Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

😂😂😂Kwa Nini nikufate wewe... uchawi una mipaka au....😂yaani ukitaka kugundua uhalisia, timu za Africa zinasemwa kutumia uchawi sijui ..ila mbona zinafungwa ulaya...mbona zinafungwa kombe la dunia...😂😂we kama upo unirushie mauchawi yako yakinifikia nitakuambia...so far siwezi poteza mda wangu niache kazi halisi nazofanya nifunge safari kufata utapeli...Kama una hasira ukaniua..😂mi staki
Wewe ni KITUKO. Nilishakuambia unachoita UCHWAWI ni Hesabu kamili, zina Laws na Principles.
Umeng'ang'ania Uchawi hauna mipaka, huo usio na mipaka ni Uchawi wenu labda na hao wanaokupofusha.

Shida unapenda sana stori za vijiweni na kufanya hitimisho, Ungekuwa mwerevu ungetafuta ushahidi wewe mwenyewe.

Wewe ni Mtumwa! Unatia aibu tu hapa. Nenda kijiweni ukakusanye matango pori mengi juu ya uchawi uje usimulie watoto wako.
 
Yarushe huku...😂uchawi una mipaka kwani? Mi siwezi poteza nauli yangu kumtafuta chizi
Nilishakuambia unachoita Uchawi kina KUTEGA NA KUTEGUA, Kina Kanuni na Sheria zake.

Haya, Kacheze na watoto wenzako!
 
Uzi unavyo jieleza na mbweha moja inayo endelea kupinga tuachane nayo, em tuendelee na uzi wetu akikutag unaachana nae. Watu wengi humu tunakutana na vitu ambavyo unaona kabisa ni uchawi yeye anapinga kudadadeki tuendelee na uzi wetu tusimjali.
 
Oya nyie wanasayansi uchwara, tuachieni thread basi shuhuda ziendelee.
 
Uzi umevamiwa na mabwabwa ya upinde nashauri tuyapuuze afu tuendelee na simulizi zetu.
Hauwezi kumuminisha mtu kitu kitu kisichoonekana na wakati hata jinsia yake anayoiona haiamini.
Tunavyoyajibu ndo tunayapa nguvu za kubishana maana yashazoea michambo vibarazani si unaona cheka zao hizo za michambo.
 
Bac...sawa coz tunazidi kuprove kuwa kila kitu sio uchawi ni ukosefu wa maarifa juu ya kitu...then tuonyeshe uchawi wenyewe uko wapi...
Nimekwambia uchawi wenyewe ni maarifa, nikikwambia unionyeshe sayansi utanionyeshe nini?
 
Sijitetei na wazungu ila wewe ndio unawatumia wazungu kama mfano wa watu ambao wameelimika na hawaamini uchawi na kwamba huku afrika tunaamini uchawi kwa sababu hatujaelimika kama wazungu.

Hivyo nimekuonyesha kwamba uchawi sio suala la wasooelimika tu pekee ndio wanaamini, hao wasioamini uchawi sio kwa sababu ya elimu bali hujaribu kupinga uchawi kwa kutumia elimu yao hivyo ni suala la kuamini na kutokuamini na wenye elimu na wasio na elimu.
Kwahyo jamaa anatuaminisha kwamba yeye ni mzungu kasoma? [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeona sasa...huo ujinga wako ndo unakufanya uone uchawi. Mbona wenzetu walioendelea hawakai kufikiria mauchawi, ni WA Africa tu Tena wenye maisha duni coz hamna elimu. Ukishajua biology huwezi amini uchawi. Ushawahi ona doctor anaamini uchawi. Vitu vingine fuatilieni bac ni Sayansi ya ubongo tu
Hao unaowasema wameendelea, Wana mpaka group na page za hayo mambo ya uchawi
 
Kwahyo jamaa anatuaminisha kwamba yeye ni mzungu kasoma? [emoji1787][emoji1787]
Jamaa anasema waafrika hawana elimu ndio maana wanaamini mauchawi, yeye anajiweka kundi moja na wazungu.
 
Kweli kabisa umenikumbusha mbali sana. kuna mwaka1 kijijini kwetu kaka yangu alikua ana mchezo wakujenga nyumba alafu anauza baada yamuda anaenda usiku anarusha mwawe kwenye bati na kuchimba elizi zaungo nakweli mlangoni baada ya myezi mitatu watu wanaisusa nyumba kwa kuiuza kwabei cheee kabisa alafu broo anainunua tena kupitia mtu mwingine kwabei cheee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kutuona sisi ni watoto wenzio
 
Sijitetei na wazungu ila wewe ndio unawatumia wazungu kama mfano wa watu ambao wameelimika na hawaamini uchawi na kwamba huku afrika tunaamini uchawi kwa sababu hatujaelimika kama wazungu.

