Kitu gani uliwahi ona au kushuhudia ukacheka sana?

Kitu gani uliwahi ona au kushuhudia ukacheka sana?

Siku moja ilikua ni ibada ya Idd kama kawaida wanyapiaji hawakosekani na siku hiyo kulikuwa na ubwabwa pale msikitini basi jamaa flani akavaa kanzu yake safi kabisa akatimba msikitini.
Kumbe kanzu yake ni ya muda mrefu sana sasa wakati anakaa kucha ikatoboa bila yeye kujua na ulipofika ule muda wa kuinama na kuinuka kanzu ikazidi kuachia na ndani hakuvaa kitu

Aliekuwa nyuma yake akataka kumstua bila kuvuruga wengine basi kila jamaa akiinama wa nyuma yake anamgusa pale kwenye ufa wa mchaniko,jamaa akaona mbona kila akiinama anaguswa Pumbu,kila akiinama anaguswa pumbu sasa yeye hakujua ila akahisi ndio ibada nae akanza kumchoma yule wa mbele yake kila akiguswa nae anagusa wa mbele
E bana eeh si akagusa eneo lisilo takiwa Hahaaa du kilichofuata ni kukatisha ibada mana jamaa alichezea nazi za kutosha na ile kanzu yake ikazidi kuchanika......
Aisee ubwabwa ukaingia nyongo siku hiyo
😂😂😂😂😂😂😂😂 😆😆😆😆
 
Jf kuna nivunja mbavu huwa ...kuna Comment ya Daudi Mchambuzi wakati ule wa saga ya makinikia ...unakuta wanaandika kwa mfumo wa biblia labda Lumumba 7:12-13 Naona wana lumumba waliposikia tunalipwa pesa zetu walijigaragaza mavumbini kama chatu na kusema eee Sizonje utupeleke utumwani "

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha mkuu nimejikuta nacheka
 
wiki iliyopita nilienda kwenye harusi ya jamaa yangu basi mc akawa anaongea kwa madoido ni balaa, mara tukastukia anasema hii harusi ni kiboko ni wakati sasa wa msosi, nimeambiwa watu watakula mpaka wakimbie, subirini nikahakikishe. jamaa si akazungukia kwenye ma hot pot, mara akarudi na mbwe mbwe zimezidi aisee nikweli watu watakimbia msosi, akaenda kumbeba mtoto mdogo huku anaendelea na ku mc, katika kumrudisha kwa mama yake, wakati kainama amshushe hakuangalia kumbe mkono mmoja wa mtoto Upo kwenye mfuko wa koti lake la suti ile kamshusha tu, mkono wa mtoto ukatoka na paja la kuku wa kukaanga, jamaa akstuka na kuzuga : ayaaah... eheee na hiyo ndio zawadi yakoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. wakati mtoto mwenyewe hata meno hajaota.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimkuta mtoto mdogo kama miaka mitano hivi ananunua chips mayai wakati analipia akatoa mfukoni Kama shilingi eflu nane na zaidi. Nikamwambia dah!! wewe bado mdogo unahela zote hizo ? Alinikazia macho kisha akaniambia " eeh, unashangaa sasa hivi, sasa we subiri niwe mkubwa kama babaangu.. [emoji851][emoji851]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alipatwa na Tumbo la kuhara afu kwata imechanganya kwenye Guard alikuwa pembeni yangu .....
Basi afande akisema mbele tembea wengine tunarusha mikono yote Jamaa naona mkono mmoja anarusha mmoja amebana makalio pia tukiambiwa mbele tembea yeye anatembea nusu kulia (kiupande upande) yaani alikua kama mbogo kachanganyikiwa afande hatoi TANO aisee nilipiga kwata nacheka hadi machozi sitasahau....
822 Musoma Mara na unaa wa afande Kachila.[ NYUKI HAPIGWI BUSU]

via Huawei Social Phone
 
wiki iliyopita nilienda kwenye harusi ya jamaa yangu basi mc akawa anaongea kwa madoido ni balaa, mara tukastukia anasema hii harusi ni kiboko ni wakati sasa wa msosi, nimeambiwa watu watakula mpaka wakimbie, subirini nikahakikishe. jamaa si akazungukia kwenye ma hot pot, mara akarudi na mbwe mbwe zimezidi aisee nikweli watu watakimbia msosi, akaenda kumbeba mtoto mdogo huku anaendelea na ku mc, katika kumrudisha kwa mama yake, wakati kainama amshushe hakuangalia kumbe mkono mmoja wa mtoto Upo kwenye mfuko wa koti lake la suti ile kamshusha tu, mkono wa mtoto ukatoka na paja la kuku wa kukaanga, jamaa akstuka na kuzuga : ayaaah... eheee na hiyo ndio zawadi yakoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. wakati mtoto mwenyewe hata meno hajaota.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haahhahahahahaua nakojoooaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alipatwa na Tumbo la kuhara afu kwata imechanganya kwenye Guard alikuwa pembeni yangu .....
Basi afande akisema mbele tembea wengine tunarusha mikono yote Jamaa naona mkono mmoja anarusha mmoja amebana makalio pia tukiambiwa mbele tembea yeye anatembea nusu kulia (kiupande upande) yaani alikua kama mbogo kachanganyikiwa afande hatoi TANO aisee nilipiga kwata nacheka hadi machozi sitasahau....
822 Musoma Mara na unaa wa afande Kachila.[ NYUKI HAPIGWI BUSU]

via Huawei Social Phone
Sasa hiyo inachekesha mno unashindwa jizuia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom