Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Wewe unadai hakuna kabisa uchawi na chuma ulete ni katika aina za uchawi unaozungumziwa sana tu, sasa elezea hiko kinachoitwa chuma ulete kuwa si kweli kwamba ni uchawi kama inavyoaminika. Tumie hiyo elimu yako kunieleza mie nisiokuwa na elimu kwamba ni vp huko watu(wasio na elimu) kuona kupotea kwa hela na kuhusisha na uchawi kuwa si uchawi bali ni nini hasa.


Ok ngoja tukuulize swali rahisi maana unahangaika
Chuma ulete ni stori za kutungwa kwamba mtu anaichukua pesa kwa njia za maajabu

Ok, kwanini chuma ulete wasiende bank kuchukua pesa nyingi zilipo?
Unafikiri ingekuwepo mechanics hiyo wangapi wangekuwa matajiri?

Thibitisha hoja yako kwa kutuonyesha mtu aliyefanikiwa kwa chuma ulete au uchawi?
 
Tushawahi kumwona live? no. Ila hatubishani kuwa ni rais wa marekani, hatubishani kuwa haexist. Why? Coz he's real na Kuna evidence kibao ambazo ni reliable na relevant kwamba ana exist. Sio lazma kila kitu ukiona. Mi sijawahi kwenda Russia lakini najua hio nchi ipo. So nipe evidence ya uchawi
Iko hivi Hata ambavyo wewe huvijui pia vipo maana huwezi kujua kila kitu.

Sasa nakuuliza je wewe unaujua huo uchawi?
 
Lakini si unatibu...haupingwi coz hautibu unapingwa coz of side effects, effect rate etc. Lakini si upo, hamna mtu kabisha mmea upo au hautibu. Niambie kitu ambacho kipo afu hakina uthibitisho
Ushawahi kusikia tiba ya maji tu ya kunywa kutumika kutibu maradhi?
 
Unaelewa maana ya burden proof?
Siwezi thibitisha kitu ambacho hakipo kwani mbona hivi vitu ni vyepesi
Wewe umesema watu wanafanikiwa kwa uchawi ni KAZI YAKO uthibitishe na si mimi.

Mpaka sasa hujathibitisha kama mtu anafanikiwa kwa uchawi ILA mimi nimekuonyesha watu waliofanikiwa kwa kufanya KAZI.

Thibitisha hoja yako.
Mimi sijakwambia uthibitishe sijui kwanini unang'ang'ania hilo neno, nimekwambia utoe sababu za msingi sio kuthibitisha.

Halafu hakuna nilipozungumzia kufanikiwa pasina kufanya kazi sijui kwanini uelewa wako mzito sana.
 
Mimi sijakwambia uthibitishe sijui kwanini unang'ang'ania hilo neno, nimekwambia utoe sababu za msingi sio kuthibitisha.

Halafu hakuna nilipozungumzia kufanikiwa pasina kufanya kazi sijui kwanini uelewa wako mzito sana.

Nimesema hakuna mtu anafanikiwa kwa uchawi ukasema wapo kwanini nimesema hakuna? Sababu hakuna I can't prove negative.

Wewe umedai uchawi upo na watu wanafanikiwa thibitisha.
 
Tunaweza tumia reference za watu ILI tujue huyo mtu alikuwa consistency, discipline na akaji commit na bado akashindwa fanikiwa kwenye carrier yake?

Nionyeshe celebrity hawa Kati ya messi na ronaldo kafanikiwa kwa uchawi?
Mafanikio yana level. But eventually wote hao wanafanya kazi na zinaonekana

Nadhani ulisema uchawi ni kutumia dawa asili au mitishamba kudhuru kama sikosei

Kwa sentensi hiyo nataka unipe connection na mtu kufanikiwa.

Kama mimi naweza kuelezea nikinywa panadol kichwa kinapoa na nitakupa connection.
Shida yako unakosa kutetea hoja yako kwa kuiundia uhusiano na unachodai.

Mpaka sasa hujathibitisha.
Swali nililokuuliza liko hivi, je watu wote wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana consitency commitment na discipline?
 
Swali nililokuuliza liko hivi, je watu wote wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana consitency commitment na discipline?

