Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

🤣🤣🤣🤣 Nilikukataza urafiki na dronedrake hukusikia....ona sasa!! Onaaaa?!
dah.... nishakariri hadi kauli mbiu yao 'sheria mkononi, amani moyoni'
imageedit_2_9126229852.jpg
 
Penzi lako lina nyuzi joto kama za mji wa Khartoum nchini Sudan,,,kula maisha Madam,,,kama mkihitaji uwekazaji kama wa bandari wa wakuongeza au kupunguza jotoridi katika penzi lenu tuwasiliane,, kama hamtojali lakini!!!
 
Back
Top Bottom