Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimalize maneno, nilikuwa kama wewe back in days. Kama kuna kitu nimejifunza kwenye haya maisha mpaka sasa ni kutokumaliza maneno na kwamba kutenda wema mara nyingi huwa hakuna faida.Sikimbilii kokote mkuu,,hiyo wewe ushakuwa mwanga tayari
Baadae ukaanza kujifunza Siri za ulimwengu sio!!?huko ndipo.zilipo!Usimalize maneno, nilikuwa kama wewe back in days. Kama kuna kitu nimejifunza kwenye haya maisha mpaka sasa ni kutokumaliza maneno na kwamba kutenda wema mara nyingi huwa hakuna faida.
Huko ndo hakuna kufichana fichana, unaona wabaya wako kwenye screen ya 4k, hahaBaadae ukaanza kujifunza Siri za ulimwengu sio!!?huko ndipo.zilipo!
Mbaya sana na huleta kisasi day!!Huko ndo hakuna kufichana fichana, unaona wabaya wako kwenye screen ya 4k, haha
Unaingia Hadi na kivuli kbs😂😂Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.
NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Nliapa sirudiani na ex ila nikajisaliti🤌😂Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.
NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
[emoji38]Imagine na uzee huu kuna siku nashtua na mkono[emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mzee mwenzangu unajilipua halafu unaanza kujilaumuImagine na uzee huu kuna siku nashtua na mkono[emoji1787][emoji1787]
Sijilaumu mzee mwenzangu, si starehe tu kama zingine.🤣[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mzee mwenzangu unajilipua halafu unaanza kujilaumu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]ewaaa ni vizuri kukumbushia yale yaliyokuwa yanatupa furaha ujananiSijilaumu mzee mwenzangu, si starehe tu kama zingine.[emoji1787]