a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,456
- 1,459
Wewe ni KITUKO. Nilishakuambia unachoita UCHWAWI ni Hesabu kamili, zina Laws na Principles.😂😂😂Kwa Nini nikufate wewe... uchawi una mipaka au....😂yaani ukitaka kugundua uhalisia, timu za Africa zinasemwa kutumia uchawi sijui ..ila mbona zinafungwa ulaya...mbona zinafungwa kombe la dunia...😂😂we kama upo unirushie mauchawi yako yakinifikia nitakuambia...so far siwezi poteza mda wangu niache kazi halisi nazofanya nifunge safari kufata utapeli...Kama una hasira ukaniua..😂mi staki
Umeng'ang'ania Uchawi hauna mipaka, huo usio na mipaka ni Uchawi wenu labda na hao wanaokupofusha.
Shida unapenda sana stori za vijiweni na kufanya hitimisho, Ungekuwa mwerevu ungetafuta ushahidi wewe mwenyewe.
Wewe ni Mtumwa! Unatia aibu tu hapa. Nenda kijiweni ukakusanye matango pori mengi juu ya uchawi uje usimulie watoto wako.