Kitu gani unajutia kufanya maishani?

Kitu gani unajutia kufanya maishani?

Najutia sana baada ya kumaliza degree nikaenda kusoma masters, huo muda bora ningekuwa nafanya hata internships nipate uzoefu wa kazi ningeshajipatia ajira au ile ada ningefanya biashara tuu.
Miaka 6 sasa hakuna cha maana mtaani hata hayo makaratasi hayajanisaidia chochote.
Wewe ni jinsia gani mkuu
 
pale nilipo wachukulia poa ndugu wa marehemu mzee, kwa kudhani kushinda kesi mahakamani basi kila kitu kitakuwa kimeisha.

aisee wali nipiga juju hatari, kwanza hulali usiku, kichwa kina uma kishenzi.
na uki lala una ota ndoto za ajabu ajabu.

Mara uwe una enda kuzikwa, Mara ukabwe ndotoni, na uki shituka mwili una toa jasho huku uki pata tabu kuhema.

Mara ushindwe kuhesabu shilingi 100 au 200, una ona kitu ila jina huki jui.
Nili kuwa niki Soma vitabu +hard copy) lazima nisinzie.
Ila soft copy Wala hakuna shida.

Nika kimbia mkoa husika, ila huko nako ni Yale yale, Ika bidi nita fute mbinu mbadala.

Member mmoja humu aka ni connect na babu yake, siwafichi nili pona siku 1 tu.
siku zilizo fata ni mateso tu, Ika nibidi nizunguke huku na huko. Ila wapi.

nakumbuka nili enda Tanga muheza, ostazi mmoja aka sema ata nitibu, Nika pigwa dawa mbali mbali.
Still hamna kitu.

aka mwita mwenzie ili wapigie Dua nzito, nakumbuka tuli lala usingizi wote.
tukaja amshwa na muongeza ubani 🤣😂, yule ostazi mwingine aka niita chemba kuni ambia tatizo ni kubwa na zito.

hivyo yeye hawezi, aka nipa ushauri niende kwingine. Kuliko kukorofisha vitu vitakavyo nidhuru zaidi.

aisee, sita sahau. mshamba_hachekwi, Half american, MrsPablo1, Selikavu, adriz, ephen_, Shadow7, Bolotoba, makutupora, trudie, Vishu Mtata, Grahams, trudie
Alright Sasa nimeelewa nilikuwa napewa stori Kama hizi na yule mzee wetu akisema yupo kijana wake anapitia Hali hii .
Nilidhani ni pombe kumbe alimaanisha pole Sana Kaka Ila utakuwa umepona Sasa ?

Nikumbuke mzee wako yule nimejihisi vibaya Sasa maana hii ilikuwa Kama topic kila mkizungumza akihitaji msaada nkawa nampuuza .

IAM sorry Intelligent businessman
 
Alright Sasa nimeelewa nilikuwa napewa stori Kama hizi na yule mzee wetu akisema yupo kijana wake anapitia Hali hii .
Nilidhani ni pombe kumbe alimaanisha pole Sana Kaka Ila utakuwa umepona Sasa ?

Nikumbuke mzee wako yule nimejihisi vibaya Sasa maana hii ilikuwa Kama topic kila mkizungumza akihitaji msaada nkawa nampuuza .

IAM sorry Intelligent businessman
Thank God, niko poa sana. nashukuru pia Kama ali lifikiria angalau.

Ili bidi umafia kutumika, ili kumalizana nao.

Usi waze Sana kaka, ana endeleaje lakini??
 
Mi najutia kuoa kwa sababu nimedisplay nyumba zangu na asset zangu zote kwa huyu mke wangu wakati huo nikiamini ni nimepatia kuoa ila kwa sasa mke wangu amekuwa mtu wa ajabu kidogo tu anasema kila mtu ashike hamsini zake roho inaniuma nakosa pa kuanzia na ametarget mali na kajua mimi nawapenda watoto na siwezi kuamua kuivunja ndoa.
Anyway right now natafuta mwanamke mgumba asiezidi miaka 30 mwenye skills za kibiashara ili nihamishe hisia maana mambo yangu yanasimamq kwa speed mno.

Wala usimuache ila mpe funzo, hold mali zote taratibu andikisha majina tofauti bila yeye kujua. Au uza kisha nunua ingine kwa kificho, watoto wakisogea unawaonesha na wape waanze kunufaika navyo.

Au

Ondoka muache alipo na watoto, tafuta gheto kwingine nenda kaishi na kuendelea na mambo yako!! Akikuomba mrudishe family, mtie kitanzi cha mikataba!!

Hana maana huyo!!

Hiyo ya juu ndiyo niliapply mimi!! Alikuja kugundua baadae sana na kanyooka kawa na adabu si mchezo.
 
Sijawahi kujutia chochote wala lolote
tea_mobama-_012515064953.jpg
 
Thank God, niko poa sana. nashukuru pia Kama ali lifikiria angalau.

Ili bidi umafia kutumika, ili kumalizana nao.

Usi waze Sana kaka, ana endeleaje lakini??
Sijui lolote maana hapatikani natamani kumuulizia Shem Ila ndiyo vile maaskari hawatabiliki Kaka na nilivyojichokea na ulanzi asijesema ni kibaka ninayemuulizia mmewe bwana
 
Back
Top Bottom