Ndio maana nikakwambia nikutajie vitabu vya wazungu vyenye kuelezea uchawi na mambo mengine ambayo wewe huyaamini kisha uniambie kuwa hao waliyoandika hivyo vitabu ni katika hao wazungu wachache wasio na elimu au wana elimu?Ni wachache Sana ambao hawana elimu. That's the point..kwani point yangu ni kwamba hamna mzungu anayeamini ujinga. Wapo kibao ila ni wachache compared to us kwa sababu jamii zao zimeendelezwa kisayansi na kielimu
means ulikuwa unaona, ameshindwa kwa sababu ya ulevi na kukata taama. π sisi tutakwambia yasikukute. Ukisema hapo uchawi upo wapi, unataka uone kama hesabu x+y=zNaomba unipe reference ya kamusi gani inayoelezea hiyo maana ya uchawi?
Mimi nimejaribu ku compare watu wawili ambao wanakwenda wote kazini, wanalipwa Sawa na bado kuna mmoja anamzidi mwenzake.
Mmoja yupo radhi kumaliza mshahara wake kwenye pombe ILA mwingine yupo radhi ajibane akanunue kitu kitachomazilishia zaidi.
Naomba nipe maana ya uchawi uliyoitoa hapo umeipata KWenye kamusi ipi?
unajuwa hata baadhi ya hoja za kisayansi bado ipo kwenye imagination, means imeshindikana, mfano mtu kuzeeka
kwani sayansi yenyewe imetoka wapi, si wa wazungu, huyo jamaa anabishia asiliNdio maana nikakwambia nikutajie vitabu vya wazungu vyenye kuelezea uchawi na mambo mengine ambayo wewe huyaamini kisha uniambie kuwa hao waliyoandika hivyo vitabu ni katika hao wazungu wachache wasio na elimu au wana elimu?
Hicho ndio ambacho pekee umeweza kuelezea kuhusu uchawi pamoja na kuishi kwako kwenye jamii yenye kuamini uchawi?Ndio...sleep paralysis...jinamizi. imenitokea first hand na watu wengi husema sijui jini linakukaba mpaka umtaje Yesu sijui Allah. Ila in real sense ni concept ya biology inayohusisha brain, nervous system na muscles. Ndo maana nasema una mitandao vitabu watu wenye elimu mbalimbali, tafuta majibu yanayoeleweka sio kila kitu ambacho huelewi unasema tu ni uchawi...it's too easy
Sawa, science tells us a lot about cellular damage but has nothing to do with cellular damage, why? Means kuna higher power than science ambayo binadamu hajafika, unakubaliana na mimi!Kwani cellular damage na genetics mkuu zacc siumesema?
Mimi si mtaalamu sana wa hayo mambo lakini mbona yashaelezwa.
Au na wewe ndo wale wale pacific na antlatic maji hayamix mkahitimisha ile ni uwepo wa mungu? Wakati sababu za kisayansi zinaeleza.
Mkuu mbona hivyo vitu vinaelezwa vimejaa mitandaoni carolina TED TALK pale utakuta vijana toka mpaka africa wenye mawazo constructive
means ulikuwa unaona, ameshindwa kwa sababu ya ulevi na kukata taama. π sisi tutakwambia yasikukute. Ukisema hapo uchawi upo wapi, unataka uone kama hesabu x+y=z
unataka kutumia sanyansi ya darasani ku proof sayansi asilia? huoni kama wewe ni mjinga?[emoji1787]Mi nakusaidia wewe Sasa. Kwa sababu ubongo wako umejaa maujinga, mi sioni faida ya wewe kuendelea na dhana potofu ambazo miaka nenda Rudi zimekuwa proven to be wrong.
Ndo tulale guard battalion yote at once?π€£π€£π€£π€£π€£Aaah kmk, si mmelala, Sasa usingizi ni uchawi jamani..story zingine bana
πππmimi nilitongoza pisi kali TANGA barabara ya 11,nikaenda nae nyumba ya wageni,wakati namwingilia {tulikuwa tumezima taa} nikahisi harufu kali ya mbuzi na ikawa kama nimelalia sufi,nikachoma fasta kuwasha taa nikaona mbuzi kalala kitandani alaf nikasikia bonge la sonyo kutoka darin,nilivaa nguo suruali bila chupi nikatoka nduki kifua wazi!!.....kaunta alibaki kushangaa,mlinzi nae akabaki kunsema,,,hii ndo tanga bhana lazima "jamaa kakutana na kioja"
nitawaamini siku wakithibitisha chanzo cha binaadamuShida yao hawa watu wa sayansi wanataka kutuambia kuwa hapa duniani hakuna mapepo,kila kitu watakujibu kisayansi kwao
Something which science yet to investigate it doesn't mean we fix that gap is witchcraft or god.Sawa, science tells us a lot about cellular damage but has nothing to do with cellular damage, why? Means kuna higher power than science ambayo binadamu hajafika, unakubaliana na mimi!
