Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Mwezi uliopita nikiwa katika Roho nilishuhudia uchawi nikafanikiwa kuublock.
Kitandani tunalala wanne, mtoto mdogo ukutani mama yake kati mtoto mwingine kati Mimi pembeni yaani mama Yao kazungukwa na watoto pande zote.
Mtoto wa ukutani akawa anahangaika atulii usiku saa Tisa Mara akaamka akampiga kofi mwenzake kutazama juu nje mitaa 100 naangalia naona mfano wa macho mekundu mawili yanatazama mtoto huyu mkubwa.
Nikapeleka fire 🔥 ya nguvu kuelekea Yale mfano wa macho mawili mekundu then yakawa potea.
Nilipata tasfiri ya tukio Hilo kwamba.
Macho mawili mekundu alikua ni mchawi anatuma miale ya kichawi kwa mtoto huyu mkubwa aliyekuwa amelala huyu mdogo kwa sababu ya nguvu za Mungu alizonazo akawa anamuamsha mwenzake aamke ndo maana ya kumpiga Kofi ili aamke kwamba Pana mishale mibaya inaelekezwa kwake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda bac..ulaya makanisa yanageuzwa bar club restaurant kisa watu hawaendi...huku Africa watu ndo wanatajirika na makanisa kisa watu wajinga na Washirikina. Nimekuambiaje Halloween ipo kwa sababu ni tradition. Jamii zao ziliamini uchawi ndio..Ila saa hivi ni fun tu. Ni kama kujikumbushia. Ndo maana watoto wanavaa nguo za mavampires, na vingine kutishana for fun. Ila hawaamini. [emoji1787]Kama unabisha Wikipedia Halloween. Mtu hujui Halloween ni Nini afu unapiga kelele. Yaani ni kama Valentine's day tu, ni siku fulani special kwa ajili ya tradition fulani
Kweli ww ni kilaza...[emoji16][emoji16][emoji16]

Ulaya makanisa yanageuzwa bar??? Kanisa gani limegeuzwa bar??

Mzee kama ulikua ufahamu ulaya ndo watu wanaenda kanisani kuliko bongo

Mzee kwani makao makuu ya katoliki ni wapi??? Ushawahi kuangalia wizara za ma Pope au unaropoka??? Nikupe link ya ziara moja uangalie????
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda bac..ulaya makanisa yanageuzwa bar club restaurant kisa watu hawaendi...huku Africa watu ndo wanatajirika na makanisa kisa watu wajinga na Washirikina. Nimekuambiaje Halloween ipo kwa sababu ni tradition. Jamii zao ziliamini uchawi ndio..Ila saa hivi ni fun tu. Ni kama kujikumbushia. Ndo maana watoto wanavaa nguo za mavampires, na vingine kutishana for fun. Ila hawaamini. [emoji1787]Kama unabisha Wikipedia Halloween. Mtu hujui Halloween ni Nini afu unapiga kelele. Yaani ni kama Valentine's day tu, ni siku fulani special kwa ajili ya tradition fulani
Okaaay sasa kama hawaamini uchawi huyo dada anayefanya hizo magic ww unasema ni trick anafanya matamasha mengi mno na ni gharama kiingilio

Wanaingia watu wazima na wanaogopa

Kingine nimekutolea mfano wa Pope anayetembea ulaya kupambana na majini/wachawi kama hawaamini kwanini bado wanafanya??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaaah kumbe unaamini Musa alikuwa mtu real. Naamini unafuatilia historia ya misri..ipo kwenye history na science channels kibao..how comes from Egypt history au hata Israel history as a secular (sio ya kidini) hamna records zozote za mtu aitwayo Musa, wamisri hawakumiliki wayahudi Kama watumwa, wayahudi hawakukaa jangwani miaka 40(na hamna archaeology inayoonyesha hivyo) na Canaan ilikuwa Egypt colony by the time...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]so Musa nae katungwa tu Kama story nyingine ..Kama unabisha fuatilia history ya dunia sio story za mababu za kutungwa

Kwanini usiamini wakati unaamini Babu Yako nae alikuwa na Babu yake na Babu na Babu yake Tena na Tena na Tena na kuendelea. Je kuna record yoyote ya Babu yako yuleeeeeee wa mbele kule kabisa karibia na ancestors wenu!!? Kama haipo hiyo record inamaanisha hakuwahi kuwepo? Ikipatikana source ikasema history ilifutwa utabadili mtazamo wako ama utasema walikuwa wapi siku zote as sayansi hainaga kikomo na ugunduzi unaendelea Kila siku.
Come again

