Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Ngoja nikusaidie hilo....
Kuna Utumwa na Ukondoo wa aina 4 mbaya sana...
1. Ukondoo wa Imani.
2. Ukondoo wa Siasa
3. Ukondoo wa Usomi
4. Ukondoo wa Sayansi

Ukipata nafasi ya kutuliza kichwa Jitathimini mwenyewe ili ugundue ulipoangukia. Hofu yangu una vifungo vingi sana, Ujuaji ukiongoza.

Pole sana Mkuu!
🤣🤣🤣🤣Ukondoo? Me najua kondoo ni mnyama so sijui Ukondoo ni Nini..na hamna mtu ni mtumwa wa Sayansi. Sayansi hubadilika, hukubali Kama hapa tulikosea..ndo maana kila siku magari Simu na vitu vingine Bora vipya vinatoka. Ndo maendeleo, ushirikina unalazimisha alichoamini Babu ambae hakujua dunia ni duara na wewe kitukuu uamini hicho hicho. Ndo maana napinga maendeleo coz bila kukosoa walichoamini mababu hatuwezi kuendelea kifikra...so so far uchawi ni uwongo .embrace science and knowledge coz inaenda na wakati na uvumbuzi wa kimaarifa
 
🤣🤣🤣Okay so nipoteze nauli yangu kisa uwongo na maujinga yenu .no thank u...we si mchawi..rusha mauchawi yako huku niyaone au uchawi una mipaka?
Uchawi sio Miujiza. Ni Sayansi, una Laws and Principles, zikifikiwa Zinatenda na zisipofikiwa hazifanyi kazi. Ni kutega na Kutegua.

Una kiburi cha kuelewa.
 
Uchawi sio Miujiza. Ni Sayansi, una Laws and Principles, zikifikiwa Zinatenda na zisipofikiwa hazifanyi kazi. Ni kutega na Kutegua.

Una kiburi cha kuelewa.
It's no longer uchawi Sasa hiyo ni Sayansi. Una contradict..ni sawa na Mimi niseme ng'ombe ni mbuzi..kisa wote wananyonyesha...umeelewa ujinga unafanya
 
Usipende kuamini kwa maono yako, ulicho nacho ww baki nacho hvyo hivyo na usilazimishe kila mtu aamini kitu unacho kifikilia ww
🤣Silazimishi..we ukitaka kuamini miujiza amini tu...Ila nikikuambia kwamba ni uwongo na ujinga usilalamike...
 
🤣🤣🤣🤣Ukondoo? Me najua kondoo ni mnyama so sijui Ukondoo ni Nini..na hamna mtu ni mtumwa wa Sayansi. Sayansi hubadilika, hukubali Kama hapa tulikosea..ndo maana kila siku magari Simu na vitu vingine Bora vipya vinatoka. Ndo maendeleo, ushirikina unalazimisha alichoamini Babu ambae hakujua dunia ni duara na wewe kitukuu uamini hicho hicho. Ndo maana napinga maendeleo coz bila kukosoa walichoamini mababu hatuwezi kuendelea kifikra...so so far uchawi ni uwongo .embrace science and knowledge coz inaenda na wakati na uvumbuzi wa kimaarifa
Sasa kaanze kutafuta kujua Ukondoo ni nini kwanza. Maana hujijui kabisa.
 
umekaa na wasomi wote haijawatokea!? Na wasomi Gani hao,mbona wapo wameshatokewa na hayo mambo na hata masikini si wote waliwahi kutokewa,wapo wasomi waliofanyiwa uchawi mpaka Leo akili zao hazipo sawa na wameenda hospitals kubwa hawaoni ugunjwa nalo unasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Hospital gani .. nionyeshe records za hospital walizoenda na doctors report kusema hawaoni kitu...🤣Hizi ni story za wanaoenda kwa mwamposa...🤣eti nimeenda hospitali zote sijaona kitu...we hospital zote unazijua ..acheni kuwadharau watu ambao wamesoma zaidi ya miaka 10 ili kuokoa maisha yako kisa tapeli mmoja kijijini kwenu. Ndo maana hamuendelei kifikra...wenzetu wanatengeneza chanjo tunaletewa sisi solution zetu ni kujifukiza. 🤣Ila bongo
 
Unataka uthibitishiwe kitu ambacho hukijui? Unaona utoto wako sasa dogo. Hujui majini ni nini unakimbilia kutaka uthibitishiwe.
🤣🤣🤣Majini ni nonsense tu...ni beliefs za pagan Arabs ambazo mtume aliziiba akizitia kwenye uislam. Ndo maana majini ni central belief in Islam. Na ukiwa muislam lazma uamini majini...🤣 otherwise ni story tu ka zingine
 
