Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Uko sahihi sana, ila usikatae hii dunia ina mambo mengi sana, hapa JNIA upanuzi wa terminal 3 ilibidi wakazi wa kipawa wapoteze makazi yao, lilitokea tukio kama hili kuna babu aligoma nyumba yake isivunjwe ilibidi uongozi wa halmashauri ya jiji kuja kumsihi, tukubaliane tu kuna upande wa dunia kila mmoja wetu hajaona kutokana tu na sababu za kimazingira, malezi n.k


Tuma hiyo taarifa tena kipindi hichi cha mitandao lazima iwepo tu
 
Daaah sema imani ni kitu cha ajabu sana ukiishaamini tu huwezi tena kutoamini.

Mimi sio mwandishi mzuri ila nina kisa cha kushea nanyi.

Mwaka X niko zangu shule ya bweni(wavulana tupu)sasa kulikuako na mwenyekiti wa casfeta (Nothing personal) alikua kila jumapili baada ya kutoka kanisani lazima apite kila bweni kutoa mahubiri watu wampokee yesu na vitu kadha wa kadha kuhusu kumjua Mungu.

Na jamaa ni moja ya wale watu wanaonena kwa lugha yaani kifupi alikuwa wa moto sana, na sio mtu wa mambo mengi.

Sasa wapuuzi huwa hawakosekani wakasema tutajuaje kama jamaa ana nguvu kweli za kiroho? Kuna mpuuzi mmoja akasema ni rahisi tutamjaribu, wengine tukauliza kivipi jamaa akasema walokole si wanakemea mapepo na kila kitu basi tutamletea pepo au jini watu wakacheka sana.

Basi jamaa kuona watu wanacheka akasema jumamosi ya wiki ijayo kazi ndo itafanyika, na jamaa alikua ni mkazi wa kule shule ilipo so kila weekend anaweza kwenda nyumbani, basi bana Ijumaa ikafika akaenda nyumbani kwao akarudi jumamosi jioni na miguu ya mbuzi sijui alitoa wapi, basi mipango ikapangwa kwamba ile miguu ndo jaribu lenyewe kwa yule bwana mwenyekiti wa casfeta.

Hapa niseme kidogo yule bwana mwenyekiti alikua na kawaida ya kwenda maombi ya usiku ila kabla hajatoka huwa mara nyingi huenda kuoga chooni ule usiku kabla hajaenda maombi.

Sasa huyu muhuni aliyeleta hii miguu miwili ya mbuzi akasema hii miguu tutaweka kwa kuegemeza mlangoni kama inaangalia mbele yaani kuingia chooni, choo ambacho mwenyekiti ataingia halafu tutagonga mlango na kuondoka.

Hapa pia nieleze kidogo vile vyoo vyetu mtu akiwa ndani awe amesimama au amechuchumaa akiwa anajisaidia huwa anaona miguu ya aliyesimama kwa nje kama amesimama kwenye mlango wa choo.

Basi bwana wahuni wakasubiria mda ambao mwenyekiti ataamka kwenda kuoga hili aende kwenye maombi, na hapa ni yeye tu(mwenyekiti) alikua hajui ila bweni zima tulikua tunajua huu mpango.

Mda ukafika ilikua kama saa 8 usiku hivi kumetulia, dogo wa form nyoya akaja kutushtua kwamba mwenyekiti ameenda chooni, basi yule muhuni akasubiri dakika kadhaa akaenda na miguu mbuzi hadi chooni akaweka mlangoni kama alivyosema halafu akagonga mlango halafu akasepa.

Sasa wakati huo kumbe mwenyekiti alikua anakata gogo(anakunya), hivyo alikua anaona vizuri kwa chini ya mlango, kusikia mlango wa choo unagongwa akaangalia chini ya mlango, kuangalia chini akaona kwato na miguu ya mnyama.
Yule bwana alitoka na mlango kama ulivyo tukasikia tu puuuuuuh aliamsha bweni zima, damu zinamvuja kwa kujikata na mlango ni ile milango ya bati yenye frame ya chuma. Akasema ameona jini😅😅

Yule bwana aliyeweka miguu baada ya mwenyekiti kuingia bweni huku akitweta na damu zinatoka akenda chooni kimya kimya kutoa ile miguu kuficha msala kwa sababu mwenyekiti aliumia sana ilibidi tumepeleke zahanati ya shule.

