Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Ni wapi nimesema nimekuelewa??

Nimejaribu kukuelewesha nani anatakiwa kumuelewa mwenzake?
Hujasema umenielewa hiyo ni two dimensional semantics.

sioni ulichonielewesha zaidi ya kujustify stori zako pasi na uthibitisho.
 
Hallucinations ni uzoefu usio wa kawaida wa kuona, kusikia, au kuhisi vitu ambavyo havipo kimwili au kwenye mazingira halisi.
Halafu tazama sentensi yako sikuwa "stressed kihivyo"
Mkuu analyse mimi binafsi huwa siamini uchawi wala uwepo wa mungu.
Hata mimi hallucinations nisha experience na siyo lazima uwe stressed unaweza kuwa kuwa ecstatic na BADO hii hali ikakupata.
Na wachache naowafahamu waliopitia HALI hii huwa kuna vitu vinaendelea kwenye maisha yao havipo Sawa.
'Havipo kimwili'. Kwa phrase yako hii ndio sasa usimkatalie mtu aliyeona kitu ila si kimwili, wewe utasema hallucinations (psychology), mtu wa faith atasema maoni ( vision). Tofauti ni kuwa kuna watu vitu hivyo huwavuta katika hatari inayoonekana kimwili ila sababu haionekani kimwili (ndo wengine husema uchawi). Hallucinations unasikia, unaona au unasikia harufu ya vitu ambavyo havipo kabisa na huingii hatarini mpaka ufahamu wako urudi.
Wasemao juu ya uchawi ni pale hali hiyo (isiyoeleweka kwa nje) inakutia kwenye kiwewe mpaka hatari ( dereva anasema yupo speed ktk eneo analolifahamu siku zote hakunaga watu, ila ghafla mtu anakatiza barabara, kumkwepa ni kutengeneza sababu ya nje ya ajali na vifo. Wenye uzoefu wanasema amua kugonga tu). Na kwa kuwa hallucinations hazipimiki kwa nje, inawezekana kabisa kuwa hata hallucinations ni uchawi pia maana vyote sio ktk ulimwengu huu wa mwili.
 
Kwahiyo uchawi wako una kikomo? Kwamba mtu asipo ku inbox hauwezi kufanya kazi?

Embu tuthibitishie kweli uchawi upo na si stori za kufikirika?
Nimetuma video hapo juu

Mtu akifanya uchawi kwenye stage hujaiona?????
20230803_161817.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230803-103603_YouTube.jpg
    Screenshot_20230803-103603_YouTube.jpg
    30.7 KB · Views: 13
Hakuna mtu yupo hapa kwa ajili ya kukuthibitishia chochote ili uamini?? Alafu ukishaamini atafaidika nini??

Ila kujifanya hujui kitu unachojua haitakusadia chochote

Hujanithibitishia mtu aliyefanikiwa kwa uchawi.
 
'Havipo kimwili'. Kwa phrase yako hii ndio sasa usimkatalie mtu aliyeona kitu ila si kimwili, wewe utasema hallucinations (psychology), mtu wa faith atasema maoni ( vision). Tofauti ni kuwa kuna watu vitu hivyo huwavuta katika hatari inayoonekana kimwili ila sababu haionekani kimwili (ndo wengine husema uchawi). Hallucinations unasikia, unaona au unasikia harufu ya vitu ambavyo havipo kabisa na huingii hatarini mpaka ufahamu wako urudi.
Wasemao juu ya uchawi ni pale hali hiyo (isiyoeleweka kwa nje) inakutia kwenye kiwewe mpaka hatari ( dereva anasema yupo speed ktk eneo analolifahamu siku zote hakunaga watu, ila ghafla mtu anakatiza barabara, kumkwepa ni kutengeneza sababu ya nje ya ajali na vifo. Wenye uzoefu wanasema amua kugonga tu). Na kwa kuwa hallucinations hazipimiki kwa nje, inawezekana kabisa kuwa hata hallucinations ni uchawi pia maana vyote sio ktk ulimwengu huu wa mwili.

Hallucinations si uchawi sababu hallucinations inaweza elezewa kisayansi.
Hallucinations inasababu zake nikupe kitabu usome?
 
