Kuna jamaa alikua anatembea na mam mweny nyumba wake, baadae akamuacha akamchukua bint yake alikua anasom form 2 mwishowe akaacha kwa ajili ya jamaa. Baada ya muda akamuacha ten bint akachukua mw'ke mwingine.
Baada ya muda kupita jamaa mashine ikawa taratibu inadorora, mwishowe
haisimami kbs kbs kbs hata kwa kukojoa tu. Amekula kila dawa, lkn wap.
Akavumilia had likizo, akaliweka wazi kwa familia. Wamezunguka nchi nzima kutafuta tiba, wakafika mtwara kwa bibi mmoja!
Bibi baada ya kufanya yake, cku ya 3 akawajibu hakuna namna! Ni wao tu ndo wanaweza kujua nin cha kufanya, tafuteni namna nzuri ya kuwaendea.
Bibi akatoa ushauri rudi ukamtongoze tena huyo bint had akubali, akishakubali usijifiche, jioneshe kwamba uko nae, utangaze ndoa, na iwe ndoa kweli uoe. Ukioa wao(mama mkwe) ndo watajua wafanyeje!
Huko ndo kupona kwake, ilikua ni 2006 hadi mara ya mwisho tunaonana 2016 alikua bado ni mkewe wa ndoa!