Baada ya kupata nafuu watu wakawa wanamhoji sasa kwanini hukukemea na akaanza kukimbia? Jamaa hakuwahi kutupa majibu na hadi anamaliza form six alijua amekutana na jini😅

NB: Hakuwahi kulala tena bweni zaidi ya ofisi ya dini, shule yetu ilikua na ofisi za viongozi wa dini na sehemu za kuabudu pia.
 
Tuma hiyo taarifa tena kipindi hichi cha mitandao lazima iwepo tu
Unajua kipawa ilivunjwa mwaka gani?😅
Sio hivi karibuni ni miaka kama 11+ iliyopita.
Anyway nilikua najaribu kusema kuna upande wa dunia hii mimi na wewe hatujashuhudia,ila haimaanishi kama haupo.

Refer wavidunda wa Morogoro na mradi wa bwawa la umeme, TANESCO na serikali si ilibidi waongee nao vizuri.
 
Wakuu mnapoteza muda kubishana na madogo waliokuwa brainwashed na sayansi i ya mzungu, hapo wamefunga Shule wapo kwa mama zao wanasubiri ugali wa shkamoo, hawajatembea mikoa ya watu kujionea. Nashauri mngewaacha na upumbavu wao ipo siku watakutana navyo.
Kiufupi hii mada ni out of their mental scope, bado hawajaunlock the specific part of their brain consciousness yakuwawezesha kuona beyond the naked eyes, kwa hiyo hili swala la uchawi japo mi napenda kuliita 'energy manipulation' its beyond their reality.
Hakuna binadamu ninayemdharau na kumuona fala kama hawa wasomi waliopofushwa na story za wazungu kuhusu sayansi, ni miongoni mwa watu wenye low level thinking capacity, na hata darasani huwa wanajifanya wajuaji lakini huwezi kuwakuta miongoni mwa wanafunzi wanaosifiwa kuwa na akili.
Wenye akili za kuzaliwa kwanza by nature wanazaliwa tayari wakiwa talented yaani kuna part za ubongo zishakuwa unlocked tangu wakiwa wa dogo, wanakuwa na uwezo wa kuona vitu visivyoonekana kwa macho ila huwa wananyamaza kuogopa kuonekana watu waajabu au kuhisiwa wamedata.
Tofauti na hawa madogo walioangalia muvi za NASA na vidocumentary uchwara vya youtube huwa wanajiona wafuasi wakuu wa sayansi ila kumbe ni illusion zao tu za ushamba wa jinsi natural forces zinavyofanya kazi they have no clue at all, nashauri tuendelee kupeana visa visanga hawa madogo tuwapuuze wakikua wataelewa.
Ni sawa na mtoto mdogo anazaliwa hajui kuongea lakini baada ya muda anajua na kuweza kuinteract na jamii. Hawa inaelekea kuna parts za ubongo wao zimekuwa underdeveloped hivyo si rahisi kuyaona mambo wanayoyaona watu talented by birth. Jiulize isingekuwa shule hawa wangekuwa watu wadesign gani kwenye jamii, wasingeweza kutumia akili za kuzaliwa kusolve matatizo yao hivyo ni either wangeishia kuwa tabaka la watumwa au wangeperish away within few days.

Nimesoma PCM ila story za sayansi za mzungu naziona mavi kama nnavyowaona wafuasi wa story hizo.

Ni kama mimi nimekaa na waganga ila uganga nauona mavi tuu since nilikua naona jinsi wadada wanavyoliwa pesa kipumbavu na majambazi wakija kuchukua dawa za mazindiko ya kutokufa wanapopigwa na mapanga au risasi[emoji28]

Mara ya mwisho nilishuhudia madingi na vipara vyao wakiogeshwa uchi kwenye mto et zindiko la migodi madini yateme[emoji1] ukienda BARRIK watu wameinvest kwenye technology na elimu ya uchumi ona wanapata pesa haswa ila wale wamasai et wanaamini mizimu ndo inatoa ruhusa na baraka ndo zinaleta madini!!