Hallucinations si uchawi sababu hallucinations inaweza elezewa kisayansi.
Hallucinations inasababu zake nikupe kitabu usome?
Sijakukatalia na ni kweli sayansi inakupa sababu ya wewe kuwa ktk hali hiyo ( msongo wa mawazo, hofu isiyodhitika/ anxiety, sonona, upweke nk) ndio maana mtu anaweza kusikia sauti ikimsemesha na akajibu, mtu anaweza kuona picha ambayo haipo na akaduwaa au kuifata lakini ghafla hali hiyo hupotea ( like sleep walkers), japo cerebral malaria nayo huleta hali hii ila uchawi unapitiliza haya, mfano wa ndugu wa mwenge (watu huku nje wanaona anakaribia hatari ila yeye anahangaika ni mtu ambaye wengine hawamuoni).
Mimi nina rafiki alinisimulia kuwa wakati anaendesha bike ghafla sauti yenye nguvu ikwamwamuru rukaa! Pasi kujiuliza akaruka upande wa nje ya barabara harafu akaona ni kama kuna mtu amemdaka. Ile kutua chini bike yake imeharibika kwa kugongwa ila watu wakasema ni gari imekutupa nje. Sasa anajiuliza gari ilikuwa nyuma haioni, nani alimwambia ruka? Nani alimdaka nk, maswali haya sayansi itaishia kusema ni hallucination ila watu wa faith watavuka mpaka na kusema is about God or devil.
 
Nimejibu na kukupa mifano ya POLISi majirani zangu wawili.
KWA muktadha wa tafasiri yako tupe connection ya mtu kufanikiwa kwa uchawi?
Mimi nimekujibu na nimetolea mifano mingi ambayo watu wote wamefanikiwa kwa kufanya kazi. Nipe mfano wa mtu aliyefanikiwa kwa uchawi?
Nilikuuliza wote wasiofanikiwa na wanafanya kazi ni kwa sababu ya kutojinyima na kutumia hovyo mishahara yao kama hao uliyowatolea mifano? Ili tujue kwamba wote tukifanya kazi halafu tukafuata kanuni ya kujinyima basi wote tufanikiwe kama hao polisi.

Huko nyuma niligusia kitu kuhusu nyota kung'aa au tuseme mvuto kwa maana unaweza ukawa ni msanii mzuri unaimba vizuri ila hauna mvuto haukubaliki kwa watu au ni mwanasiasa ila hauna mvuto kwa watu, hivyo ni vitu ambavyo vipo na vikikosekana kwa hao watu wawili vinaweza kufanya kushindwa kufikia mafanikio kwa hao watu aina mbili. Kwahiyo uchawi unaweza ukatumika katika mazingira kama hayo ili kupatikana huo mvuto ambao utasaidia katika kazi zao.

Uchawi pia hutumika kwenye biashara katika hali ya kuvuta wingi wa wateja, haya mambo yapo tunaishi nayo kwahiyo hivyo ndivyo uchawi unavyotumika nimeona nikuelezee kwanza.
 
Sijakukatalia na ni kweli sayansi inakupa sababu ya wewe kuwa ktk hali hiyo ( msongo wa mawazo, hofu isiyodhitika/ anxiety, sonona, upweke nk) ndio maana mtu anaweza kusikia sauti ikimsemesha na akajibu, mtu anaweza kuona picha ambayo haipo na akaduwaa au kuifata lakini ghafla hali hiyo hupotea ( like sleep walkers), japo cerebral malaria nayo huleta hali hii ila uchawi unapitiliza haya, mfano wa ndugu wa mwenge (watu huku nje wanaona anakaribia hatari ila yeye anahangaika ni mtu ambaye wengine hawamuoni).
Mimi nina rafiki alinisimulia kuwa wakati anaendesha bike ghafla sauti yenye nguvu ikwamwamuru rukaa! Pasi kujiuliza akaruka upande wa nje ya barabara harafu akaona ni kama kuna mtu amemdaka. Ile kutua chini bike yake imeharibika kwa kugongwa ila watu wakasema ni gari imekutupa nje. Sasa anajiuliza gari ilikuwa nyuma haioni, nani alimwambia ruka? Nani alimdaka nk, maswali haya sayansi itaishia kusema ni hallucination ila watu wa faith watavuka mpaka na kusema is about God or devil.
Tatizo hawa jamaa wao wanaangalia mambo kwa upande mmoja tu na wamejifunga hawataki kabisa kusikia nje ya wanachoamini, wapo radhi wakwambie hilo hatujui ila sio uchawi,jini au Mungu.
 
Nilikuuliza wote wasiofanikiwa na wanafanya kazi ni kwa sababu ya kutojinyima na kutumia hovyo mishahara yao kama hao uliyowatolea mifano? Ili tujue kwamba wote tukifanya kazi halafu tukafuata kanuni ya kujinyima basi wote tufanikiwe kama hao polisi.

Huko nyuma niligusia kitu kuhusu nyota kung'aa au tuseme mvuto kwa maana unaweza ukawa ni msanii mzuri unaimba vizuri ila hauna mvuto haukubaliki kwa watu au ni mwanasiasa ila hauna mvuto kwa watu, hivyo ni vitu ambavyo vipo na vikikosekana kwa hao watu wawili vinaweza kufanya kushindwa kufikia mafanikio kwa hao watu aina mbili. Kwahiyo uchawi unaweza ukatumika katika mazingira kama hayo ili kupatikana huo mvuto ambao utasaidia katika kazi zao.

