Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

🤣🤣🤣🤣Nina umri mkubwa tu na naweza kufa sijaona coz havipo..na wapo wanaokufa hawajaona. Kama umri wa kuona uchawi ni umri fulani utaje tuulize watu waliofika huo umri. Na kwa Nini uchawi uchague umri 🤣huu ni ujinga leta hoja ya kunishawishi
Mimi sijasema umri mdogo au mkubwa unasababisha uone uchawi!
Sikulazimishi uamini uchawi upo,nachotaka kukuambia ni hivi:

Sio Kila kitu mpaka ukishuhudie Au kusikia ndio uamini kipo au hakipo!
Cha msingi we ishi tu kama viumbe wengine Ili mradi unavuta hewa ya oksijeni
 
🤣🤣🤣🤣Yanitokee mi nataka ukitaka Niloge wewe sawa. Mi nipo..., Ningekuwa nishalogwa mda tu kila siku nawaambia nilogeni kazi kutishana tu. Hamna kitu. Unasingizia umri, unajua umri wangu wewe. Nitajie umri wa kuona uchawi ni umri gani?
Nilichogundua wewe hujui kitu Mkuu pole sanaa nitabishana na wewe mpaka nichoke ila kama Imani yako umeshaiweka hivyo basi pia upo sahihi najaribu kukuelewesha tu but your not ready kujifunza,
Nikutakie uwe na wakati Mwema
BYE👋
 
Uchawi hauwezi kutumika katika biashara. Kuvuta wingi wa wateja ni sababu hiyo sehemu kuna watu na watu hao Wana demand bidhaa, wanauza siyo sababu ya uchawi sababu kuna product ndani ya duka na watu Wana demand hiyo product na pia jinsi ya kuongea na wateja.

Sasa mimi nimekuelezea jinsi watu wanavyofanya biashara. Embu elezea uchawi jinsi unavyofanya mtu kufanikiwa.

Hakuna dawa za kichawi za kuvuta wateja kanuni za biashara ni product, price,place na promotion.

Elezea uchawi unavyofanya mtu anafanikiwa.
Point ni kwamba vitu vyote unavyosema vinaelezeka
Wewe unaongea vitu vya kufikirika mimi naeleza yale ambayo yanafanyika kwenye jamii zetu, hapo unataja kanuni za biashara ila linapokuja suala la mtu kufuata vizuri hizo kanuni na bado ikawa biashara haiendi vizuri unakuwa hauna majibu ila kwenye mafanikio tu ndio unaleta habari za kanuni.

Ndio maana nilikwambia kama issue ni kufuata tu kanuni basi wafanyabiasha wote wangefanikiwa ila uhalisia haupo hivyo
 
Na nipo honestly kusema sijui kuliko wewe unasema unajua lakini kuthibisha huwezi.
Unasema jambo fulani hujui halafu hapo hapo unapinga kuwa hilo jambo sio kitu fulani hali ya kuwa hutoi sababu za kwa nini sio hicho kitu. Kwahiyo wewe ulivyoeleza mafanikio ya hao jirani zako mapolisi unaweza kuthibitisha kuwa hayo uliyoeleza ndio sababu za mafanikio yao?
 
Miss corridor hata ukimgoogle utamkuta na inajulikana ni story za kichawi za shule za kiafrika. Ni kitu kinajulikana to be just horror stories. Jiulize why kitu uone mwenyewe. Hamna mtu atakubishia unaona jua. Ila ukisema unaona jua limekuwa pink, wakati wote tunaona njano obviously u r crazy
Ni wapi nmesema nimekiona mwenyewe??

Alafu kwanini unawaza hizi ni story za africa???

Kulize huko Italy wakupe story za pinocchio na wanasema ni true story
-Pope exorcist[Hii movie na mwisho wakasema iko inspired by the life of the Rev. Gabriele Amorth ambae amefariki 2016]
Indonesia kuna
-Walking corpses
n.k

Nimegoogle Miss corridor labda ningepata chocchote nimegundua umelopoka na huna evidence
Screenshot_20230804-000324_Chrome.jpg
 
Kuna tofauti ya jamii yenye watu wenye elimu na yenye watu duni. Dar na rukwa, Kilimanjaro na shinyanga, kagera na lindi. Niambie mikoa gani inaongoza kwa watu wenye elimu na uchumi mzuri na niambie mikoa gani Inaongoza watu wenye Imani za kishirikina. Umeona pattern hio. Ndo hivyo the higher ur education the less unaweza amini ujinga.
Mkuu naomba nikuulize swali nje ya mada

Wewe ni dini gani?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we ndo mjinga, ukiona kitu Cha uwongo afu we peke yako we ndo chizi sio sisi. Nenda kagale gale kwa mwamposa kabisa mwambie una mapepo
Uongo ni nini???

Nikiona kitu cha uongo?? Uongo huwa unaonekana??

Kwanini umemuhusisha Mwamposa anahusiana nini hapa??