Nikakwambia tupe reference ya mtu notable na fame ambaye unadai kafanya hivyo na hajafanikiwa ILA BADO unazunguka.

Nikasema mafanikio yana level lakini wote hao basic foundation ni kufanya kazi mpaka dakika hii huna hata mfano mmoja wa mtu unayedai mchawi na kafanikiwa
 
Huwezi thibitisha vipi kuna kampuni ipo inazalisha range rover tayari contradiction.
Ukimwambia hana range rover ina maana the burden of proof ipo kwake si kazi yako kuthibisha ni yeye aliyesema anayo range rover unaelewa lakini mkuu?

Thibitisha hoja yako ya mtu kufanikiwa kwa uchawi bado unazunguka mpaka sasa.
Sasa hiyo kauli ya kwamba fulani hana kitu fulani tunaiweka nafasi gani? Ni ukweli au si kweli? Mfano mimi sijui kuhusu wewe kama una gari au hauna kwa sababu sikujui ila nikisema humu kwamba wewe hauna gari je hiyo kauli yangu itachukuliwa kwamba ni ukweli au si kweli?
 
Swali nililokuuliza liko hivi, je watu wote wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana consitency commitment na discipline?

Tofauti yangu nakupa evidence ya mtu kufanikiwa kwa kufanya kazi ILA hujanipa connection ya uchawi na kufanikiwa kwa mtu yaani huelewi hata unachokitetea

Unaulizwa kwanini zwangendamba alimove na watu wake toka south sababu ya fear ya kiongozi mwenye mabavu wakati huo tyrant shaka zulu hiyo ni sababu ya wao kuondoka.

Kwanini pacif na antlatic maji haya mix kwenye gulf point ni sababu ya utofauti wa densities, temperature na salinities ambapo inatengeneza barrier.

Thibitisha mtu anafanikiwa vipi kwa uchawi?
 
Nikakwambia tupe reference ya mtu notable na fame ambaye unadai kafanya hivyo na hajafanikiwa ILA BADO unazunguka.

Nikasema mafanikio yana level lakini wote hao basic foundation ni kufanya kazi mpaka dakika hii huna hata mfano mmoja wa mtu unayedai mchawi na kafanikiwa
Mkuu umeeleza kwamba mafanikio yanahitaji consitency commitment na discipline kwa maana yeyote yule aliyefanikiwa ana hizo sifa, sasa wapo watu ambao hawafanikiwi hili lipo sio la kufikurika haliitaji niwataje watu, sasa ndio nauliza je hao wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana hizo sifa? Swali simple tu mkuu.

Umeshasema kitendo cha mtu kufanya kazi basi mafanikio yake hayahusu uchawi umeshafunga hivyo sasa mimi hapo unataka nitoe mfano gani tena?
 
Sasa hiyo kauli ya kwamba fulani hana kitu fulani tunaiweka nafasi gani? Ni ukweli au si kweli? Mfano mimi sijui kuhusu wewe kama una gari au hauna kwa sababu sikujui ila nikisema humu kwamba wewe hauna gari je hiyo kauli yangu itachukuliwa kwamba ni ukweli au si kweli?


Ukisema mimi sina gari upo sahihi until nitapokuja kukuprove wrong.

Umesema uchawi upo na watu wanafanikiwa kwa uchawi.
Umeenda mahakamani kumshtaki mtu unasema mwizi unafika mahakamani unamwambia mwizi athibitishe kwamba yeye ni mwiz si KAZI yake ni YAKO.
Thibitisha uchawi unakufanya ufanikiwe?
 
Mkuu umeeleza kwamba mafanikio yanahitaji consitency commitment na discipline kwa maana yeyote yule aliyefanikiwa ana hizo sifa, sasa wapo watu ambao hawafanikiwi hili lipo sio la kufikurika haliitaji niwataje watu, sasa ndio nauliza je hao wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana hizo sifa? Swali simple tu mkuu.

Umeshasema kitendo cha mtu kufanya kazi basi mafanikio yake hayahusu uchawi umeshafunga hivyo sasa mimi hapo unataka nitoe mfano gani tena?

Mahakamani wanasheria, mawakili wanatumia past reference za case kuendesha shuguli zao.