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787]Ila si wanawake wapo. Mi Nikisema nimeona mbwa hatakama sijawaaminisha na video ya mi kuwa na mbwa tayari mnajua nimemwona coz possibility ipo...Sasa wewe ukisema umelala umeamka Jupiter au umeona ng'ombe anapaa lazma nitaomba uthibitisho coz hii ni extraordinary claim and it requires extraordinary evidence
Nithibitishie kama una akili ama huna basi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo sio wewe kutoamini uchawi ila tatizo hoja zako ni za kitoto mengi unaongea kwa sababu hujui hata mtaani maisha yakoje.
🤣🤣🤣🤣Si nipo mtaani...wanaoamini uchawi ni wajinga na wasio na elimu na watu maskini wa kifikra
 
uchawi upo tena sana ila kama haijakutokea utaweka sna hizo theories za kizungu n.k,Kuna mzungu mmoja maeneo flani walikuwa wanachimba mchanga kutafiti dhahabu na Ile sehemu kuwa wachawi wengi tu si akawa anabisha kuwa hakuna uchawi Dunian,usiku alilala kuamuka kesho yake kanyolewa sehemu za Siri mbona aliacha kulala pale kijijini ikawa Kila siku jioni anenda kulala town NB:uchawi upo ila usiepende Kwa waganga ndo utateseka zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣Story zingine za mtaani..hata mi naweza andika story just to make me feel good...not true
 
Ndugu, unajivua nguo. Nimekuambia movie kama mfano tu wa computer fictions unazofikiri ndio Mazingaombwe.

Nikujuze tu, Mazingaombwe ni kitu live hadharani pasipo manuva yoyote ya computer. Yapo na yalikuwepo hata kabla ya kuja kwa mzungu.
🤣🤣🤣Nani kabisha. Skia nenda kaangalie breaking the magician code..video zinaelezea watu wanafanyaje mazingaombwe, hata wewe unaweza ukajifunza na ukafanya. Ile ni Sanaa ndo maana wanaitwa talented...tumia bac upeo
 
Mara ngapi nakuambia kwamba ukitaka kushuhudia hayo nitafute, Gharama ni nauli yako tu.
Tiba Asilia aiishii na kula mizizi ya muarubaini dogo, Mawanda yake ni mapana, nimekupa mfano tu wa kulala makaburini, na vipo zaidi ya hapo.
🤣🤣🤣Okay so nipoteze nauli yangu kisa uwongo na maujinga yenu .no thank u...we si mchawi..rusha mauchawi yako huku niyaone au uchawi una mipaka?
 
Nilishakuambia, Kinachoitwa Uchawi ni Sayansi. Inakoishia Sayansi yako ya darasani ndipo inapoanzia hiyo mnayoita Uchawi.
Sasa hapo ujiulize mwenyewe ni nani ameishia na Sayansi yake ya Newton.

Unajiona uko huru kumbe ni kondoo uliyenona.
🤣🤣🤣We umeishia la Saba Nini...Sayansi ya darasani inaishia wapi? Niambie. Wat is physics? Wat is chemistry? Wat is biology? Niambie Sasa mwisho wa hizi Sayansi ni wapi afu mwanzo wa huo uchawi ni wapi...🤣maana naona unajikosha tu hapa
 
🤣🤣🤣Okay..uliweza kudefine uchawi niite
Ngoja nikusaidie hilo....
Kuna Utumwa na Ukondoo wa aina 4 mbaya sana...
1. Ukondoo wa Imani.
2. Ukondoo wa Siasa
3. Ukondoo wa Usomi
4. Ukondoo wa Sayansi

Ukipata nafasi ya kutuliza kichwa Jitathimini mwenyewe ili ugundue ulipoangukia. Hofu yangu una vifungo vingi sana, Ujuaji ukiongoza.

Pole sana Mkuu!
 
Kwanini usiamini wakati unaamini Babu Yako nae alikuwa na Babu yake na Babu na Babu yake Tena na Tena na Tena na kuendelea. Je kuna record yoyote ya Babu yako yuleeeeeee wa mbele kule kabisa karibia na ancestors wenu!!? Kama haipo hiyo record inamaanisha hakuwahi kuwepo? Ikipatikana source ikasema history ilifutwa utabadili mtazamo wako ama utasema walikuwa wapi siku zote as sayansi hainaga kikomo na ugunduzi unaendelea Kila siku.
Come again

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Naona umejikosha...hamna evidence ya mtu kuitwa Musa..Wala wayahudi kuwepo misri...wayahudi ni kikundi kikubwa Cha watu..ni sawa Leo kusiwe na ushahidi ya waarabu kuja Tanganyika...Ila ushahidi upo Kuna magofu, maandiko, na vifaa...hamna ushahidi Sasa wa wayahudi kutoka misri...ni story ya kutungwa...soma history ya dunia achana na history za kutungwa na Washirikina....😁Sasa sijui babu yangu ameingiaje
 
Back
Top Bottom