Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.

NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
 
Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu....we bhana Weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest....Yaan nimepitiliza kama ni temperature bas imekuwa 45 C.

NB:Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Dah Kuna pisi Kali sana nimeipenda ya chuga uko🤦🤦 nadhani inajisikia raha sana
Ningeweka picha ila nikakumbuka Kuna mzabzab na Mzee wa kupambania

NB NAJUA INACHEAT ILA HAIWAHUSU😂😂
 
Onhoo,sawa
bb.png
 
Back
Top Bottom