Tupe reference watu wote wanaofanya kazi waemefanikiwa utofauti ni level tu.
Maxence melo amefanikiwa ILA huwezi mcompare na elon musk na anasaidia watu wengi nyuma yake.

Nipe connection ya uchawi na kufanikiwa?
 
HUNA UNALO LIJUA ISIPOKUA UJINGA NDO UMEKUJAA TU KICHWANI TAFUTA MARIFA, KIJANA UJIONEE ULIMWENGU UNAVYO ENDA KUNA MAMBO MENGI KWENYE HII DUNIA YANAJIENDESHA KIUCHAWI!! HATA HAO WANA SAYANSI UNAO WAMINI HUWA WANASHINDWA KUYATAMBUA MAMBO YA KIUCHAWI, mfano mzuri ni ndege ya aina ya Pan American flight 914 ilyopotea miaka 37 badae kurudi Duniani hapo Wana sayansi walishindwa kupata jibu hiyo ndege ilipotelea wapi,, yapo mambo mengi yanayothibitisha uchawi na hao wanasayansi WANASHINDWA kupata majibu yake wanabaki kimya,,
punguza ubishi tafuta marifa then ingia kiroho zaidi utayaona huwez Pinga kitu ambacho hujakiona wakati huo wewe unaishi kimwili na vitu vyenyewe vipo kiroho, so nakushauri ishi kiroho usipo yaona njoo hapa ubishe

Acha kuamini ujinga wewe. Hakuna ndege iliyopotea kwa miaka 37.

Hizo ni fiction stories ama fallacy za mambo ya time travel.. ni kama story za movies zenye hisia zinazofanya watazamaji watoke machozi.

Weka evidence iliyoonyooka kuhusu hiyo ndege
 
Tofauti yangu nakupa evidence ya mtu kufanikiwa kwa kufanya kazi ILA hujanipa connection ya uchawi na kufanikiwa kwa mtu yaani huelewi hata unachokitetea

Unaulizwa kwanini zwangendamba alimove na watu wake toka south sababu ya fear ya kiongozi mwenye mabavu wakati huo tyrant shaka zulu hiyo ni sababu ya wao kuondoka.

Kwanini pacif na antlatic maji haya mix kwenye gulf point ni sababu ya utofauti wa densities, temperature na salinities ambapo inatengeneza barrier.

Thibitisha mtu anafanikiwa vipi kwa uchawi?
Umeshaniambia mtu akishafanya kazi basi mafanikio yake ni kutokana na hiyo kazi hivyo nisihusishe uchawi na mafanikio ya huyo mtu sasa hapo mie nitaongea nini?

Kuna msanii kama yule Mr. Nice ambaye alitamba sana alipata mafanikio kwenye kazi yake japo alichokuwa anakiimba ni utoto mtupu, ndio maana mie nauliza wasanii ambao hawajafanikiwa ni kwa sababu hawakuwa commitment hawakuwa na discipline na consitency kama Mr. Nice ama kuna zaidi?
 
Mahakamani wanasheria, mawakili wanatumia past reference za case kuendesha shuguli zao.

Tupe reference watu wote wanaofanya kazi waemefanikiwa utofauti ni level tu.
Maxence melo amefanikiwa ILA huwezi mcompare na elon musk na anasaidia watu wengi nyuma yake.

Nipe connection ya uchawi na kufanikiwa?
Mkuu naona hili limekuwa gumu kuelewana.
 
Ukisema mimi sina gari upo sahihi until nitapokuja kukuprove wrong.

Umesema uchawi upo na watu wanafanikiwa kwa uchawi.
Umeenda mahakamani kumshtaki mtu unasema mwizi unafika mahakamani unamwambia mwizi athibitishe kwamba yeye ni mwiz si KAZI yake ni YAKO.
Thibitisha uchawi unakufanya ufanikiwe?
Inakuaje niko sahihi kwa kitu ambacho si cha kweli ikiwa uhalisia ni kwamba wewe gari unalo na si kwamba hauna gari kama ambavyo mimi navyosema?
 