Wanaofanya kazi ni wengi sasa usitake kutuaminisha kwamba kufanya kazi tu ndio kufanikiwa wakati kiuhalisia haipo hivyo, wewe jamaa ndio unataka tungelee vitu nje ya uhalisia.Rekebisha hakuna mafanikio yenye uchawi kwa namna yoyote ile as long as huyo mtu tayari anafanya kazi
Ondoa "hakuna sehemu niliposema mafanikio ni uchawi tu"
sababu neno uchawi ni stori za kufikirika za miujiza.
Sasa uyo ostaz aliemwambia anarogwa kwanini hakumtibu?2017
Nimetoka hasubuhi naelekea miangaiko k/koo njiani kuelekea kituoni kupanda gari, nasimamishwa na dogo mmoja ambaye najuana naye palipokuwa mtaani tulipokuwa tunaishi
Dogo akaanza kunilalamikia kuhusu dogo mwenzake ambaye aliweka nae share kwenye biashara fulani, na biashara ilikubali sanaa , hiyo biashara waliyokuwa wanafanya.. walikuwa wanatoa matunda baadhi ya vijiji vilivyokuwepo karibu na dar na kuya supply katika supermarkt walisajili kabsa kampuni yao, aisee walikuwa wanakimbiza hatari
Dogo akawa ananiomba nikaongee na huyo mwenzake ambaye wameshare biashara, malalamiko yake kuwa huyo jamaa anamroga Kwa kigezo cha kutaka kumdhurumu pesa na biashara kiujumla, nikamuhoji sanaa dogo licha yakuwa nilikuwa nachelewa miangaiko,nilimuhoji kuwa kajuaje kama anarogwa akanielezea kuwa mama yake ana ostaz wake kuwa kila mwezi anakuja kumuombea dua mama yake na nyumba yao kiujumla kuwa yeye ndio kawaambia, nikamuuliza umechukua hatua zozote
Akanambia kuwa mama yake alijaribu kumtafuta jamaa akakataa kwenda, wakaamua kumpigia sim na kumwambia akakataa kuwa hafanyi hivyo
Akanambia ameona kuwa mimi vijana wengi wananiheshimu na kunifata kwa ushauri na nimewazidi kidogo tu umri ingekuwa rahisi kuyamaliza matatizo yao
Nikamuuliza kuwa yeye anatakaje, akasema anataka kama apewe share yake na amuache aendelee na biashara, kwa maelezo yake dogo walikuwa na kama m12 kwenye account yao ya biashara
Kiukweli nilijaribu kumtafuta yule dogo mwenzake na alikataa kuwa hajaweka share na mwenzake huyo aliyokuja kuniomba nikaongee naye, nikamtafuta dogo na kumuelezea alibaki kulia tu na kunambia bro jamaa ataniua
Sasa ni 2023, roho inaniuma sanaa nilipata kwenda hapo mtaani mwanzoni wa mwaka huu, nimemkuta yule dogo aliyekuja kunilalamikia kuwa anarogwa ni chiz kabsa wallah nililia machozi kama mtoto mdogo nilihisi nna tuhuma Kwa Mwenyezi Mungu
Kibaya zaidi kanikumbuka na akiwa akinikuta njian ananisimamisha tunaongea vizur tu na tukimaliza maongezi ananiomba pesa, huwa nampa niliyokuwa nayo
Hakika Mungu atatulipa kwa chochote tutachowafanyie wengine
Wanaofanya kazi ni wengi sasa usitake kutuaminisha kwamba kufanya kazi tu ndio kufanikiwa wakati kiuhalisia haipo hivyo, wewe jamaa ndio unataka tungelee vitu nje ya uhalisia.
Hakuna mafanikio yenye uchawi as long as huyo mtu anafanya kazi, ila asiyefanikiwa pamoja na kufanya kazi ndio unataka tufikirie sababu za zaidi ya kufanya kazi tu ndio hufanya asifanikiwe.
Sasa uyo ostaz aliemwambia anarogwa kwanini hakumtibu?
