reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Yeyote asiyeamini uchawi upoo ujue Hana Mungu...Jamani kama huamini uchawi upo embu tulia basi usiharibu uzi.Kutwa kushupalia kila story ya kila mtu alf mtu mwenyew unakuta kazaliwa mjini na kakulia mjini ila unavyokomaza shingo utadhani unajua kila kitu.Huamini tulia hulazimishwi acha watu waandike story zao mnaharibu uzi!
Vitabu vya dini zote mbili kubwa zimetaja uchawi Sasa kama Mtu haamini ujue huyo Sio Muislam Wala Christian
Kubisshana nao ni kupoteza muda tu