwa mfano,
Napenda pesa sasa,haijawahi nitupa.
Daaah aseeh alikuta virgin af akakutema, kweli n kolo huyo.Hahahahhahh boya yule kaniacha
Never say NeverMimi ndoa bana,
Niliifurahia mwanzoni sana,semina zake mpaka kuiishi kwa muda hivi,
Ila kwa sasa,huwa sishauri mtu Kuoa au kuolewa,
I’ll remain divorced the rest of my life,
Hii ni exclusive kabisa toka kwangu.
Joka Jeusi...kashakupa jina ..nadhani unalijuaNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Mke kabisa,Hawa wanawake wana matatizo kweli kweli.
Ulioa kabisa au mlikuwa mbioni?
Changamoto kweli kweliHii kitu iliwai kunifikirisha sana.....
Kwamba, kasisi hajaoa na haruhusiwi kuoa, hana mke na hajakaa kwenye ndoa.
Then eti kasisi anakuja kushauri wana ndoa ama kutoa semina kwa wanna ndoa, kwakweli hili mimi niliwai kupingana nalo mbele ya Paroko.
Na nilimuuliza kwamba, kama yeye hauyo kwenye ndoa je, anawezaje kuzijua changamoto na maumivu ya wana ndoa..??
Mwenyewe unajua unaoa,kumbe wenzio wanacheza game,mkuu hebu tuelezee kilikutokea kitu gani hicho kilichokufanya uione ndoa mbaya
This is it,I say,Never will I marry again,Never..Never say Never
Alikuwa anatumikaje mkuu ambayo unaona ni zaidi ya kucheat?Mwenyewe unajua unaoa,kumbe wenzio wanacheza game,
Ili wapande thamani,
Unatumika kama Ngazi hivi ya Kupandia sehemu,
unajua bora hata umkute ana cheat,ila kutumika?,being USED,acha aisee
Ndoa bwana inatakiwa iwe kama 2-way traffic halafu mnakutana katikati, lakini ndoa nyingi unakuta kuna mmoja wapo anamuelemea mwenzie halafu mbaya zaidi ni kwamba yule anayemuelemea mwenzie ndio wa kwanza kulalamikaga mara sijui hili mara lile yaani mambo yasiyokwisha.Mimi ndoa bana,
Niliifurahia mwanzoni sana,semina zake mpaka kuiishi kwa muda hivi,
Ila kwa sasa,huwa sishauri mtu Kuoa au kuolewa,
I’ll remain divorced the rest of my life,
Hii ni exclusive kabisa toka kwangu.
This is it,I say,Never will I marry again,Never..
Well said mkuuNdoa bwana inatakiwa iwe kama 2-way traffic halafu mnakutana katikati, lakini ndoa nyingi unakuta kuna mmoja wapo anamuelemea mwenzie halafu mbaya zaidi ni kwamba yule anayemuelemea mwenzie ndio wa kwanza kulalamikaga mara sijui hili mara lile yaani mambo yasiyokwisha.
Kingine ni kwamba ndoa ni kama vile wewe mme/mke umeenda showroom ukajinunulia kacorolla kako halafu baada ya siku kadhaa unailazimisha corolla iperform kama BMW kitu ambacho hakiwezekani, ungekuwa unajua unataka BMW ungeichukua kuanzia mwanzoni.
Well Noted mkuuDoooh....Kuachana mbona kupo TU...don't dwell on resentment.
My friend Achana na Yaliopita, maumivu hutokea maishani but we move on.
Don't live in the past...Move and forget it...You may find love again and it might be the best thing that has ever happened to you.
Don't loose hope don't despair just because something went wrong.
Inawezekana kuondoka kwa huyo mwanamke Ni kheri khako kuliko Angekuwepo.
Don't look at things kwa perspective Moja TU.
All the best
Acha wadaka machozi kina sanchez tuendelee jilia neema za allah ulizojaliwa nazoNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Hao walitakiwa wabaki kwenye mambo ya kiroho na imani tu...Changamoto kweli kweli
hii ndio comment bora ya Uzi hahahahaahahaNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
🤣🤣🤣hii ndio comment bora ya Uzi hahahahaahaha
Kabisaa 🤣Acha wadaka machozi kina sanchez tuendelee jilia neema za allah ulizojaliwa nazo