Kama unapinga science bas prove kwa iyo mizimu/uchawi umesahidia nini kwenye maisha ya mwanadamu in daily life.

Uchawi ni uvivu wa kufikiri, duniani kila kitu kina wezekana ila sio kwa teknology yenu iyo yakupakana unga usoni na kaniki kiunoni iyo niprimitive way of solving problems, kama kuna mchawi anaweza potelea angani kavaa suti na moka nistue nami nijiunge ila sio izo pigo za kitishiana tunguri[emoji1]

Siku dogo langu akapandisha majini et jini linasema limetumwa na lipo na wenzake kama buku ivi nikalimbia ni lazima liue familia yote nikalimbia anza na mimi saivi dogo awe wa mwisho likaanza kuunguruma[emoji16] nikaona ujinga huu nikachukua dogo nikafunga kwenye empty room nikaenda out na wife nimerud nakuta dogo anatumbua macho nikacheka nikabeba nikapeleka hospital wod no x wagojwa wa akili nikambiwa ikaanzishiwa doz na clinik ni miaka mpaka sasa sijafa wala uyo dogo.

Always hua nasema “KIKOMO CHAKO CHA KUFIKIRI NDO MATATIZO YAKO YANAPOANZIA”.
 
Sasa nashangaa mnapokuja na hoja za sijui vitu ambavyo watu hawakuvielewi huko zamani wakasema ni uchawi ila sayansi ndio ikaja kuelezea, mara sijui sayansi inabadilika ila wanaoamini uchawi hawabadiliki.

Mimi leo naweza nikahusisha kitu fulani na uchawi ila huo wawezakuwa ni mtazamo wangu haina maana uchawi ndio unasema hivyo, sasa hauwezi kuja kuhitimisha kwamba uchawi ni uongo kwa sababu mimi niliamini kitu hicho ni uchawi kumbe sivyo.

Kwahiyo tunapotaka kujadili uchawi hili suala tulizingatie.
Sawa so automatically umekubali kwamba uchawi ni ukosefu wa maarifa juu ya kitu fulani...Ila ukishapata maarifa inakuwa Sayansi. 😁👍sawa asante mkuu...
 
Uko sahihi sana, ila usikatae hii dunia ina mambo mengi sana, hapa JNIA upanuzi wa terminal 3 ilibidi wakazi wa kipawa wapoteze makazi yao, lilitokea tukio kama hili kuna babu aligoma nyumba yake isivunjwe ilibidi uongozi wa halmashauri ya jiji kuja kumsihi, tukubaliane tu kuna upande wa dunia kila mmoja wetu hajaona kutokana tu na sababu za kimazingira, malezi n.k
😂😂😂😂😂😂😂Skia, hivi hizi story za kubomoa nyumba why is it always, Kuna Babu, au Kuna bibi...ndo maana wazee zamani walikuwa wanachomwa. Unakuta mzee katulia zake watu wanamhisi mchawi...😂 dunia ni moja..Kama wewe ni maskini, huna elimu na huna fikra logical...ukiona kitu tofauti na reality...we sio special, wewe ni chizi...😂na ukisema hivyo hospitalini wanakupa dawa za kutibu ubongo... Hawakuombei..sawa
 
Kuhusu uchawi na ujinga hili tumeshaona kuwa hata huko wenzetu wenye elimu pia wapo huamini uchawi,astrology,ndoto n.k tena wanaweka kwenye vitabu na wana madarasa kabisa ya kufundisha.

Unaposema kuona uchawi hasa unakusudia kuona nini ? ni athari ya huo uchawi au kile chenye kuaminika huleta athari ya huo uchawi ama nini hasa? Maana hata vile vifaa vya kurogea navyo huitwa uchawi pia.

Jua kuwepo na tukaliona haina maana kila kilichopo kina asili ya kuonekana kuna vitu vipo na hakuna ubishi ila havina sifa ya kuonekana, sijui kwa nini hata unatumia hoja ya kuona hapa?
😂😂😂😂😂Okay...utasema upepo au sio...😂upepo si athari Yake inaonekana. Nimekuambia kuhusu wazungu majority hawaamini Sasa we endelea kukaza fuvu..😂unavyosema ndoto kwani Kuna mtu kasema ndoto ni uwongo..ndio tunaota Hilo halina shida..😂😂😂😂we Tupe proof ya uchawi.. maana ukisema matukio..huwezi tofautisha ya kichawi na sio ya kichawi..so ni hisia na ujinga tu
 
Haujajibu swali nililokuuliza na hii ina maana wewe binafsi hujawahi kusoma hivyo vitu ila unakimbilia kuchukua upande wa kupinga kwa kutumia mitazamo ya wengine bila mwenyewe kujiongezea maarifa kwa kusoma na kujua kilichomo, na hili ndio tatizo lenu kubwa yani mmeweka mbele misimamo ya kupinga vitu kuliko hata kuelewa hivyo mnavyovipinga vyewe.

Penda kujisomea uongeze maarifa usipende kushikilia misimamo tu, binafsi nasoma hadi yale nisiyoyaamini.
😂😂😂😂😂Psychic reading ni mind games tu. Hamna uchawi wowote...ni sawa na kucheza na karata au number....we mjinga ambae huelewi na hujui ndo unasema uchawi mwenzako tapeli tu yule
 
Mimi nakushauri pendelea sana kujisomea vitabu uongeze maarifa usitegemee sana movies.
😂😂😂Dogo unabisha Nini mwanangu...Bac niambie jinns ni Nini..google saa hivi jinns ingia Wikipedia fuatilia historia yake...sisi tunaita majini ni tafsiri ya jinns ambao ni wa kiarabu..na wameanzia huko
 
Ni kama mimi nimekaa na waganga ila uganga nauona mavi tuu since nilikua naona jinsi wadada wanavyoliwa pesa kipumbavu na majambazi wakija kuchukua dawa za mazindiko ya kutokufa wanapopigwa na mapanga au risasi[emoji28]

Mara ya mwisho nilishuhudia madingi na vipara vyao wakiogeshwa uchi kwenye mto et zindiko la migodi madini yateme[emoji1] ukienda BARRIK watu wameinvest kwenye technology na elimu ya uchumi ona wanapata pesa haswa ila wale wamasai et wanaamini mizimu ndo inatoa ruhusa na baraka ndo zinaleta madini!!

Kama unapinga science bas prove kwa iyo mizimu/uchawi umesahidia nini kwenye maisha ya mwanadamu in daily life.

Uchawi ni uvivu wa kufikiri, duniani kila kitu kina wezekana ila sio kwa teknology yenu iyo yakupakana unga usoni na kaniki kiunoni iyo niprimitive way of solving problems, kama kuna mchawi anaweza potelea angani kavaa suti na moka nistue nami nijiunge ila sio izo pigo za kitishiana tunguri[emoji1]

Siku dogo langu akapandisha majini et jini linasema limetumwa na lipo na wenzake kama buku ivi nikalimbia ni lazima liue familia yote nikalimbia anza na mimi saivi dogo awe wa mwisho likaanza kuunguruma[emoji16] nikaona ujinga huu nikachukua dogo nikafunga kwenye empty room nikaenda out na wife nimerud nakuta dogo anatumbua macho nikacheka nikabeba nikapeleka hospital wod no x wagojwa wa akili nikambiwa ikaanzishiwa doz na clinik ni miaka mpaka sasa sijafa wala uyo dogo.

Always hua nasema “KIKOMO CHAKO CHA KUFIKIRI NDO MATATIZO YAKO YANAPOANZIA”.
Bro umegusa mule mule...usikilizwe...Ila Hawa obviously watajifanya hawaelewi..umeongea reality. Inasikitisha Sana jamii yetu ndo wajinga hivi
 
Daaah sema imani ni kitu cha ajabu sana ukiishaamini tu huwezi tena kutoamini.

Mimi sio mwandishi mzuri ila nina kisa cha kushea nanyi.

Mwaka X niko zangu shule ya bweni(wavulana tupu)sasa kulikuako na mwenyekiti wa casfeta (Nothing personal) alikua kila jumapili baada ya kutoka kanisani lazima apite kila bweni kutoa mahubiri watu wampokee yesu na vitu kadha wa kadha kuhusu kumjua Mungu.

Na jamaa ni moja ya wale watu wanaonena kwa lugha yaani kifupi alikuwa wa moto sana, na sio mtu wa mambo mengi.

Sasa wapuuzi huwa hawakosekani wakasema tutajuaje kama jamaa ana nguvu kweli za kiroho? Kuna mpuuzi mmoja akasema ni rahisi tutamjaribu, wengine tukauliza kivipi jamaa akasema walokole si wanakemea mapepo na kila kitu basi tutamletea pepo au jini watu wakacheka sana.

Basi jamaa kuona watu wanacheka akasema jumamosi ya wiki ijayo kazi ndo itafanyika, na jamaa alikua ni mkazi wa kule shule ilipo so kila weekend anaweza kwenda nyumbani, basi bana Ijumaa ikafika akaenda nyumbani kwao akarudi jumamosi jioni na miguu ya mbuzi sijui alitoa wapi, basi mipango ikapangwa kwamba ile miguu ndo jaribu lenyewe kwa yule bwana mwenyekiti wa casfeta.

Hapa niseme kidogo yule bwana mwenyekiti alikua na kawaida ya kwenda maombi ya usiku ila kabla hajatoka huwa mara nyingi huenda kuoga chooni ule usiku kabla hajaenda maombi.

Sasa huyu muhuni aliyeleta hii miguu miwili ya mbuzi akasema hii miguu tutaweka kwa kuegemeza mlangoni kama inaangalia mbele yaani kuingia chooni, choo ambacho mwenyekiti ataingia halafu tutagonga mlango na kuondoka.

Hapa pia nieleze kidogo vile vyoo vyetu mtu akiwa ndani awe amesimama au amechuchumaa akiwa anajisaidia huwa anaona miguu ya aliyesimama kwa nje kama amesimama kwenye mlango wa choo.

Basi bwana wahuni wakasubiria mda ambao mwenyekiti ataamka kwenda kuoga hili aende kwenye maombi, na hapa ni yeye tu(mwenyekiti) alikua hajui ila bweni zima tulikua tunajua huu mpango.

Mda ukafika ilikua kama saa 8 usiku hivi kumetulia, dogo wa form nyoya akaja kutushtua kwamba mwenyekiti ameenda chooni, basi yule muhuni akasubiri dakika kadhaa akaenda na miguu mbuzi hadi chooni akaweka mlangoni kama alivyosema halafu akagonga mlango halafu akasepa.

Sasa wakati huo kumbe mwenyekiti alikua anakata gogo(anakunya), hivyo alikua anaona vizuri kwa chini ya mlango, kusikia mlango wa choo unagongwa akaangalia chini ya mlango, kuangalia chini akaona kwato na miguu ya mnyama.
Yule bwana alitoka na mlango kama ulivyo tukasikia tu puuuuuuh aliamsha bweni zima, damu zinamvuja kwa kujikata na mlango ni ile milango ya bati yenye frame ya chuma. Akasema ameona jini😅😅

Yule bwana aliyeweka miguu baada ya mwenyekiti kuingia bweni huku akitweta na damu zinatoka akenda chooni kimya kimya kutoa ile miguu kuficha msala kwa sababu mwenyekiti aliumia sana ilibidi tumepeleke zahanati ya shule.

Baada ya kupata nafuu watu wakawa wanamhoji sasa kwanini hukukemea na akaanza kukimbia? Jamaa hakuwahi kutupa majibu na hadi anamaliza form six alijua amekutana na jini😅

NB: Hakuwahi kulala tena bweni zaidi ya ofisi ya dini, shule yetu ilikua na ofisi za viongozi wa dini na sehemu za kuabudu pia.
😂Bora na wewe umeongea ukweli...😴usikilizwe...
 
Kwa mnaosikiliza dini Kama hoja ya uchawi kuwepo...vitabu vya dini vinakosea vile vile Kama unabisha cheki hii video
 

Attachments

  • 43 Scientific Mistakes in the Quran.mp4
    48.3 MB
Unajua kipawa ilivunjwa mwaka gani?😅
Sio hivi karibuni ni miaka kama 11+ iliyopita.
Anyway nilikua najaribu kusema kuna upande wa dunia hii mimi na wewe hatujashuhudia,ila haimaanishi kama haupo.

Refer wavidunda wa Morogoro na mradi wa bwawa la umeme, TANESCO na serikali si ilibidi waongee nao vizuri.

aya
 
Ni kama mimi nimekaa na waganga ila uganga nauona mavi tuu since nilikua naona jinsi wadada wanavyoliwa pesa kipumbavu na majambazi wakija kuchukua dawa za mazindiko ya kutokufa wanapopigwa na mapanga au risasi[emoji28]

Mara ya mwisho nilishuhudia madingi na vipara vyao wakiogeshwa uchi kwenye mto et zindiko la migodi madini yateme[emoji1] ukienda BARRIK watu wameinvest kwenye technology na elimu ya uchumi ona wanapata pesa haswa ila wale wamasai et wanaamini mizimu ndo inatoa ruhusa na baraka ndo zinaleta madini!!

Kama unapinga science bas prove kwa iyo mizimu/uchawi umesahidia nini kwenye maisha ya mwanadamu in daily life.

Uchawi ni uvivu wa kufikiri, duniani kila kitu kina wezekana ila sio kwa teknology yenu iyo yakupakana unga usoni na kaniki kiunoni iyo niprimitive way of solving problems, kama kuna mchawi anaweza potelea angani kavaa suti na moka nistue nami nijiunge ila sio izo pigo za kitishiana tunguri[emoji1]

Siku dogo langu akapandisha majini et jini linasema limetumwa na lipo na wenzake kama buku ivi nikalimbia ni lazima liue familia yote nikalimbia anza na mimi saivi dogo awe wa mwisho likaanza kuunguruma[emoji16] nikaona ujinga huu nikachukua dogo nikafunga kwenye empty room nikaenda out na wife nimerud nakuta dogo anatumbua macho nikacheka nikabeba nikapeleka hospital wod no x wagojwa wa akili nikambiwa ikaanzishiwa doz na clinik ni miaka mpaka sasa sijafa wala uyo dogo.

Always hua nasema “KIKOMO CHAKO CHA KUFIKIRI NDO MATATIZO YAKO YANAPOANZIA”.
Sasa umeprove kipi kuwa hayo matambiko hayajafanya kazi, nenda huko mgodini Geita ukaone watu wanavyodondoshwa kafara. Tena kwa mijitu vipofu kama nyie ndo mnaliwa bichwa mapema.
Afu tafuteni maarifa someni vitabu haya ninayokwambia yote nimeyasoma kwenye vitabu, nyinyi mnaita uchawi mi naita spiritual waorks au energy manipulation na siongelei hao waganga kijijini kwenu na hizo story zako za uongo na kweli sijui mdogo wako alipandisha nini, im talking about spirtual works and how they operate on spiritual world. Kwa kuwa nina uelewa na hayo mambo siwezi pinga uchawi haupo kwa sababu najua yote yanawezekana. Tofauti yangu mimi na nyie mimi ninajua kuwa upo nyinyi mnataka kuaminishwa kwa kuthibitishiwa miujiza, tafuteni maarifa nyie acheni uzwazwa sayansi inapoishia ndo spiritual work zinapoanzia wajinga ambao mabichwa yao yashafungwa kwenye box la sayansi hayawezi kuelewa haya mambo.
Get out of the box uuone ulimwengu, si unajichekesha kwenye comment za wanaume.
 
