Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Vitu vyote ulivyotaja vina mwanzo na mwisho, vinadhibitika, vinapimika, na vinaweza kuwa controlled. Simu usingizi akili, etc, akili ni activity za ubongo ukitoa ubongo we huna akili huna usingizi pia...na huna maisha. Kama unabisha toa ubongo. Software kama za Simu tunaziona na tunaweza tumia kuzifuta kuzitengeneza na kuziharibu. Uchawi is not provable in any form. Hata bacteria hawaonekani kwa macho mpaka watu wa dini walijua magonjwa yote ni mapepo tu Sayansi ikagundua microscope saa hivi tunaona Nini kinasababisha magonjwa. Hoja yako haina mashiko jaribu Tena. Na ulete proof ya uchawi vitu vyote ulivyotaja vina proof, watu Wana ubongo ndo maana Wana akili, ukiharibu ubongo wako umeharibu uwezo wa kufikiria...watu Wanalala na pia upepo upo na unapimika pressure as well as speed by science. Pamoja na uzito pia ndo maana tunaweza nunua gesi na kujaza matairi. Prove uchawi upo
 
Hii uliielezea kwenye story yako ile ambapo yule big wa mafinga alikua anaku search baada ya kutompa chake kwenye mbao ulizozulumiwa na yule mzee tapeli🤣.. Naikumbuka sana ile story yako mpaka mkaenda hadi makaburini.. unaskia vitu vinachoma choma tu🤣🙌
 
🤣🤣🤣Umeona upumbavu wako...huna ushahidi huwo... wenzetu nakuambia wamejenga hoja za logic na science hawawezi amini story story za hapa na pale bila uthibitisho..tofauti Yao na sisi..wewe mbongo ukiskia sijui jini kafanya Nini wapi..coz jamii yako ni ignorant na superstitious hutabisha..Ila wenzetu watafuatilia watakufa chanzo sio jini. Yaani wenzetu wanaenda kutafuta majibu bila kuwa na jibu kichwani, we unaenda na jibu la ushawi so ur conclusion tayari ushamake so ukiona kitu tofauti unakipotezea coz inakinzana na jibu lako, that's not science it's superstitious
 
Miss corridor hata ukimgoogle utamkuta na inajulikana ni story za kichawi za shule za kiafrika. Ni kitu kinajulikana to be just horror stories. Jiulize why kitu uone mwenyewe. Hamna mtu atakubishia unaona jua. Ila ukisema unaona jua limekuwa pink, wakati wote tunaona njano obviously u r crazy
 
Shule za kusomea ujinga hizo.
Kuna tofauti ya jamii yenye watu wenye elimu na yenye watu duni. Dar na rukwa, Kilimanjaro na shinyanga, kagera na lindi. Niambie mikoa gani inaongoza kwa watu wenye elimu na uchumi mzuri na niambie mikoa gani Inaongoza watu wenye Imani za kishirikina. Umeona pattern hio. Ndo hivyo the higher ur education the less unaweza amini ujinga.
 
Hawa wanaojiita wanasayansi waliosoma haya mashule ya kata ya KIKWETE ni watu WAJINGA kuliko mtu yeyote.
Nimesoma shule kubwa maisha yangu yote sio kila mtu maskini Kama wewe jiheshimu...watu wengine sio lazma wataje historia zao kwa sababu huu ni mtandao huru, ni maamuzi yangu kutaka au la
 
Hallucinations
 
Watakwambia hiyo kama movie tu zinatengenezwa.
Angalia kitu kinaitwa breaking the magician code. Afu utaelewa hizi magic tricks zinafanywaje. Ingekuwa uchawi unadhani wangebaki pale. Ile ni entertainment ni Sanaa kama nyingine, sio wajinga wale Kama wewe.
 
Binafsi siwakatalii...Kuna vitu kama hujavishuhudia ni vigumu kuamini

Ila tatizo lao ni kujihisi wanajua pale ambapo hawajui kama hawajui

Maana halisi ya watu wa dizaini hii tunawaita wajinga
🤣🤣🤣we ndo mjinga, ukiona kitu Cha uwongo afu we peke yako we ndo chizi sio sisi. Nenda kagale gale kwa mwamposa kabisa mwambie una mapepo
 
Kama Kuna mtu haamini uchawi..simply inbox me ,kwa nauli yangu ntakutoa huko ulipo ili twende nikakuoneshe uchawi
Sina mda. Kama una evidence of it tuonyeshe... Usalama wangu na mda wangu it's more important
 
Ulimwengu wa mwili kivipi...Kuna ulimwengu mwingine kwani?
 
Why is faith good?
 
How do u know that? How do u prove that? Mbona it seems lyk uchawi is just an excuse. Mtu hajafanikiwa wenzake wamefanikiwa..hoo ni uchawi. It's a dumb excuse ndo maana hatuendelei wenzetu washakua kifikra
 
Tatizo hawa jamaa wao wanaangalia mambo kwa upande mmoja tu na wamejifunga hawataki kabisa kusikia nje ya wanachoamini, wapo radhi wakwambie hilo hatujui ila sio uchawi,jini au Mungu.
How do u know we haujajifunga katika kuamini uchawi? Mbona unanikamia Mimi wakati u doing the same? Je nimebisha kwamba hamna jua? Coz I see it. Nimebisha kwamba joe Biden exists? No, coz hata Kama sijawahi kumuona ila Kuna extraordinary evidence that he does exist. Why niamini kitu ambacho hakina uthibitisho wowote independent zaidi ya story tu za mtu kutokana na kutoelewa kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…