Kitu gani umeshindwa kabisa kuacha

Kitu gani umeshindwa kabisa kuacha

Nyeto nilifanikiwa kuacha .....ila nilivyoacha nyeto jamani akaingia shetani wa wauza nyapu na pombe...aisee,yan huyo ndo amekuwa shetani mbaya sijawahi kuona,ila wauza nyapu naamini naweza kuacha,lakini pombe ndo imeshindikana kabisa yan hiyo imefika hadi kwa watume wa Jiji la dar lakini wapiiii...Ngoma ngumu,amini kuacha pombe ni kazi jamani yan sijui kwa nn!!
Kama umefanikiwa kuacha nyeto basi hayo mengine ni uamuzi tu.
 
Msifanye hivyo jamani
Kama kunywa pombe ni dhambi,wataouona ufalme wa MUNGU ni wachache sana,yan wabongo wanakunywa pombe aisee nilifanya kautafiti kidogo mbeya,njombe,mwanza,dar ndo balaa kubwa,Moshi,arusha n.k si mijini wala vijijini watu wanakula ugimbi,ulanzi,mbege,wanzuki,master n.k,wine nayo ni pombe...
 
Back
Top Bottom