mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama unasema uchawi haupo nakuogopa kama ukoma, hutaki tujue ili upete mwenyewe.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama unasema uchawi haupo nakuogopa kama ukoma, hutaki tujue ili upete mwenyewe.
Explain in details Sasa with verifying evidence sio story za mtaani na kijiweniChuma ulete.
Tushawahi kumwona live? no. Ila hatubishani kuwa ni rais wa marekani, hatubishani kuwa haexist. Why? Coz he's real na Kuna evidence kibao ambazo ni reliable na relevant kwamba ana exist. Sio lazma kila kitu ukiona. Mi sijawahi kwenda Russia lakini najua hio nchi ipo. So nipe evidence ya uchawiJoe Biden.
MaarifaElimu ni nini?
Coz uchawi haupo...sio tumeharibu tunaelimisha ummaSasa wakuu mbona mmeharibu ladha ya uzi?mmebadili maudhui wakati lengo lilikuwa kushare matukio watu walopitia wakaamin uchawi upo 🤔🤔
Aisee[emoji28]It's not real...mbona inawatokea watu wachache na watu wasio na elimu na wenye maisha duni..mbona watu wanazaliwa mpaka kufa na miaka zaidi ya 50 wasione hivi vitu. Au uchawi unachagua wajinga tu
Tunaelimisha ummaSasa wakuu mbona mmeharibu ladha ya uzi?mmebadili maudhui wakati lengo lilikuwa kushare matukio watu walopitia wakaamin uchawi upo 🤔🤔
kama uchawi haupo,hata muumba hayupoCoz uchawi haupo...sio tumeharibu tunaelimisha umma
Hivi we unaelewa maana ya miss corridor. Search miss high heels in schools kitu Kama hicho ana majina tofauti. Ni story Ina Wikipedia page yake kabisa. Miss corridor ni famous kwa bongo ila ghana Nigeria etc Wana majina Yao related tu..ni famous tale ila nayo ni story tuNi wapi nmesema nimekiona mwenyewe??
Alafu kwanini unawaza hizi ni story za africa???
Kulize huko Italy wakupe story za pinocchio na wanasema ni true story
-Pope exorcist[Hii movie na mwisho wakasema iko inspired by the life of the Rev. Gabriele Amorth ambae amefariki 2016]
Indonesia kuna
-Walking corpses
n.k
Nimegoogle Miss corridor labda ningepata chocchote nimegundua umelopoka na huna evidenceView attachment 2707637
Elimu ni Maarifa?Maarifa
Hii ni false dichotomy....ndo maana unaamini uchawi. Unadhani usipoamini uchawi upo basi huamini Mungu yupo because Quran na bible imeamini uchawi basi na wewe uamini. Vile vitabu ni vya watu vina makosa kibao kuliko gazeti la Jana la mwananchi. Mungu sio Biblia Wala Quran. Na Kama wewe unaamini muumba huna sababu ya msingi ya kuamini uchawi upo.kama uchawi haupo,hata muumba hayupo
NooElimu ni Maarifa?
Nikikuuliza na elimu ni nini utajibu maarifa?
Anyway maarifa mtu anaweza kuzaliwa nayo?
Lakini si unatibu...haupingwi coz hautibu unapingwa coz of side effects, effect rate etc. Lakini si upo, hamna mtu kabisha mmea upo au hautibu. Niambie kitu ambacho kipo afu hakina uthibitishoUthibitisho haufanyi kitu kuwepo au kisiwepo, sio kila ambacho unashindwa kuthibitisha ni kwa sababu hakipo au sio kweli haipo hivyo. Haya mambo ndio unakuta labda mmea fulani ni tiba ya ugonjwa fulani na kweli hutumika kama tiba na watu hupona ila unakuta unapingwa kisa tu haujafanyiwa tafiti za kisayansi.
Reality isn't hallucinations. Soma biology form 3 plzreality is the hallucination we all see
UnaotaMwaka 2004 nilikuwa nimelala,nilipanga chumba Tinde,Enzi za Grinaker LTA.
Usiku nimelala nasikia vishindo kuzunguka chumba kwa nje mpaka kijumba kinatingishika kama vile kundi kubwa la ng'ombe......nilipoamka asubuhi hakuna hata Alamance ya kwato.
HallucinationsMi mara nyingi usiku nikitoka kukojoa naona mtoto kapotelea jikoni chap [emoji3][emoji3]
Nywele zinasimama hatari.
mkuu unajichanganya sana, vitabu vinavyo zungumzia juu ya uwepo wa muumba vinataja pia uwepo wa uchawi wewe unasema vina makosa (unabagua hili sawa hili hapana)Hii ni false dichotomy....ndo maana unaamini uchawi. Unadhani usipoamini uchawi upo basi huamini Mungu yupo because Quran na bible imeamini uchawi basi na wewe uamini. Vile vitabu ni vya watu vina makosa kibao kuliko gazeti la Jana la mwananchi. Mungu sio Biblia Wala Quran. Na Kama wewe unaamini muumba huna sababu ya msingi ya kuamini uchawi upo.
🤣🤣🤣So uchawi nayo una nyota. Ehe nyota ni Nini na utupe ushahidi piaVitakutokea wapi na nyota huna.. Hebu tupishe siye
Alaa!!Unaota