The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Hahah.... Nimejaribu kuvuta picha, najikuta nacheka tu[emoji23][emoji23][emoji23]Mi kuna siku ninatoka na mshua tunaenda church!
Ilinyesha mvua sasa kukawa na matope ile navuka mtaro nikateleza nikajikuta nimeka chini kwenye tope!!
Mzee akaniambia rudi nyumbani ukabadili suruali!!
Ile narudi home nikasikia kishindoo tiiiiii!
Mzee naye aliteleza kwa kweli nilishindwa kuvumilia kicheko![emoji16]
Mzee naye alicheka balaa tunarudi home bi Mkubwa anadhani tulivamiwa
Mi ndio nishindwa kujizuia kucheka!
Huyu Jamaa(Kwachee) anakipaji kizuri sana...ETVKwny kipindi cha jamaa anaitwa kuchere nadhani wa ETV jamaa alimuuliza mpita njia neno MUBASHARA maana yake ni nini?
Mchizi akajibu ni"KAMA CHAKULA FLANI KITAMU KITAMU HIVI",hahah
Lol,lol.mie mwanzo nilivyopanda ndege,imefika wakati wa msosi tukapewa wote,Becky alivyo mshamba nikala haraka haraka nilivyomaliza nikamsimamisha muhudumu wa ndege nataka nyongeza ya chakula hahahaaa Mhudumu akaniambie nimpe dakika mbili atarudi..sikumuona tena,naona aliona huyu mluga typical hahaaaaaaaa...nikikumbuka nacheka sana ππππ,
Ndo umemwambia maji yapo afu kumbe hakuna majiSiku moja nakumbuka nimeingia kwenye mgahawa mmoja hivi , aseeeh nilikutana na bomba la kunawia ambalo sijui hata linafunguliwaje. Nilihangaika sana bila mafanikio na nikawa naona aibu kuuliza , niliganda pale pale nikawa najifanya nakunja shati huku nikisubiri mtu aje ili nione wanavyofungua. Basi, ikapita kama dakika moja hivi mdada akaja kunawa.
mdada: Kaka za sahizi?
Mimi: salama Dada
Mdada: vip kaka,maji yameisha nn mana nimekuona upo umesimama hapa muda mrefu?
Mimi: maji yapo, ila kuna mtu tu namsubir hapa[emoji4]
Mdada: anhaa, si ungeket tu kweny kiti kaka angu?
Mimi: kimoyo kimoyo nikawa najisemea huyu Dada katumwa nn[emoji1] ?
Basi alivyomaliza tu kunawa na mimi nikaenda kunawa, kumbe ili maji yatoke unatakiwa ubonyeze kibatan ambacho kipo pale pale juu ya bomba then ukimaliza we unasepa zako, bomba linajifunga lenyewe bila kuguswa[emoji1] [emoji1] [emoji1] , mi nilikuwa nahangaika kuzungusha Tu. Dah huwa nacheka sana nikiifikiria hii siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifananisha upawa na kipawaHuyu Jamaa(Kwachee) anakipaji kizuri sana...ETV
Huwa nikipata muda nakitazama kipindi chake.
Ikifika Sehemu ya kuchemsha bongo za Watanzania basi huwa ni kazi kweli kweli kama sio kizaazaa.
Kuna jamaa aliulizwa;
Nini maana ya Kipawa..???
Jamaa:Kipawa ni chombo/kitu kinachutumika kupakuwa mboga au chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una matatizo aisee au ukiwa na mchuchu ndio unachekaMimi najihisi nina matatizo, huwa najibana kucheka kwenye vitu ambavyo wengine wanacheka.
Mpaka sasa hivi nimeshazoea kutocheka hata nione kitu cha kuchekesha yaani.
HahahahahahhaSiku moja nakumbuka nimeingia kwenye mgahawa mmoja hivi , aseeeh nilikutana na bomba la kunawia ambalo sijui hata linafunguliwaje. Nilihangaika sana bila mafanikio na nikawa naona aibu kuuliza , niliganda pale pale nikawa najifanya nakunja shati huku nikisubiri mtu aje ili nione wanavyofungua. Basi, ikapita kama dakika moja hivi mdada akaja kunawa.
mdada: Kaka za sahizi?
Mimi: salama Dada
Mdada: vip kaka,maji yameisha nn mana nimekuona upo umesimama hapa muda mrefu?
Mimi: maji yapo, ila kuna mtu tu namsubir hapa[emoji4]
Mdada: anhaa, si ungeket tu kweny kiti kaka angu?
Mimi: kimoyo kimoyo nikawa najisemea huyu Dada katumwa nn[emoji1] ?
Basi alivyomaliza tu kunawa na mimi nikaenda kunawa, kumbe ili maji yatoke unatakiwa ubonyeze kibatan ambacho kipo pale pale juu ya bomba then ukimaliza we unasepa zako, bomba linajifunga lenyewe bila kuguswa[emoji1] [emoji1] [emoji1] , mi nilikuwa nahangaika kuzungusha Tu. Dah huwa nacheka sana nikiifikiria hii siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanawa afu unakunywaSiku moja tumekaa hoteli moja,mtu mmoja akaagiza supu ya mushrooms ,akaisifia nzuri kweli tulikuwa watatu,basi muda umefika mhudumu akaleta vibakuli vitatu vina maji ya moto n kipande cha limao,mi moyoni nikaguna "jamani hii ndio supu ya mushrooms mbona maji tupu na kipande cha limao,,ikabidi niseme kwa nguvu kuwa mimi sijaagiza supu jameni[emoji23][emoji23][emoji23] walicheka jamani nami nilichekaa mmoja akaniambia haya ni maji ya kunawa [emoji23][emoji23] ,nikasema jamani ndio kwenye tubakuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],siku hizi nikienda nimezoea nanawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππππππππππππ mpaka nimelia!Jamaa flani alikuwa anakata gogo kwenye shamba la mtu,
Mara paa mwenye shamba akamfuma akaulizwa
"we kwanini unakunya hapo?"
Jamaa bila kujali kosa lake huku akiendelea kushusha mzigo akajibu
"kwanini wewe unakunya chooni"
Basi tulicheka sana siku hiyo mana mwenye shamba akabaki kazubaa sisi na jamaa haooo tukasepa na safar yetu
Haahhahaah rusha basi hii video hapa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa flan mtangazaji kwenye channel flan hivi YouTube sasa alikua akipita mtaani kuuliza watu kuhusu oxygen...kama 'umeshawahi kuvuta oxygen'? Sasa wengine wanasema sijawahi kuvuta kabisa oxygen na wala sitajaribu' sasa kuna mzee mmoja yeye aliongea huku amepaniki kabisa et 'yan nawashauri vijana waachane na tabia ya kuvuta oxygen wanazidi kuongeza umaskini hapa nchini naomba serikali ilione hili swala'
Basi nilicheka balaa na huwa nikikumbuka najikuta naachia bonge lΓ chekoo [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitairusha wait nidownload [emoji1] [emoji1] [emoji1]Haahhahaah rusha basi hii video hapa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna nyingine anauliza kuwa ukimkuta mmeo /mkeo ana white blood cell utafanyaje aisee majibu yake nilicheka mno ina maanaap watu washasahau mno au?
Sent using Jamii Forums mobile app