Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nikawachia mkoa waoUkasalenda🤭
Mbona mapenz pekeake😠😠Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.
NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Bado nakufukuzia,sema hujakaa site ya mkuki,unachengesha windo!!Ukome,si ulikataa kunioa sababu mie ni singlemom 🤒
Umewahi kuona msururu wa madume ya ng'ombe ukifukuzia jike moja!!?🤣🤣🤣Basi nawe hujakaa kiume anakushindaje mwanamke 🤒
Hatari soo jamaa ni mwendo wakulichapa tako na kuenjoy vibrationMbuzi kagoma kanizoeza,bas walaaa😋
Wasikutishe,huo ni msururu tu hauna madhara yoyote Pm.....mmoja mwenyewe ndo mie nikupaye mbinu za kunipata....sasa wataka Nini kingine🙄Umewahi kuona msururu wa madume ya ng'ombe ukifukuzia jike moja!!?
Zamu KWA zamu,zamu yangu BADO!
Sasa nifanyeje hapa? Au nifungue uzi wa kuomba msaada? Ila hii aibu hii jaman [emoji16][emoji16]Ukiwa na pesa nyeto ndo inanoga kweli maana unakuwa bahili kuhonga madem
Usije jinyonga kama yule wa MtwaraKucheat niliapa lakini mwishowe nimelazimishwa
Bado napambana na roho ya uzinzi na mapando ya nyege kutoka kuzimuni🤣🤣Ukafanya kurenew
Nataka nimtume wife akadai kodi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mfukuze,kwani kitu gani? Anakupa hasara huyo