Mwezi uliopita nikiwa katika Roho nilishuhudia uchawi nikafanikiwa kuublock.
Kitandani tunalala wanne, mtoto mdogo ukutani mama yake kati mtoto mwingine kati Mimi pembeni yaani mama Yao kazungukwa na watoto pande zote.
Mtoto wa ukutani akawa anahangaika atulii usiku saa Tisa Mara akaamka akampiga kofi mwenzake kutazama juu nje mitaa 100 naangalia naona mfano wa macho mekundu mawili yanatazama mtoto huyu mkubwa.
Nikapeleka fire 🔥 ya nguvu kuelekea Yale mfano wa macho mawili mekundu then yakawa potea.
Nilipata tasfiri ya tukio Hilo kwamba.
Macho mawili mekundu alikua ni mchawi anatuma miale ya kichawi kwa mtoto huyu mkubwa aliyekuwa amelala huyu mdogo kwa sababu ya nguvu za Mungu alizonazo akawa anamuamsha mwenzake aamke ndo maana ya kumpiga Kofi ili aamke kwamba Pana mishale mibaya inaelekezwa kwake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oa mwanangu bomba la story... Asante Sana umetuelimisha kua uchawi upo...😁yaani mtoto apo kazaliwa baba mjinga mama mjinga mnategemea mtoto asiamini majini...mi najua watoto ambao wamezaliwa familia elegant wanaongelea siasa Sayansi philosophy mada za kisomi huwezi ona wanabishana kuhusu story za mababu...Ila uzaliwe baba na mama wote duni...😁 mtoto lazma iyo
 
It's no longer uchawi Sasa hiyo ni Sayansi. Una contradict..ni sawa na Mimi niseme ng'ombe ni mbuzi..kisa wote wananyonyesha...umeelewa ujinga unafanya
Ungekuwa unaelewa hivyo usingekurupuka kusema hakuna Uchawi.

Nitarudia tena, UCHAWI UNAANZIA PALE WAJIITAO WANASANSI MAMBOLEO WALIPOISHIA. Kushindwa kwao kuelewa kilicho nje ya uelewa wao ndiko kulikofanya wakatae uwepo wa Sayansi beyond Today's Sayansi.

Na nyinyi kondoo wao mnameza tu bilakufikiria hata kidogo.

Halafu ungekuwa mkamilifu walau ungefika hata kwa Waganga wa Kienyeji hata wa3, uwahoji kiutafiti wako kujua nini ni nini hasa.
HATA KUFIKA KWA MGANGA UNAOGOPA HALAFU unapiga kelele mtandaoni hakuna Uchawi. Kama haupo unachoogopa nini?
 
Kweli ww ni kilaza...[emoji16][emoji16][emoji16]

Ulaya makanisa yanageuzwa bar??? Kanisa gani limegeuzwa bar??

Mzee kama ulikua ufahamu ulaya ndo watu wanaenda kanisani kuliko bongo

Mzee kwani makao makuu ya katoliki ni wapi??? Ushawahi kuangalia wizara za ma Pope au unaropoka??? Nikupe link ya ziara moja uangalie????
Google decline in church attendance in western countries
.afu ndo urudi uongee na Mimi...🤣maana naona Vatican ya papa ndo unaichukulia ulaya nzima..Ile nchi ni ndogo kuliko kinondoni...ufaransa ukristo ni less than 40% watu wasio na dini ni Zaid ya asilimia 30% 🤣🤣🤣Sasa we papa na kanisa lake moja lisikuchanganye...fatilia sawa. Mi naongea vitu Nina data
 
Okaaay sasa kama hawaamini uchawi huyo dada anayefanya hizo magic ww unasema ni trick anafanya matamasha mengi mno na ni gharama kiingilio

Wanaingia watu wazima na wanaogopa

Kingine nimekutolea mfano wa Pope anayetembea ulaya kupambana na majini/wachawi kama hawaamini kwanini bado wanafanya??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nani kasema anatembea ulaya kupambana na majini...Mbona muongo wewe...🤣au movie ya Pope's exorcist ndo inakuchanganya...🤣aaah kueni bac
Kingine, Ile ni talent Kama dancing, anafanya mazoezi, anajifunza, Sasa unategemea uangalie bure...🤣na kuhusu kuogopa mi naweza nikaangalia IT nikaogopa doesn't mean naamini yule clown 🤣Si movie imetengenezwa kushtua au...🤣🤣🤣we una hoja za kitoto kichizi
 
