Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Pimbi huyo, eti anataka aoneshwe Uthibitisho Kwa kuandika humu ndani.

Sayansi yake yenyewe inahitaji mchakato wa kimaabara kujithibitisha, yeye anataka kuona nini sijui.

Ni limbukeni fulani hivi wa kuokotaokota stori za vijiweni.
Mpumbavu tu huyo yaan anakera kinoma
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kitendo cha kuona kitu kinaamliwa na wanaokutazama au wewe unayetazama kitu husika?
 
Hao ndio wachawi wenyewe wanapoteza lengo la uzi ili tusiwatambue
 
Bundi ni ndege wakawaida tu na ni ndege mzuri sana kama hutamuangalia kwa jicho la kishirikina.

Huu uzi mpaka unafika 1K replies ineonesha ni jinsi gani watu wamezama kwenye imani za ushirikiana.

Lakini nataka nikuambie kama utaendelea kutafuta suluhu ya mgogoro wa kimahusiano kati yako na mkeo kwa mawazo ya ushirikina basi utaenda kufeli.

Hakuna uchawi, hakuna, majini, hakuna mizimu wala hakuna kurogana.

Nakuambia ukiendekeza fikra hizo utajikuta unajitengenezea maadui wengi ukiwadhania ni wachawi wanaokutakia mabaya wakati sio.

Huu uzi mi nautumia kama entertainment tu ila nime quote post yako baada ya kuona umeweka ombi la kutaka ushauri.

Ushauri wangu kwako ndio huo whether you like it or not lakini hakuna chemistry yeyote kati ya bundi na mafarakano yenu na mkeo.

Bundi ni ndege tu
 
Acheni kupotosha watu washindwe kuangalia namna sahihi ya kudili na changamoto zao wajikite kutafuta ufumbuzi kwenye maswala ya kufikirika.

Ongelea uchawi kama stori kufurahisha watu ila sio opt ya kumshauri mtu kwenye utatuzi wa shida zake.
 
Acheni kupotosha watu washindwe kuangalia namna sahihi ya kudili na changamoto zao wajikite kutafuta ufumbuzi kwenye maswala ya kufikirika.

Ongelea uchawi kama stori kufurahisha watu ila sio opt ya kumshauri mtu kwenye utatuzi wa shida zake.
Ila hayo mambo ya kufikirika kama kweli yanatoa ufumbuzi wa matatizo yao basi bora uache watu watatue shida zao kwa hayo mambo.
 
Nitafute kwa wakati wako ili nipate kumtibia apate kupona huyo dogo uchawi upo .
 
Kama huna shida na imani za watu kwa nini unataka wakuthibitishie?
 
Kama huna shida na imani za watu kwa nini unataka wakuthibitishie?
Huwa wanadhani kwa wengine kushindwa kuthibitisha imani zao ndio moja kwa moja kunawafanya wao kuwa sahihi kwa wanayoyaamini wao. Kama utafuatilia vizuri utaona wanakimbilia kudai uthibitisho na wanatumia muda mwingi kudai huo uthibitisho(hata kama hicho kitu hawakifahamu vizuri) kuliko hata kueleza zaidi hayo wanayoyajua wao.

Kung'ang'ania kudai uthibitisho ni kama kinga na silaha kwao katika kushambulia imani za wengine.
 
Ujuaji mwingi katika huu Uzi kama kitu huamini wewe why ulazimishe wengine wakuamini wewe Bora mkaa kimya
🤣Hivi wewe...what's wrong with educating ppo..hizi Imani hazina faida kwa mtu yoyote zaidi yakuendeleza ujinga na umaskini. Sawa amini unachoamini...amini bac Mungu yupo mawinguni, ila ukianza kuamini kwamba Kuna watu wanafanikiwa kwa uchawi, wewe unafeli kwa uchawi, unakuwa hausolve tatizo lako..Bali kutafuta visingizio tu
 
Pimbi huyo, eti anataka aoneshwe Uthibitisho Kwa kuandika humu ndani.

Sayansi yake yenyewe inahitaji mchakato wa kimaabara kujithibitisha, yeye anataka kuona nini sijui.

Ni limbukeni fulani hivi wa kuokotaokota stori za vijiweni.
🤣Unahitaji maabara ulione jua...🤣Kuna many forms of research bana experimentation is just one of them.. Rudi form 4 geography
 
🤣🤣🤣🤣Ndio...kwa Nini utudanganye Sasa...yaani we uje uje tu na story zako mbele ya watu wazima wenzako afu si tukuamini tu kisa we unaamini. Dunia haipo hivyo, Kama huna uthibitisho huna maana, hata sheria inafanya kazi hivyo. Sayansi same thing. Bac Kama huna uthibitisho tofautisha situations ambazo uchawi unahusika na hauhusiki..🤣bado huwezi..Sasa unakuta situation moja mwingine asie na elimu anasema ni uchawi mwingine anaona ni natural coincidence au hallucinations. So ili tuweke kitu clear lazma wote tuone...🤣🤣tuna attack Imani kwa sababu Imani itself it's an excuse. Mtu anaweza abudu jua mbwa it's just imani, wote wakiomba wanapewa..the question comes ni kweli jua linajibu maombi au ni we mwenyewe..same applied to uchawi na Imani nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…