Kitu gani unajutia kufanya maishani?

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Wakuu ni kitu gani ambacho unajutia sana kukifanya maishani mwako.

Kwa upande wangu najutia sana kusoma Bachelor moja kwa moja toka Advance badala ya kuanza diploma au certificate ningekuwa nimesha ajiriwa au kupiga hatua kwa namna moja au nyingine kielimu kuliko kukaa na vyeti vya Bachelor ndani na ajira hakuna.

Ni jambo gani unajutia maishani?
 
Mi najutia kuoa kwa sababu nimedisplay nyumba zangu na asset zangu zote kwa huyu mke wangu wakati huo nikiamini ni nimepatia kuoa ila kwa sasa mke wangu amekuwa mtu wa ajabu kidogo tu anasema kila mtu ashike hamsini zake roho inaniuma nakosa pa kuanzia na ametarget mali na kajua mimi nawapenda watoto na siwezi kuamua kuivunja ndoa.
Anyway right now natafuta mwanamke mgumba asiezidi miaka 30 mwenye skills za kibiashara ili nihamishe hisia maana mambo yangu yanasimamq kwa speed mno.
 
Ukiona ofisi inatafuta interns omba. Huwa kuna chance kubwa ya kuajiriwa inapotokea nafasi ukiwa humo. Unajenga pia na work experiece hapo.
 
sijuitii lolote sababu najua kila linalotokea lina sababu, halaf mimi ni mtu wa kuchukulia vitu in a way haviniathiri, napenda kumind hamsini zangu, utakavyonichukulia poa tu, so sjutii chochote kile
 
Huko ulipoenda straight bachelor hujakutana na walioanza certificate na dip na umekula nao msoto?
 

Kama wewe ni mwanaume Mgawane au MMwachie vyote ukatafute vingine
 
pale nilipo wachukulia poa ndugu wa marehemu mzee, kwa kudhani kushinda kesi mahakamani basi kila kitu kitakuwa kimeisha.

aisee wali nipiga juju hatari, kwanza hulali usiku, kichwa kina uma kishenzi.
na uki lala una ota ndoto za ajabu ajabu.

Mara uwe una enda kuzikwa, Mara ukabwe ndotoni, na uki shituka mwili una toa jasho huku uki pata tabu kuhema.

Mara ushindwe kuhesabu shilingi 100 au 200, una ona kitu ila jina huki jui.
Nili kuwa niki Soma vitabu +hard copy) lazima nisinzie.
Ila soft copy Wala hakuna shida.

Nika kimbia mkoa husika, ila huko nako ni Yale yale, Ika bidi nita fute mbinu mbadala.

Member mmoja humu aka ni connect na babu yake, siwafichi nili pona siku 1 tu.
siku zilizo fata ni mateso tu, Ika nibidi nizunguke huku na huko. Ila wapi.

nakumbuka nili enda Tanga muheza, ostazi mmoja aka sema ata nitibu, Nika pigwa dawa mbali mbali.
Still hamna kitu.

aka mwita mwenzie ili wapigie Dua nzito, nakumbuka tuli lala usingizi wote.
tukaja amshwa na muongeza ubani 🤣😂, yule ostazi mwingine aka niita chemba kuni ambia tatizo ni kubwa na zito.

hivyo yeye hawezi, aka nipa ushauri niende kwingine. Kuliko kukorofisha vitu vitakavyo nidhuru zaidi.

aisee, sita sahau. mshamba_hachekwi, Half american, MrsPablo1, Selikavu, adriz, ephen_, Shadow7, Bolotoba, makutupora, trudie, Vishu Mtata, Grahams, trudie
 
Ulichomokaje kwenye hili, uliponaje.
 
Najutia sana baada ya kumaliza degree nikaenda kusoma masters, huo muda bora ningekuwa nafanya hata internships nipate uzoefu wa kazi ningeshajipatia ajira au ile ada ningefanya biashara tuu.
Miaka 6 sasa hakuna cha maana mtaani hata hayo makaratasi hayajanisaidia chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…