Hii habari niliisikia hapo mwanzaPale mwanza lilipo jengo la NSSF kwa sasa kulikua na bibi anamiliki eneo hilo yule bibi alikataa kutoka eneo hilo kupisha ujenzi pamoja jitihada zote za kumubembeleza zilishimdikaana ikabidi watumie nguvu huwezi amini bulldozer, excavator, wheel loader zote zilishishindwa kuvuja nyumba ya yule bibi inakitoka huko ikiwa nzima ikifika pale inapata breakdown kufupisha story yule bibi walimkalisha chini na kumsihi sana ndio akakubali nnacho kwambia sio story ya kusikia nlikua Mwanza miaka hio kaulize hio story
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwani maneno yote tunayotumia humu tumetoa tafsiri zake kwenye kamusi? Unataka kuniambia jinsi ulivyoeleza wewe uchawi umetoa kwenye kamusi? Mimi nimeeleza uchawi kwa jinsi navyojua unavyofanyika.Naomba unipe reference ya kamusi gani inayoelezea hiyo maana ya uchawi?
Mimi nimejaribu ku compare watu wawili ambao wanakwenda wote kazini, wanalipwa Sawa na bado kuna mmoja anamzidi mwenzake.
Mmoja yupo radhi kumaliza mshahara wake kwenye pombe ILA mwingine yupo radhi ajibane akanunue kitu kitachomazilishia zaidi.
Naomba nipe maana ya uchawi uliyoitoa hapo umeipata KWenye kamusi ipi?
Hili ni fundisho kwenu kwamba mtu akikueleza matatizo yake uache kujifanya MWANASAYANSI, na badala yake umsikilize kwa MAKINI na umpe msaada STAHIKI.2017
Nimetoka hasubuhi naelekea miangaiko k/koo njiani kuelekea kituoni kupanda gari, nasimamishwa na dogo mmoja ambaye najuana naye palipokuwa mtaani tulipokuwa tunaishi
Dogo akaanza kunilalamikia kuhusu dogo mwenzake ambaye aliweka nae share kwenye biashara fulani, na biashara ilikubali sanaa , hiyo biashara waliyokuwa wanafanya.. walikuwa wanatoa matunda baadhi ya vijiji vilivyokuwepo karibu na dar na kuya supply katika supermarkt walisajili kabsa kampuni yao, aisee walikuwa wanakimbiza hatari
Dogo akawa ananiomba nikaongee na huyo mwenzake ambaye wameshare biashara, malalamiko yake kuwa huyo jamaa anamroga Kwa kigezo cha kutaka kumdhurumu pesa na biashara kiujumla, nikamuhoji sanaa dogo licha yakuwa nilikuwa nachelewa miangaiko,nilimuhoji kuwa kajuaje kama anarogwa akanielezea kuwa mama yake ana ostaz wake kuwa kila mwezi anakuja kumuombea dua mama yake na nyumba yao kiujumla kuwa yeye ndio kawaambia, nikamuuliza umechukua hatua zozote
Akanambia kuwa mama yake alijaribu kumtafuta jamaa akakataa kwenda, wakaamua kumpigia sim na kumwambia akakataa kuwa hafanyi hivyo
Akanambia ameona kuwa mimi vijana wengi wananiheshimu na kunifata kwa ushauri na nimewazidi kidogo tu umri ingekuwa rahisi kuyamaliza matatizo yao
Nikamuuliza kuwa yeye anatakaje, akasema anataka kama apewe share yake na amuache aendelee na biashara, kwa maelezo yake dogo walikuwa na kama m12 kwenye account yao ya biashara
Kiukweli nilijaribu kumtafuta yule dogo mwenzake na alikataa kuwa hajaweka share na mwenzake huyo aliyokuja kuniomba nikaongee naye, nikamtafuta dogo na kumuelezea alibaki kulia tu na kunambia bro jamaa ataniua
Sasa ni 2023, roho inaniuma sanaa nilipata kwenda hapo mtaani mwanzoni wa mwaka huu, nimemkuta yule dogo aliyekuja kunilalamikia kuwa anarogwa ni chiz kabsa wallah nililia machozi kama mtoto mdogo nilihisi nna tuhuma Kwa Mwenyezi Mungu
Kibaya zaidi kanikumbuka na akiwa akinikuta njian ananisimamisha tunaongea vizur tu na tukimaliza maongezi ananiomba pesa, huwa nampa niliyokuwa nayo
Hakika Mungu atatulipa kwa chochote tutachowafanyie wengine
Mwaka gani hiimimi niliona uchawi upo shule.. kulikua na mchupi mkubwa sana unaanikwa ijumaa kila tukitegea tuone anaeuanua tunamkosa
Siku moja bweni zima la SAMORA MACHEL tukasema hatulali mpaka tumuone anaeanua
Hauwezi amini sote tulipigwa na usingizi mzito wa pono
Mpaka namaliza shule pale Ile chup hatukujua ya nani
Ukiitazama sana mwili unasisimka
SIJUI LILIKUA CHUPI LA JINI SIZE YENYEWE TU HAIKUA YA KIBINADAM