Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Basi msipende kulihusisha hilo neno uchawi kwenye kuzungumzia kutokuendelea kwa afrika, waarabu wametupita kimaendeleo na ndio wanaamini dini na uchawi pia.
๐Ÿ˜‚We unajuaje...unajuaje kwamba matajiri wa Dubai wanaamini uchawi. We kisa Quran imeandikwa majini ndo nao wanaamini kisa waislamu au...we vitu vingapi vipo kwenye vitabu vya dini huamini na hujui lakini bado unaamini hio dini...njoo na hoja bana
 
๐Ÿ˜‚Eeeh
 
๐Ÿ˜…So tunabishana Kama jua lipo...skia, โ˜บ๏ธKama hulioni jua unaona majini yako, nenda mirembe
Ni nani huyo umebishana nae ubishi wa kitoto huo kuwa Jua halipo au lipo? Naona umeanza kujitungia mjadala mwepesi.

LETE USHAHIDI HUMU NDANI JUU YA NINI KINAFANYA JUA. Usijitoe akili.
 
Mimi binafsi sijasema kuwa ni uchawi ule au siobuchawi, hivyo mtazamo wangu ni kuwa yaweza kuwa moja wapo kati ya hayo mawili kuwa ni kiwewe tu cha kawaida au pia ni ushirikina kwa sababu michezo hiyo ipo.
But u can't prove ipo...it's just an easy answer...mtu unajiskia raha kusema ni uchawi au miujiza coz it is more appealing. Lakini unaona uvivu kufikiria the real reason..ndo maana wenzetu wameendelea
 
Mbona unajichanganya mara utajiri wao ni kwa sababu ya mafuta tu na sijui ule uwekezaji ni wa wazungu mara tena waarabu wamesoma na wengi hawaamini uchawi siku hizi, sasa hapo mie nielewe lipi kuhusu hao waaarabu?
Vyote
 
Mi naweza nikasema Babu yako amefariki na kweli akawa amefariki. It's just a mind game intelligent guess
Hamna Cha kutisha..pia Kuna placebo effect, so yeah..
 
Ni nani huyo umebishana nae ubishi wa kitoto huo kuwa Jua halipo au lipo? Naona umeanza kujitungia mjadala mwepesi.

LETE USHAHIDI HUMU NDANI JUU YA NINI KINAFANYA JUA. Usijitoe akili.
It's none of my business...nenda NASA for that..sijasoma physics Mimi
 
Uchawi upo unabisha uchawi haupo na unaamini kuna MUNGU wewe ni mwehu
 
It's none of my business...nenda NASA for that..sijasoma physics Mimi
Sasa na hoja zako za kuleta uthibitisho wa Uchawi humu ndani zife, maana unajua wapi wachawi wanaishi. Wafuate ukajithibishie madai yako.

Halafu namna yako ya kuitaja NASA inakufanya uonekane ni hamnazo kichwani.

Kaa chini!
 
Ungejipa muda wa kutumia akil hata usingefika kote huku..Anyway.Kuelewa mambo kwa upana nacho ni kipaji na si cha kila mtu.Pole mkuu.
 
DP World.
 
Kwahiyo hata walinzi, madereva na wavuvi wa huko kwa wenzetu nao hupatwa na uchovu na kuona vitu kama hivyo?

Vp kuhusu mimi kuota ndoto mbaya nilipokuwa nalala chumba kilichowahi kutumiwa na mganga? Kisaikolojia hii ikoje?
 
Mbona povu? Kwa sababu ni matajiri ndio maana unaona hawaamini uchawi kwa kuwa umekariri kuwa watu masikini tu ndio wanaamini uchawi na kuamini kwao uchawi ndio huwafanya wawe masikini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