Uchawi pia hutumika kwenye biashara katika hali ya kuvuta wingi wa wateja, haya mambo yapo tunaishi nayo kwahiyo hivyo ndivyo uchawi unavyotumika nimeona nikuelezee kwanza.

Uchawi hauwezi kutumika katika biashara. Kuvuta wingi wa wateja ni sababu hiyo sehemu kuna watu na watu hao Wana demand bidhaa, wanauza siyo sababu ya uchawi sababu kuna product ndani ya duka na watu Wana demand hiyo product na pia jinsi ya kuongea na wateja.

Sasa mimi nimekuelezea jinsi watu wanavyofanya biashara. Embu elezea uchawi jinsi unavyofanya mtu kufanikiwa.

Hakuna dawa za kichawi za kuvuta wateja kanuni za biashara ni product, price,place na promotion.

Elezea uchawi unavyofanya mtu anafanikiwa.
Point ni kwamba vitu vyote unavyosema vinaelezeka
 
Sijakukatalia na ni kweli sayansi inakupa sababu ya wewe kuwa ktk hali hiyo ( msongo wa mawazo, hofu isiyodhitika/ anxiety, sonona, upweke nk) ndio maana mtu anaweza kusikia sauti ikimsemesha na akajibu, mtu anaweza kuona picha ambayo haipo na akaduwaa au kuifata lakini ghafla hali hiyo hupotea ( like sleep walkers), japo cerebral malaria nayo huleta hali hii ila uchawi unapitiliza haya, mfano wa ndugu wa mwenge (watu huku nje wanaona anakaribia hatari ila yeye anahangaika ni mtu ambaye wengine hawamuoni).
Mimi nina rafiki alinisimulia kuwa wakati anaendesha bike ghafla sauti yenye nguvu ikwamwamuru rukaa! Pasi kujiuliza akaruka upande wa nje ya barabara harafu akaona ni kama kuna mtu amemdaka. Ile kutua chini bike yake imeharibika kwa kugongwa ila watu wakasema ni gari imekutupa nje. Sasa anajiuliza gari ilikuwa nyuma haioni, nani alimwambia ruka? Nani alimdaka nk, maswali haya sayansi itaishia kusema ni hallucination ila watu wa faith watavuka mpaka na kusema is about God or devil.

Vyote ulivyoandika ndiyo hallucinations ilivyo
 
Kuna siku nilikuwa natoka kwenye mihangaiko yangu. Sasa kufika maeneo ya njia panda ya Mwenge nikawa navuka barabara. Wakati navuka, kuna jamaa naye akawa anavuka in opposite direction (tukawa tunaangaliana).

Sasa tukawa kama tunataka kupamiana. Maana nikienda kushoto, jamaa nae anaenda kushoto. Nikienda kulia, jamaa nae anaenda kulia, hadi tukawa tumekaribiana kabisa. Nikaganda kidogo ili kumruhusu yeye afanye uhamuzi, then tupishane, jamaa nae akawa kama vile ananisikilizia Mimi ndo nifanye uhamuzi. Haya yote yalitokea kwa haraka sana, ndani ya muda mfupi, na muda huo kuna cruiser ipo speed inatokea uelekeo wa Kawe inakuja uelekeo wetu Mimi na yule jamaa maana tupo katikati ya barabara, na muda huo zimeruhusiwa gari zinazotoka upande wa Kawe kwenda makumbusho na zinazokata Kona kwenda mawasiliano, za kutokea Makumbusho zimepigwa pini.

Baada ya kuona yule jamaa nae kasimama hanipishi, nikaamua kupita kushoto kwake, ili yeye apite kulia, cha ajabu na yeye akaja upande ule ule, tukawa tumekaribiana kabisa. Baada ya kuhisi hapa tutagongwa na Ile cruiser kwa uzembe, nilijikusanya nguvu zangu zote, nikaamua kumpiga push yule jamaa ili wote tuangukie upande wake, maana sikuwa tena na namna.

Ajabu ni kwamba nilivyojipeleka kumpush, nilijikuta napush hewa, alaf nikaangukia upande wa pili, yule jamaa hakuwepo aisee. Kile kitendo cha kuanguka, Ile cruiser ilipita speed, ikanikosa kidogo sana na haikusimama Wala kupunguza mwendo. Watu waliokuwa maeneo Yale walijua nijirusha kukwepa Ile cruiser, kumbe Mimi nilikuwa nataka kumpush mtu, na wao hawakuona mtu yoyote.
Oya ujui Chai zako hizi zinatuunguza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom