stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Nimekwambia kwamba cheka fanya ujinga wako Ila kumbuka nilichokwambia Mungu na uchawi vipo km unasema havipo subiri ukiwa unajitafuta upigwe tukio na mkishapigwa tukio hua mnalia sana mnajiliza sana Ila ni viburi sana watu km nyinyi mkishafikwa mnaanza kuomba msaada but deep inside ni viburi wa uhai mmejaa viburi vya kufikiri kwamba mmejiumba wenyewe mkidhani hakuna mwenye uweza zaidi yenu Ila tu ukishapigwa tukio ukaanza kutangatanga huna muelekeo ndio unaanza kujiliza na hua mnalia sana na mnasaga meno๐๐๐๐๐Skia we si mchawi...fanya hayo madude ukiwa kwenu..nikipata tumbo kiroba nitakuamini