Kwa kuwasaidia nyie mabichwa box tafuteni vitabu vyenye knowledge ya;
1. Meditation
2. Astrology
3. Numerology
4. Old Egypt (Kemet)
5. Symbology(uwajue wanasayansi walipotokea)

Ila kwa nilivyowasoma nyie ni empty brain, vichwa box najua hamtasoma na hata mkisoma hamna mtachoambulia.
Sio unakaa kujiita Canabian Rasta afu bichwa jeupe huna ulijualo kuhusu ulimwengu wa roho,
marasta wale ni library zinazotembea usiwaone vile ukajua ni mafala, unadhani urasta ni kuvuta bangi na kufuga minywele tu, ile ni spiritual way of life as given by the most high na wanajua spiritual works zote.
Hata hao wanasayansi na sayansi yao ni spiritual works ndio maana utasoma vitabu vyote vya sayansi lakini hutokaa ugundue hata toilet paper kwa kuwa hauna initiation ya spiritual world kuzielewa hidden symbology.
Yaani akili zenu pungufu mnadhani uchawi (spiritual works) unaishia kwa waganga tu na vigagula acheni upimbi nyie vichwa maji matupu.

Ni kama mimi nimekaa na waganga ila uganga nauona mavi tuu since nilikua naona jinsi wadada wanavyoliwa pesa kipumbavu na majambazi wakija kuchukua dawa za mazindiko ya kutokufa wanapopigwa na mapanga au risasi[emoji28]

Mara ya mwisho nilishuhudia madingi na vipara vyao wakiogeshwa uchi kwenye mto et zindiko la migodi madini yateme[emoji1] ukienda BARRIK watu wameinvest kwenye technology na elimu ya uchumi ona wanapata pesa haswa ila wale wamasai et wanaamini mizimu ndo inatoa ruhusa na baraka ndo zinaleta madini!!

Kama unapinga science bas prove kwa iyo mizimu/uchawi umesahidia nini kwenye maisha ya mwanadamu in daily life.

Uchawi ni uvivu wa kufikiri, duniani kila kitu kina wezekana ila sio kwa teknology yenu iyo yakupakana unga usoni na kaniki kiunoni iyo niprimitive way of solving problems, kama kuna mchawi anaweza potelea angani kavaa suti na moka nistue nami nijiunge ila sio izo pigo za kitishiana tunguri[emoji1]

Siku dogo langu akapandisha majini et jini linasema limetumwa na lipo na wenzake kama buku ivi nikalimbia ni lazima liue familia yote nikalimbia anza na mimi saivi dogo awe wa mwisho likaanza kuunguruma[emoji16] nikaona ujinga huu nikachukua dogo nikafunga kwenye empty room nikaenda out na wife nimerud nakuta dogo anatumbua macho nikacheka nikabeba nikapeleka hospital wod no x wagojwa wa akili nikambiwa ikaanzishiwa doz na clinik ni miaka mpaka sasa sijafa wala uyo dogo.

Always hua nasema “KIKOMO CHAKO CHA KUFIKIRI NDO MATATIZO YAKO YANAPOANZIA”.
 
Sasa umeprove kipi kuwa hayo matambiko hayajafanya kazi, nenda huko mgodini Geita ukaone watu wanavyodondoshwa kafara. Tena kwa mijitu vipofu kama nyie ndo mnaliwa bichwa mapema.
Afu tafuteni maarifa someni vitabu haya ninayokwambia yote nimeyasoma kwenye vitabu, nyinyi mnaita uchawi mi naita spiritual waorks au energy manipulation na siongelei hao waganga kijijini kwenu na hizo story zako za uongo na kweli sijui mdogo wako alipandisha nini, im talking about spirtual works and how they operate on spiritual world. Kwa kuwa nina uelewa na hayo mambo siwezi pinga uchawi haupo kwa sababu najua yote yanawezekana. Tofauti yangu mimi na nyie mimi ninajua kuwa upo nyinyi mnataka kuaminishwa kwa kuthibitishiwa miujiza, tafuteni maarifa nyie acheni uzwazwa sayansi inapoishia ndo spiritual work zinapoanzia wajinga ambao mabichwa yao yashafungwa kwenye box la sayansi hayawezi kuelewa haya mambo.
Get out of the box uuone ulimwengu, si unajichekesha kwenye comment za wanaume.
😂😂😂😂😂Skia usitutishe...sawa usitutishe..😁tafuta uthibitisho wa Uchawi utupe..we kuona maruweruwe na sisi hatuoni na kuita spiritual works sijui..😂 hallucinations zako hazituhusu..we endelea kuona. Sisi tunataka na sisi tuone..kama unayo yarushe na huku...😂💔
 
Back
Top Bottom