Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Ndege ilivyo nzito vile halafu eti inapaa angani hakuna sayansi sijui physics yoyote pale. Wazungu wachawi sana mama yake.
 
Last born wetu aliumwa sana mika ile, yaani aliumwa sana. Mwisho mama akaamua aende kwa kaka yake Dar hapo sinza ili amuunganishe na jirani yake aende muhimbili. Bahati nzuri alimungqnisha na Dr mwingine aliyekuwa anafanya Tumaini hosp ile iliyokuwa karibu na diamond hall pale. Pale alichomwa sindano nyingi tuu na madawa kibao miezi mitatu mtoto akapona vizuri. Baadae wakafunga safari wakarudi home miye teena na kiherehere changu nikachukua wembe nikamnyoa nywele. Maana nywele zikuwa nyekunduku km mtu kapaka ina. Nilimnyolea nje basi upepo ulipokuwa unapuliza kwenye kile kiapara yakaanza kutoka pamba, pamba kabisa. Nilitoka nduki mpk ndani kwa Mama na Baba nikasema oneni mtoto anatoka pamba/sufi kichwani. Baba akasema hii hatari.Nilizikusanyq zile pamba nikasema akikua ntamuonyesha sasa ni mika 27 imepita na dogo yupo njema ni injinia huko Soudia anapiga kazi.
🤣🤣Story nyingine bana...skia si watu wazima mjue
 
Walichunguza vp unaweza ukaelezea? Hata Arabuni kuna nchi ukigundulika unajihusisha na uchawi ni kosa kisheria unahukumiwa na hiyo si kwa sababu wanaona uchawi si kweli.
Niambie kitu ambacho unasema ni uchawi nikuonyeshe kwamba it isn't
 
Uchawi ni imagination, means ukitaka unaweza ukajitengenezea wa kwako. Sayansi ni kuleta imagination kuwa reality, na vyote sio rahisi kuvifanya, achana na hii sayansi ya simbampole, ambayo kila mtu ameikariri darasani na bado hatujavumbua kitu chochote. Sayansi ilianza kama mchakato ni fikra za watu wengi lakini moja alikuja kujaribu,ilipoleta matokea chanya ikawa ndo matokeo ya sayansi. Na sayansi si hadi usome shule kama simbampole yeye sio mwanasayansi, yeye ni kama anasoma tu vitabu vya hadithi ili aendelee kuishi.
Kuleta ile fikra kuwa reality kwa akili ya kawaida ya kibinadamu haiwezekani, kuna higher powers ambayo simbampole haamini kama ipo, ndo maana ukifuatilia vizuri unaweza ukaona mbona kama mtu aliyegundua kitu flani aliibatisha tu, kama sio higher powers kila mtu angejigundulia chake, Ni kweli fikra hazifanani mbona fikra zetu hazileti chochote, ni kwamba tumeshindwa kuitumia powers tulizonazo, na tulishafanya mistake kutokea mwanzo.
Sawa mi sio mwanasayansi...niambie uvumbuzi wowote ambao umesababishwa na nguvu ya kichawi
 
SimbaMpole123 njoo utupe evidence ya sayansi ya kwako, achana na sayansi ya ulaya ambayo unashadadia uhalisia bila kujua chimbuko
Mi Sayansi yangu ni ya reason. Sayansi sio kutengeneza rocket tu. Sayansi ni process ya kutafuta majibu ya maswali kupitia empirical methods of knowledge. Na zipo nyingi sio lazma niingie maabara. Soma general studies au geography utaelewa
 
Ni wewe hukuona tu sababu tayari upbeat na appearance ya riana imekufanya ukose focus.

Umefika sabasaba kumuona jamaa anajikunja kama tairi? Akaulizwa inachukua muda gani akasema yeye ni miaka saba mpaka kufanya hivyo.vipi ishindikane mtu kuwepo pale na camera ziamishwe na light ziwe dark in a sec tatizo akili YAKO ilishaamini uchawi lakini ni huoni tu kaa tazama taratibu.

Kwanini afate pesa na anao uwezo wa kuonyesha kitabu kisichoandikwa kikawa na maandishi na kuwasha mshumaa kwa kuangalia kwa njia ambazo wewe umeona kawasha ILA obviously hakuna alichofanya zaidi ya kuwepo na mtu hapo.
The last part ya kujitazama kwenye kioo ni kama movie za horror zinavyotengenezwa.
Wakati camera zinazimwa ili jamaa aingie hao audience walienda wapi???

Horror ni movie hii inayofanyika kwenye stage kama unaiona ni movie na hujajisumbua nikudhihirishie huo sasa ndo uchawi

Hujataka kuprove kama ni ukweli au uongo umekimbilia kuconclude kwamba aliingia mtu kwenye box kwasababu kikawaida haiwezekani
 
Ndio maana nikakwambia nikutajie vitabu vya wazungu vyenye kuelezea uchawi na mambo mengine ambayo wewe huyaamini kisha uniambie kuwa hao waliyoandika hivyo vitabu ni katika hao wazungu wachache wasio na elimu au wana elimu?
Ndio ..kwani wazungu si walituletea dini kututawala Ila now ndo wanaongoza kutoamini dini ..wenzetu wakipata elimu wanabadilika, sisi tunakazania utamaduni ambao hautusaidii chochote
 
Sawa, science tells us a lot about cellular damage but has nothing to do with cellular damage, why? Means kuna higher power than science ambayo binadamu hajafika, unakubaliana na mimi!
🤣🤣🤣Why unasema it has nothing to do with cellular damage, we Kama nani unasema hivyo
 
unataka kutumia sanyansi ya darasani ku proof sayansi asilia? huoni kama wewe ni mjinga?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sayansi ya darasani si ndo asilia....we mbona una dharau elimu yako ..unadhani serikali ni wajinga kukuwekea Sayansi mpaka form 2...afu bado unatoka mjinga mshirikina. Ukisoma Sayansi ya darasani ukaielewa(sio ili ufanye mtihani upate cheti) utaelewa mambo mengi ya dunia. Tatizo hufatilii
 
Mambo ya kifamilia mkuu, mimi nimemkuta mtu kapagawa tu na sikuwa na msaada

Na hayo mambo yanazidiana nguvu chief ndio maana akawa anaomba msaada wa kimaongezi na jamaa

Jua kuna wataalamu wa sehemu tofauti tofauti so wengine wanaweza kutibu tu wengine wanaweza kuroga yaani ni fani tu na uwezo unakuaga tofauti
We baba huna elimu
 
Yeah Chief

Ila vitu vingine sio vya kujifanya unataka uvitatue yaani kujifanya tatzo kama lako kabsa, unatakiwa ujitahidi tu unapoweza na uachane nalo

Africa huku tunaumizana bila sababu ukijifanya kimbele mbele sanaa watu wanakutupia wewe hayo mauchawi uangaike na kimbele mbele chako

Hatari aisee
Tafuta elimu bro unaaibika Sana
 
Back
Top Bottom