Kuna jamaa alikua anatembea na mam mweny nyumba wake, baadae akamuacha akamchukua bint yake alikua anasom form 2 mwishowe akaacha kwa ajili ya jamaa. Baada ya muda akamuacha ten bint akachukua mw'ke mwingine.
Baada ya muda kupita jamaa mashine ikawa taratibu inadorora, mwishowe
haisimami kbs kbs kbs hata kwa kukojoa tu. Amekula kila dawa, lkn wap.
Akavumilia had likizo, akaliweka wazi kwa familia. Wamezunguka nchi nzima kutafuta tiba, wakafika mtwara kwa bibi mmoja!
Bibi baada ya kufanya yake, cku ya 3 akawajibu hakuna namna! Ni wao tu ndo wanaweza kujua nin cha kufanya, tafuteni namna nzuri ya kuwaendea.
Bibi akatoa ushauri rudi ukamtongoze tena huyo bint had akubali, akishakubali usijifiche, jioneshe kwamba uko nae, utangaze ndoa, na iwe ndoa kweli uoe. Ukioa wao(mama mkwe) ndo watajua wafanyeje!
Huko ndo kupona kwake, ilikua ni 2006 hadi mara ya mwisho tunaonana 2016 alikua bado ni mkewe wa ndoa!
 
Ingine nilishuhudia Tunduma border..Mkongomani ameibiwa dagaa....akakodisha gari la matangazo akazunguka mji mzima anatangazia watu walioiba dagaa wawarudishe...mwisho akaenda uwanjani...akavua koti akalirusha juu...MKWARA...koti likabaki hewani....kama dk 45huku akipiga mkwara kwamba koti likianguka chini basi waliomwibia dagaa hawatapona......dagaa wote walirudi
Story za mtaani... mwingine?
 
Ndo maana nimekwambia haya Mambo yapo kiroho zaidi kama unataka uyaone nenda kiroho zaidi utayaona na utashangaa acha kujichekesha hapa.
🤣🤣Kiroho ndo Nini ... tuelewane. Maana siku hizi kiroho ishakua kisingizio Cha uwongo na uchizi. Mtu anasema kitu hakipo hakieleweki anasingizia kiroho. Ukitumia kiroho unaweza singizia chochote... hamna limit. Ndo ujinga wenyewe. Tupe ushahidi unaoeleweka Kama huna kaa pembeni story zenu za uwongo
 
HUNA UNALO LIJUA ISIPOKUA UJINGA NDO UMEKUJAA TU KICHWANI TAFUTA MARIFA, KIJANA UJIONEE ULIMWENGU UNAVYO ENDA KUNA MAMBO MENGI KWENYE HII DUNIA YANAJIENDESHA KIUCHAWI!! HATA HAO WANA SAYANSI UNAO WAMINI HUWA WANASHINDWA KUYATAMBUA MAMBO YA KIUCHAWI, mfano mzuri ni ndege ya aina ya Pan American flight 914 ilyopotea miaka 37 badae kurudi Duniani hapo Wana sayansi walishindwa kupata jibu hiyo ndege ilipotelea wapi,, yapo mambo mengi yanayothibitisha uchawi na hao wanasayansi WANASHINDWA kupata majibu yake wanabaki kimya,,
punguza ubishi tafuta marifa then ingia kiroho zaidi utayaona huwez Pinga kitu ambacho hujakiona wakati huo wewe unaishi kimwili na vitu vyenyewe vipo kiroho, so nakushauri ishi kiroho usipo yaona njoo hapa ubishe
🤣🤣🤣🤣 Umeona sasa, huu ndo ujinga wenyewe. Unaskia kitu hufatilii unaamini. Ile ni story, hamna ndege hio...ni story tu na ukienda google utaambiwa kuwa ni story katika gazeti ambalo lilikuwepo linaandika story za hivyo za kusisimua. Ni kwamba hio ilitrend Sana. Ukishakuwa mtu wa utafiti na akili unaweza kureason sio kila kitu unachoskia mtaani au mtandaoni unaamini. 🤣🤣🤣Unaona Sasa unavoaibika.. ehe wanasayansi wamefanya Nini tena.. 🤣tafuta elimu mkuu itakusaidia, inaonekana hujasoma
 
Back
Top Bottom