Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa...Kabisa..Kuna raha yake bhana....[emoji8][emoji8]
Nikukosoe kidogo unajua watu wengine wameshakuaga ma monster 💀💀💀💀Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu....we bhana Weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest....Yaan nimepitiliza kama ni temperature bas imekuwa 45 C.
NB:Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Hujui kupenda ww ndio maana unaachwa!!Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu....we bhana Weee[emoji3525] ndo nimejikuta nimependa toppest....Yaan nimepitiliza kama ni temperature bas imekuwa 45 C.
NB:Najua tutaachana[emoji849] maana hamkawii[emoji855]
Yaan mtu akifikia hio Hali yaan uwepo au kuto kuwepo kwenye maisha yake kwake sio issue.............😳How?
Naam NaamWenzio Hawa hapa dronedrake mshamba_hachekwi
niliipenda hii simu nikajifyatua nayo dukan[emoji15]Weee, mbona umetupa pesa nyingi mno hizo?
Jiandae kupigwa na kitu kizito.Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee[emoji3525] ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.
NB: Najua tutaachana[emoji849] maana hamkawii[emoji855]