🤣🤣🤣🤣Ukondoo? Me najua kondoo ni mnyama so sijui Ukondoo ni Nini..na hamna mtu ni mtumwa wa Sayansi. Sayansi hubadilika, hukubali Kama hapa tulikosea..ndo maana kila siku magari Simu na vitu vingine Bora vipya vinatoka. Ndo maendeleo, ushirikina unalazimisha alichoamini Babu ambae hakujua dunia ni duara na wewe kitukuu uamini hicho hicho. Ndo maana napinga maendeleo coz bila kukosoa walichoamini mababu hatuwezi kuendelea kifikra...so so far uchawi ni uwongo .embrace science and knowledge coz inaenda na wakati na uvumbuzi wa kimaarifa
Nikuache ndugu, kama bado unapima maendeleo kwa smartphone, magotofa na magari, basi tambua SAFARI YAKO NI NDEFU NA NGUMU MNO.

Kinachoumiza zaidi ni Anguko la Watoto wako kuwa na mzazi aina yako.
 
Bado wanatoa mpaka leo hujui???

Kama mapepo hmna kwanini wasifunge makanisa??
🤣🤣🤣🤣 Makanisa yenu ya mwamposa na wajinga wenzako ndo wanatoa mapepo...nenda kwenye makanisa ya uingereza Germany etc..kanisa la royal family ambae king Charles anasali.. ushawahi skia wanagala chini Kama maskini wa bongo wenye njaa za hongo za wachungaji. 🤣Wazungu Kama wanaamini Mungu, wanaamini ni muumbaji na anayetupa uzima na motisha..Ila kazi wanafanya, akili wanazo na maendeleo wanayo..sisi kazi kuomba kuamini ujinga kazi hatufanyi
 
Ungekuwa unaelewa hivyo usingekurupuka kusema hakuna Uchawi.

Nitarudia tena, UCHAWI UNAANZIA PALE WAJIITAO WANASANSI MAMBOLEO WALIPOISHIA. Kushindwa kwao kuelewa kilicho nje ya uelewa wao ndiko kulikofanya wakatae uwepo wa Sayansi beyond Today's Sayansi.

Na nyinyi kondoo wao mnameza tu bilakufikiria hata kidogo.

Halafu ungekuwa mkamilifu walau ungefika hata kwa Waganga wa Kienyeji hata wa3, uwahoji kiutafiti wako kujua nini ni nini hasa.
HATA KUFIKA KWA MGANGA UNAOGOPA HALAFU unapiga kelele mtandaoni hakuna Uchawi. Kama haupo unachoogopa nini?
🤣🤣🤣🤣 Nimeshakwenda kwa mganga wote ni matapeli tu hamna kazi..na mtu yoyote aliye elimika anajua Hilo...🤣🤣🤣nimekuuliza Sayansi inaishia wapi? Hujibu
 
Why...why sio dar au kisa watu wanasimu za kurecord matukio
Uchawi dar hauko Kwa kiwango kikubwa. Ndo mana watu hawauon sana mana unakimbizana sana na maisha ya usasa. Vijijini hasa Kwa umakonde huko ndo utaonana nao laiv mana ni shamba. Na watu wake elimu hakuna so wanang'ang'ana! Na mawazo ya kizamani. Uchawi na usasa haukai pamoja
 
Nikuache ndugu, kama bado unapima maendeleo kwa smartphone, magotofa na magari, basi tambua SAFARI YAKO NI NDEFU NA NGUMU MNO.

Kinachoumiza zaidi ni Anguko la Watoto wako kuwa na mzazi aina yako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Maendeleo ni kuona majini au sio ..ao majini si ndo watalisha familia, watasomesha watoto...sawa
 
Uchawi dar hauko Kwa kiwango kikubwa. Ndo mana watu hawauon sana mana unakimbizana sana na maisha ya usasa. Vijijini hasa Kwa umakonde huko ndo utaonana nao laiv mana ni shamba. Na watu wake elimu hakuna so wanang'ang'ana! Na mawazo ya kizamani. Uchawi na usasa haukai pamoja
🤣🤣🤣Coz haupo...mtu hajui dunia ipoje, hajui hallucinations, mtu hajaenda shule Kama kaenda kafeli katoka hamna kitu...mtu maskini...lazma utaona maruweruwe na kusema uchawi...lazma utaenda kwa waganga wakudanganye..Ila mtu aliyeelimika, na ana fikra za kimaendeleo hawezi endekeza kuamini vitu visivyo halisi...🤣🤣🤣Sasa Kama dar haupo si inamaanisha I'm ryt... uchawi unachagua wajinga na maskini au?
 
Back
Top Bottom