SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Ndio...sleep paralysis...jinamizi. imenitokea first hand na watu wengi husema sijui jini linakukaba mpaka umtaje Yesu sijui Allah. Ila in real sense ni concept ya biology inayohusisha brain, nervous system na muscles. Ndo maana nasema una mitandao vitabu watu wenye elimu mbalimbali, tafuta majibu yanayoeleweka sio kila kitu ambacho huelewi unasema tu ni uchawi...it's too easyWewe ushawahi kufanyia utafiti uchawi na ukapata majibu ya kuwa uchawi kiuhalisia haupo?
😁 upo sehemu gani mkuu🤣Mbona Kuna watu mpaka wanazeeka hawajawi ona mauchawi Kama Babu yangu na baba angu. Afu we katika ujana wako na utoto uone. Au wachawi wanachagua wajinga. Nipe hoja ya msingi, Kuna umri wa kuona wachawi ukifikia utaona au..? 🤣Na nikifika nisipoona utanipa kisingizio gani Sina macho ya kiroho ama
Juhudi sawa unapimaji...there's no such thing. Binadamu hawawezi kuwa na juhudi sawa. Mi nawashangaa hawa watuMkuu zacc
Hiyo miujiza ya uchawi ndio inasababisha wengine kufanikiwa zaidi na wengine kidogo regardless wote Wana juhudi Sawa.
Nipo dar...au wachawi wanachagua vijiji ambavyo ni maskini na hawana elimu😁 upo sehemu gani mkuu
Una uhakika vitu vyote ambavyo umekutana navyo wewe kila mtu kakutana navyo?[emoji1787]Dunia si moja kwa Nini ukutane nayo wewe tu. Kuna mtu anabisha marekani haipo, wengi hatujaenda lakini hatubishi kama ipo. Same to tigers, hawapo mbuga zetu ila hatusemi hawapo.
🤣Una dunia yako kwa hiyo😁😁 hata mimi nilipokuwa kijana mdogo kama wewe, nilikuwa siamini kuhusiana na uchawi, nilikuwa silali hadi usiku wa manane, mda mwingine najificha nje labda kama ntaona kitu chochote, sijawahi kuona chochote, nilipotembea sasa huko duniani, nmekutana na mambo ambayo sikuyaona hapo kabla. Bado naendelea na uchunguzi kama ni uchawi au hallucination, japo kuna moja, unamwacha mtu nyumbani halafu unamkuta mbele ya safari, hii haikuwa hallucinations. Sidhani kama huo moyo wa kuwarekodi utaupata zaidi ya kufungulia turbo.
No lakini kila kitu ambacho nimekutana nacho mtu yoyote anaweza kukutana nacho, coz ni vitu halisi sio vya kufikiria au kutungwa storyUna uhakika vitu vyote ambavyo umekutana navyo wewe kila mtu kakutana navyo?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ur point?kama hao tunaowaita wazungu wanatumia sana hiyo miujiza, wanaamini sana katika namba za bahati
Ushaidi wangu ndio utabadili mtazamo wako ? haupo tayari kuelimishwa kaa na ubishi wako[emoji1787]We si ulete ushahidi unaoeleweka. Tanzania kila mtu anasimu..Hadi ajali ikitokea siku hizi unaweza pata hata video. We mbona vitu vyako unaona mwenyewe
kama hao tunaowaita wazungu wanatumia sana hiyo miujiza, wanaamini sana katika namba za bahati
Nipo dar...au wachawi wanachagua vijiji ambavyo ni maskini na hawana elimu
unajuwa sayansi isikuwekee ukomo,kuna mambo ambayo sayansi haiwezi kubadilisha wala kuproveUr point?
Ushaidi wangu ndio utabadili mtazamo wako ? haupo tayari kuelimishwa kaa na ubishi wako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jaribu kuwa muelewa hakuna naposema mafanikio ni uchawi tu au uchawi lazima uhusike.Hizo si Mila potofu zenyewe. Ni argument from ignorance. Kitu hujui uliza. Of course sio kila mtu anafanikiwa Ila Kuna natural explanation, Kuna vitu vinatofautisha watu kuanzia muonekano, maadili, uongeaji etc. We unaweza usione hizi tofauti ukaconclude tu kuwa kafanikiwa kichawi ili upate jibu rahisi kwa swali gumu. It's stupidity. Ndo mwanzo wa uvivu na kuwa maskini kifikra na kifedha coz inajenga dhana kwamba unaweza fanya kazi Ila Kama huna uchawi unaweza usifanikiwe. Na since uchawi wenyewe haupo ndo unakuta mtu anaishia kutofanya jitihada za kufanikiwa
We hunielimishi...unanipa story, story ambazo unajua wewe tu na kijiwe chako...huo sio ushahidi. 🤣🤣Leta ushahidi ambao unaeleweka. Mbona hatubishani kama maji au moto au mbwa wapo?Ushaidi wangu ndio utabadili mtazamo wako ? haupo tayari kuelimishwa kaa na ubishi wako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
hiyo ni imani na inakuwa kweli, kama hauamini hauwezi kuitumiaEmbu mkuu nifundishe mimi hao wazungu wanaoamini namba za bahati kivipi?
Nmekwambia nenda maeneo ya wavuvi kanda ya ziwa utajionea mwenyewe kwanini unataka simulizi mwisho wa siku unaita watu waongo , finally kuna vitu vya kunitoa jasho ila sio kulazimisha mtu anielewe wewe baki na mtazamo wako sababu sipati chochote ukielewa wala sipungikiwi chochote usipo elewa[emoji1787]We si ulete ushahidi unaoeleweka. Tanzania kila mtu anasimu..Hadi ajali ikitokea siku hizi unaweza pata hata video. We mbona vitu vyako unaona mwenyewe
🤣🤣🤣Kama Nini? Wewe uchawi usikuweke ukomo. Ungeamini mauchawi si usingeenda shule, ungeenda kwa hao waganga kwa ajili ya elimu, kwa ajili ya sawa ukiumwa, mbona unatumia Simu si Sayansi hio, mbona una chanjo kibao mwilini si Sayansi hio...amini mauchawi yako tuone ka utamaliza siku. Sisi sio watu wa porini.unajuwa sayansi isikuwekee ukomo,kuna mambo ambayo sayansi haiwezi kubadilisha wala kuprove
Imani haiwezi kuwa kweli ndo maana inaitwa Imani..nikiamini Mimi ni ng'ombe hata niamini vipi siwezi kuwa ng'ombe same as majini yenu it doesn't matter how strong u believe hayapo na hayatakuwepohiyo ni imani na inakuwa kweli, kama hauamini hauwezi kuitumia
🤣Mi nakusaidia wewe Sasa. Kwa sababu ubongo wako umejaa maujinga, mi sioni faida ya wewe kuendelea na dhana potofu ambazo miaka nenda Rudi zimekuwa proven to be wrong.Nmekwambia nenda maeneo ya wavuvi kanda ya ziwa utajionea mwenyewe kwanini unataka simulizi mwisho wa siku unaita watu waongo , finally kuna vitu vya kunitoa jasho ila sio kulazimisha mtu anielewe wewe baki na mtazamo wako sababu sipati chochote ukielewa wala sipungikiwi chochote usipo elewa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
hiyo ni imani na inakuwa kweli, kama hauamini hauwezi kuitumia