Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Ujue sijawahi kukuamini 😆😆Mi nashindwa kuacha kukupenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue sijawahi kukuamini 😆😆Mi nashindwa kuacha kukupenda.
Moderator kwa niaba ya mwenzangu tunaomba hii post ifutweBangi na mapenzi ya jinsia moja.(kuzagamua mashoga)
Astakafilulah labanih bin majalah🤔Bangi na mapenzi ya jinsia moja.(kuzagamua mashoga)
Madhara yake unayajua?Hiyo hiyoo😂😂. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?
Utakuwa unapiga masta weyeYangu hadi naona aibu kuiandika😡
pamoja na cocoa ile yenye sukari. dah. Naamini nikija kuwa na familia ntaach nsije kuwa mzee wa hovyo.Au nido 🤣🤣
Nishaijua tayar, pole ukiolewa utaacha mwaya🤒Yangu hadi naona aibu kuiandika😡
wanapatikana wapi hao...tugawane dhambiBangi na mapenzi ya jinsia moja.(kuzagamua mashoga)
Una akili za kitoto sana! Unapendaga ma-toy ya aina gani?!utoto.. jana tu nimemng'ata king'asti wangu pua ye akakimbilia kutaka kunibinya korodani!,nikamkweka akawa amenikosa akaniacha..
usiku nimelala nimejisahau akayakamata akanibinya mpaka nikatoa machozi!.. tukayajenga yakaisha ile kapitiwa usingizi nikamvizia nikamng'ata tena pua aliamka chapchap huku mkono wake wakuume ukikimbilia tena korodani na vile ilikuwa tumezima taa nilishangaa tu tayari matunza upwiru yangu yameshashikwa yanakamuliwa!.. nilipiga welelo majirani wakatoka!
kesi kama hii unawaelezeaje majirani...?!!
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nashindwa kuacha kunywa wine… naweza pumzika mwezi 1/2/3 , ila ghafla tu natupia chupa 2 nzima.
Namna hiyo📌📌📌Hapo unakuwa umepiga kwenye mfupa, so anasaka pa kupunguzia uchungu 😂😂
Usilitaje bure jina la bwana mungu wako,halafu usiseme astakafilulah sema ASTAGHFIR LLAH TABARAQ WATAALAAstakafilulah labanih bin majalah
😂😂😂😂😂😂 Daaah sawa sawa mkuu... 👊🙌🙌🙌🙌🙌Sijaacha kwa sababu ni haram wala dhambi, nimeacha kwa sababu nataka kujua kwamba nikitaka kuacha naweza, naitawala pombe, pombe hainitawali.
kwasasa matoi nayoyapenda angalia avatar yanguUna akili za kitoto sana! Unapendaga ma-toy ya aina gani?!
Vigari, midoli au mjegejo?! 🤔
Hata mimi nilikuwa namuheshimu sana Dr. huyo jamaa... kumbe gay nigga! 🤢🤮🤮🤮🤮Umeongea umpuuz ganj nilkuwa nakuheshimu kumbe wee Ni shoga pumbafu sana
Hahahahhaha na sisemi kweli😂Nini thatha... 😂😂😂😂
Hatusemi ila nimejua... Na ukisema mBna patachimbika humu 😂😂😂🙌🙌🙌
Wine = pombe 😂😂😂😂Nashindwa kuacha kunywa wine… naweza pumzika mwezi 1/2/3 , ila ghafla tu natupia chupa 2 nzima.
Orodhesha apate uoga, apunguze 🤣🤣Madhara yake unayajua?