Hivyo nimekuonyesha kwamba uchawi sio suala la wasooelimika tu pekee ndio wanaamini, hao wasioamini uchawi sio kwa sababu ya elimu bali hujaribu kupinga uchawi kwa kutumia elimu yao hivyo ni suala la kuamini na kutokuamini na wenye elimu na wasio na elimu.
Bac sawa...we tupe uthibitisho Sasa...mbona huna
 
Unaongea hivyo kirahisi kwamba ni mind game kwa sababu tu hujasoma mwenyewe hivyo vitu, hauna picha kamili ya hayo mambo yalivyo usingeongea hivyo kirahisi, hapo umetoka kusoma wikipedia upande mmoja unaona inatosha.

Sitaki kukulazimisha ubadili mitazamo ila nasikitika tu unavyojizui kujifunza zaidi kwa sababu ya kushikilia misimamo na kupinga vitu ambavyo hauelewi vikoje.

Fanya kuwa umeshasoma upande mmoja hebu jaribu tu kusoma na upande wa pili, naweza kukutumia hadi vitabu usome.
🤣🤣🤣Upande wa pili ni Nini, astrology ni pseudoscience, hio sijui psychic reading ni pseudoscience, elewa bac. Unajua maana ya pseudoscience kwanza
 
Unaongea hivyo kirahisi kwamba ni mind game kwa sababu tu hujasoma mwenyewe hivyo vitu, hauna picha kamili ya hayo mambo yalivyo usingeongea hivyo kirahisi, hapo umetoka kusoma wikipedia upande mmoja unaona inatosha.

Sitaki kukulazimisha ubadili mitazamo ila nasikitika tu unavyojizui kujifunza zaidi kwa sababu ya kushikilia misimamo na kupinga vitu ambavyo hauelewi vikoje.

Fanya kuwa umeshasoma upande mmoja hebu jaribu tu kusoma na upande wa pili, naweza kukutumia hadi vitabu usome.
 

Attachments

  • Screenshot_20230808-074158.png
    Screenshot_20230808-074158.png
    47.6 KB · Views: 10
Wewe ni KITUKO. Nilishakuambia unachoita UCHWAWI ni Hesabu kamili, zina Laws na Principles.
Umeng'ang'ania Uchawi hauna mipaka, huo usio na mipaka ni Uchawi wenu labda na hao wanaokupofusha.

Shida unapenda sana stori za vijiweni na kufanya hitimisho, Ungekuwa mwerevu ungetafuta ushahidi wewe mwenyewe.

Wewe ni Mtumwa! Unatia aibu tu hapa. Nenda kijiweni ukakusanye matango pori mengi juu ya uchawi uje usimulie watoto wako.
🤣🤣🤣 Uchawi haupo...Kama ushahidi upo tuambie .watu wazima sisi hatuwezi acha familia zetu na kazi zetu ili nikaone mbuzi anapaa
 
Nilishakuambia unachoita Uchawi kina KUTEGA NA KUTEGUA, Kina Kanuni na Sheria zake.

Haya, Kacheze na watoto wenzako!
🤣Bac we tegua, sijui tega, wafike. Otherwise Baki huko huko na ujinga wako usinipotezee mda
 
Uzi unavyo jieleza na mbweha moja inayo endelea kupinga tuachane nayo, em tuendelee na uzi wetu akikutag unaachana nae. Watu wengi humu tunakutana na vitu ambavyo unaona kabisa ni uchawi yeye anapinga kudadadeki tuendelee na uzi wetu tusimjali.
🤣🤣🤣We unaona ni uchawi coz huna elimu. Kuna effect ya jamii pia. Mfano Mimi sijawahi ona uchawi because
1. Nazungukwa na jamii ambayo inajielewa, ipo good upstairs na hawana shida ndogo za kumlaumu mjomba wao kawaloga
2. Kutokana na mazingira hayo, hata fikra za kichawi haziwezi kuja coz sio kitu ambacho umekuwa indoctrinated nacho na ndugu au marafiki.
3. So hata ikitokea issue tuseme sleep paralysis au hallucinations it's unlikely utaona kitu Cha ajabu Sana coz ur mind haijawa fed hayo mambo.
Sasa tofauti na nyie ni kwamba jamii zinazowazunguka mnaamini uchawi kutokana na ujinga na umaskini inapelekea akili yako ijenge images na ndo unakuta unaona hivi vitu..ila in reality havipo. Mi naongea very peaceful very educational lakini bado mtasema najaribu Uzi wenu. Ndo maana nikasema Kama Kuna mtu anadhani ametokewa na kitu so extraordinary ambacho hakipo limited to macho yake au ya rafiki yake tu bali everyone can see na anaweza prove kwamba ni ukweli na sio maruweruwe au story za kijiweni. Aje aseme. Ila nobody did...kila mtu anakuja na vitisho Mara Sali sana, Mara kua uone, Mara nenda mtaani, mwingine kijijini. Tupeni evidence tuwakubali, mbona jua lipo hatubishani, hata kipofu anajua jua lipo coz anahisi joto lake.
 
Back
Top Bottom