Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Ni wachache Sana ambao hawana elimu. That's the point..kwani point yangu ni kwamba hamna mzungu anayeamini ujinga. Wapo kibao ila ni wachache compared to us kwa sababu jamii zao zimeendelezwa kisayansi na kielimu
Ndio maana nikakwambia nikutajie vitabu vya wazungu vyenye kuelezea uchawi na mambo mengine ambayo wewe huyaamini kisha uniambie kuwa hao waliyoandika hivyo vitabu ni katika hao wazungu wachache wasio na elimu au wana elimu?
 
means ulikuwa unaona, ameshindwa kwa sababu ya ulevi na kukata taama. 😁 sisi tutakwambia yasikukute. Ukisema hapo uchawi upo wapi, unataka uone kama hesabu x+y=z
 
unajuwa hata baadhi ya hoja za kisayansi bado ipo kwenye imagination, means imeshindikana, mfano mtu kuzeeka

Kwani cellular damage na genetics mkuu zacc siumesema?
Mimi si mtaalamu sana wa hayo mambo lakini mbona yashaelezwa.

Au na wewe ndo wale wale pacific na antlatic maji hayamix mkahitimisha ile ni uwepo wa mungu? Wakati sababu za kisayansi zinaeleza.
Mkuu mbona hivyo vitu vinaelezwa vimejaa mitandaoni carolina TED TALK pale utakuta vijana toka mpaka africa wenye mawazo constructive
 
Ndio maana nikakwambia nikutajie vitabu vya wazungu vyenye kuelezea uchawi na mambo mengine ambayo wewe huyaamini kisha uniambie kuwa hao waliyoandika hivyo vitabu ni katika hao wazungu wachache wasio na elimu au wana elimu?
kwani sayansi yenyewe imetoka wapi, si wa wazungu, huyo jamaa anabishia asili
 
Hicho ndio ambacho pekee umeweza kuelezea kuhusu uchawi pamoja na kuishi kwako kwenye jamii yenye kuamini uchawi?
 
Sawa, science tells us a lot about cellular damage but has nothing to do with cellular damage, why? Means kuna higher power than science ambayo binadamu hajafika, unakubaliana na mimi!
 
means ulikuwa unaona, ameshindwa kwa sababu ya ulevi na kukata taama. 😁 sisi tutakwambia yasikukute. Ukisema hapo uchawi upo wapi, unataka uone kama hesabu x+y=z

Mimi siwezi sema moja kwa moja sababu ya ulevi maana huenda ikawa ni fundamental attribution theory.
Ila yeye ndani ya wiki mbili mshahara umeisha na anarudi kumkopa mwenzake. sasa kama pombe, wanawake na bado ana pikipiki anayoenda nayo kazini hizo stori za uchawi wata assume wengine kwangu ni matumizi makubwa zaidi ya anachoingiza.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sawa, science tells us a lot about cellular damage but has nothing to do with cellular damage, why? Means kuna higher power than science ambayo binadamu hajafika, unakubaliana na mimi!
Something which science yet to investigate it doesn't mean we fix that gap is witchcraft or god.

Je ushawahi soma Enmenkar and the lord of arrata?
Hawakuamini kwamba tujenge mnara unaofika juu mawinguni tukamuone mungu wakiamini mungu yupo juu mawinguni? Hilo gap la knowledge walilokuwa nalo linathibitisha mpaka sasa mungu wa kutungwa yupo mbinguni?
Sijui unaelewa lakini mkuu?
 
Rekebisha hakuna mafanikio yenye uchawi kwa namna yoyote ile as long as huyo mtu tayari anafanya kazi
Ondoa "hakuna sehemu niliposema mafanikio ni uchawi tu"
sababu neno uchawi ni stori za kufikirika za miujiza.
Wanaofanya kazi ni wengi sasa usitake kutuaminisha kwamba kufanya kazi tu ndio kufanikiwa wakati kiuhalisia haipo hivyo, wewe jamaa ndio unataka tungelee vitu nje ya uhalisia.

Hakuna mafanikio yenye uchawi as long as huyo mtu anafanya kazi, ila asiyefanikiwa pamoja na kufanya kazi ndio unataka tufikirie sababu za zaidi ya kufanya kazi tu ndio hufanya asifanikiwe.
 
Sasa uyo ostaz aliemwambia anarogwa kwanini hakumtibu?
 

Kwanza nimeomba maana ya uchawi uliyosema umeitoa wapi hujaniambia.

Pili mekuonyesha watu na mifano wote wanafanya kazi.
Halafu In a simple way kama kila mtu anaweza kuya term mafanikio kwa namna yake point itabaki pale pale kufanya KAZI tu.

Nipe mfano wa mtu mmoja ambaye ana utajiri kutokana na uchawi?
Halafu nipe reference ya kamusi inayotoa maana ya uchawi uliyoitoa wewe?
 
Sasa uyo ostaz aliemwambia anarogwa kwanini hakumtibu?

Mambo ya kifamilia mkuu, mimi nimemkuta mtu kapagawa tu na sikuwa na msaada

Na hayo mambo yanazidiana nguvu chief ndio maana akawa anaomba msaada wa kimaongezi na jamaa

Jua kuna wataalamu wa sehemu tofauti tofauti so wengine wanaweza kutibu tu wengine wanaweza kuroga yaani ni fani tu na uwezo unakuaga tofauti
 
Hii habari niliisikia hapo mwanza
 
Kwani maneno yote tunayotumia humu tumetoa tafsiri zake kwenye kamusi? Unataka kuniambia jinsi ulivyoeleza wewe uchawi umetoa kwenye kamusi? Mimi nimeeleza uchawi kwa jinsi navyojua unavyofanyika.

Kamusi niliyo nayo hapa inaeleza hivi kuhusu uchawi:ni ufundi wa kutumia dawa mitishamba au vitabu maalumu vya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe.

Sasa kutoka kwenye hiyo mifano yako ndio unataka kuhitimisha kwamba wasiofanikiwa ni kwa sababu hawajinyimi na hutumia hovyo pesa zao? Na kumbuka sio kila mafanikio yanahusu mali kwamba upate pesa.
 
Hili ni fundisho kwenu kwamba mtu akikueleza matatizo yake uache kujifanya MWANASAYANSI, na badala yake umsikilize kwa MAKINI na umpe msaada STAHIKI.
 
Mwaka gani hii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…