😬😬Nakazia Hilo jambo linikute nimekufa nimeozalitakukuta jambo😬
huduma on demand hiyo
🤔🤔🤔😂Penzi lako lina nyuzi joto kama za mji wa Khartoum nchini Sudan,,,kula maisha Madam,,,kama mkihitaji uwekazaji kama wa bandari wa wakuongeza au kupunguza jotoridi katika penzi lenu tuwasiliane,, kama hamtojali lakini!!!
🤣🤣🤣🤣Ngoja nilitumie muda huu kabla halijachujuka😶Penzi lako lina nyuzi joto kama za mji wa Khartoum nchini Sudan,,,kula maisha Madam,,,kama mkihitaji uwekazaji kama wa bandari wa wakuongeza au kupunguza jotoridi katika penzi lenu tuwasiliane,, kama hamtojali lakini!!!
aje Dahan hapa apitishe emoji za 🤣 kama hana akili nzuri 😀🤔🤔🤔😂
Basi SawAa!!na ikawe kheri kwenu!!🤣🤣🤣🤣Ngoja nilitumie muda huu kabla halijachujuka😶
Kuachana Lazima mkuu....Ili wengine wapate wapenz piaNipende kuwaambia mnaopendana mtaachana na nyie wenye videmu vizuri vinawachiti saa hizi vinaliwa vinatoa miguno tu huko. Mm najipendea kitimoto kilo ndizi mbili na coke ya baridiiii kama barafu.