Usiruke twende taratibu
 
Bro unadhani angekuwa mchawi watu wangebaki pale...zile ni magic tricks.. wanachofanya ni tricks tu si kama watu wa mazingaombwe wanaokuja shule za primary. Ushawahi waona chuo...no, why coz watu wazima wanaelimu can't be lied tu.
Umesema angekua mchawi watu wasingebaki???[emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe unawaogopa wachawi? Sa mbona una act hujielewi??
 
Ndio ..kwani wazungu si walituletea dini kututawala Ila now ndo wanaongoza kutoamini dini ..wenzetu wakipata elimu wanabadilika, sisi tunakazania utamaduni ambao hautusaidii chochote
Watu kutoamini jambo haina mahusiano na ukweli au uongo wa hilo jambo, hata huku afrika wapo watu hawana elimu na hawaamini dini wanaamini vitu vyengine.

Nawe unaamini wazungu walikuletea dini ili kukutawala?
 
🤣🤣🤣Umeona upumbavu wako...huna ushahidi huwo... wenzetu nakuambia wamejenga hoja za logic na science hawawezi amini story story za hapa na pale bila uthibitisho..tofauti Yao na sisi..wewe mbongo ukiskia sijui jini kafanya Nini wapi..coz jamii yako ni ignorant na superstitious hutabisha..Ila wenzetu watafuatilia watakufa chanzo sio jini. Yaani wenzetu wanaenda kutafuta majibu bila kuwa na jibu kichwani, we unaenda na jibu la ushawi so ur conclusion tayari ushamake so ukiona kitu tofauti unakipotezea coz inakinzana na jibu lako, that's not science it's superstitious
Upumbavu wangu ni upi sasa? Sio wewe uliyesema wenzetu waliwachoma moto wachawi?
 
Bro unadhani angekuwa mchawi watu wangebaki pale...zile ni magic tricks.. wanachofanya ni tricks tu si kama watu wa mazingaombwe wanaokuja shule za primary. Ushawahi waona chuo...no, why coz watu wazima wanaelimu can't be lied tu.
Mkuu kumbe unawaogopa wachawi na unajua ingekua uchawi watu wasingekuwepo??[emoji23][emoji23]

Fuatilia hiki chuo kilikua North America
Ilvermorny_Crest_4.jpg
 
Angalia kitu kinaitwa breaking the magician code. Afu utaelewa hizi magic tricks zinafanywaje. Ingekuwa uchawi unadhani wangebaki pale. Ile ni entertainment ni Sanaa kama nyingine, sio wajinga wale Kama wewe.
Mie hayo yote nayajua hakuna kipya cha kuniambia.
 
How do u know we haujajifunga katika kuamini uchawi? Mbona unanikamia Mimi wakati u doing the same? Je nimebisha kwamba hamna jua? Coz I see it. Nimebisha kwamba joe Biden exists? No, coz hata Kama sijawahi kumuona ila Kuna extraordinary evidence that he does exist. Why niamini kitu ambacho hakina uthibitisho wowote independent zaidi ya story tu za mtu kutokana na kutoelewa kwake
Mimi sijajifunga na ndio maana sipingi sayansi na sipingi uchawi, kila kimoja kina nafasi yake. Sasa wewe unapinga uchawi kama kitu tu ambacho haukiamini ila hauna sababu za msingi.
 
Vitu vyote ulivyotaja vina mwanzo na mwisho, vinadhibitika, vinapimika, na vinaweza kuwa controlled. Simu usingizi akili, etc, akili ni activity za ubongo ukitoa ubongo we huna akili huna usingizi pia...na huna maisha. Kama unabisha toa ubongo. Software kama za Simu tunaziona na tunaweza tumia kuzifuta kuzitengeneza na kuziharibu. Uchawi is not provable in any form. Hata bacteria hawaonekani kwa macho mpaka watu wa dini walijua magonjwa yote ni mapepo tu Sayansi ikagundua microscope saa hivi tunaona Nini kinasababisha magonjwa. Hoja yako haina mashiko jaribu Tena. Na ulete proof ya uchawi vitu vyote ulivyotaja vina proof, watu Wana ubongo ndo maana Wana akili, ukiharibu ubongo wako umeharibu uwezo wa kufikiria...watu Wanalala na pia upepo upo na unapimika pressure as well as speed by science. Pamoja na uzito pia ndo maana tunaweza nunua gesi na kujaza matairi. Prove uchawi upo
Uthibitisho haufanyi kitu kuwepo au kisiwepo, sio kila ambacho unashindwa kuthibitisha ni kwa sababu hakipo au sio kweli haipo hivyo. Haya mambo ndio unakuta labda mmea fulani ni tiba ya ugonjwa fulani na kweli hutumika kama tiba na watu hupona ila unakuta unapingwa kisa tu haujafanyiwa tafiti za kisayansi.
 
Back
Top Bottom