Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Nashindwa kuelewa sijui lilikuwa la mapambo ila si ya mapambo feki si yapo ?[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kuelewa sijui lilikuwa la mapambo ila si ya mapambo feki si yapo ?[emoji28][emoji28][emoji28]
hii imenifanya nicheke peke yangu. Sivuti picha ulivyomchana sura yake ilisawajikaje.Kuna jamaa mtaani watu alikuwa wanamuogopa kutokana na uvaji wake kama vile yuko kitengo. Alikuwa kama kibosi mixer kiusalama. Sasa siku nikawa naenda bar flan ipo gomzi pana bendi, ilikuwa naenda jioni nikifika namuona anakata mauno. Kumbe ndo kazi yake ila mtaani hataki watu wajue.
Basi siku asubuhi duka flan kaja na mimi nilikuwepo maada ilikuwa ina husu magu akawa ana changia akawa anasema kuwa mwenye kazini maboss wanawabana safari zimepungua.
Sasa wakati wa kusepa tukaongozana nikamuuliza akasema yuko sekta flani. Nika mchana kuhusu bendi jamaa akaishiwa pozi kawa anacheka akasema nikaushe ndo swaga zinazo mweka mjini.
🤣🤣🤣🤣sipati picha alivyokuwa anajituma kukatika on the stage....Kuna jamaa mtaani watu alikuwa wanamuogopa kutokana na uvaji wake kama vile yuko kitengo. Alikuwa kama kibosi mixer kiusalama. Sasa siku nikawa naenda bar flan ipo gomzi pana bendi, ilikuwa naenda jioni nikifika namuona anakata mauno. Kumbe ndo kazi yake ila mtaani hataki watu wajue.
Basi siku asubuhi duka flan kaja na mimi nilikuwepo maada ilikuwa ina husu magu akawa ana changia akawa anasema kuwa mwenye kazini maboss wanawabana safari zimepungua.
Sasa wakati wa kusepa tukaongozana nikamuuliza akasema yuko sekta flani. Nika mchana kuhusu bendi jamaa akaishiwa pozi kawa anacheka akasema nikaushe ndo swaga zinazo mweka mjini.
Yaseme basi nipige kimoja.Tukiyasema siku Maxence Melo akichoka kutubebea kifuani watu tutaumbuka, acha tu tukae nayo moyoni.
SafiNafahamu mambo mengi ya watu ila huwa nakausha tu.
Nawaangalia wanavyojitutumua.
Aiseee, Mama Mchungaji katisha.Mama mchungaji kwenye jamii wana muheshimu kweli. Alikuwa anali na rafiki yangu. Sasa kuna siku alinikuta dukani na nunua K VANT, kaanza hubiri nikakausha sikutia neno.
Siku natoka mahali nakutananae kaanza kuni hubiria ile nakaribia geto nika mchana kuhusu jamaa najua ABC na nikamwambia ushahidi ninao. Hahahahahaha alikuwa mpole balaa akawa ananionea aibu.
Akaja kuniomba aje geto tuonge.
Hii Kali kuliko zoteKuna jamaa mtaani watu alikuwa wanamuogopa kutokana na uvaji wake kama vile yuko kitengo. Alikuwa kama kibosi mixer kiusalama. Sasa siku nikawa naenda bar flan ipo gomzi pana bendi, ilikuwa naenda jioni nikifika namuona anakata mauno. Kumbe ndo kazi yake ila mtaani hataki watu wajue.
Basi siku asubuhi duka flan kaja na mimi nilikuwepo maada ilikuwa ina husu magu akawa ana changia akawa anasema kuwa mwenye kazini maboss wanawabana safari zimepungua.
Sasa wakati wa kusepa tukaongozana nikamuuliza akasema yuko sekta flani. Nika mchana kuhusu bendi jamaa akaishiwa pozi kawa anacheka akasema nikaushe ndo swaga zinazo mweka mjini.
Namjua huo ndiyo Ugonjwa wake mkubwa.Uliwaona wanavyokulana?
What if jamaa ako anajipaisha
Nakumbuka huyu mzee mke wake alisafiri baada ya kupata msiba mbeya sasa, hii nyumba yake ina vyumba vinee vya ndani na vina wapangaji, sasa kuna mpangaji mmoja wa kike anaishi singo, basi bhana mimi ninapolala napakana na chumba chake na mkewe, na havina ceiling board, basi nikasikia mlango simu yake imeingia meseji, twilili, nikasikia anafungua mlango taratibu akatoka chumbani kwake na kuingia chumba cha huyo mpangaji, nikawa tu nahisi.
Ila ghafla kuna mtu akawa anamuita maana ilikuwa bado mapema nikasikia anatoka haraka kwa kunyata alipofika chumbani kwake akaitika
Ila mchezo uliendeleaga mpaka mkewe aliporudi
Mzee Zubery ana fuvu la mtoto ndani kwake lipo kwenye ungo kalifunika Kaniki jeusi
Nilijua baada ya kufanya attempt za kumuibia sabufa yake
Niliamua niiache nikapanga vitu kama nilivyovikuta
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀nimecheka kifala... vipi aliitoa??Kuna jamaa niliweka fegi kwenye kasha sasa imebaki moja na iko sebureni
Ila naingia chumbani jamaa akaiunuka sasa mi nataka kurudi naona anaificha kwenye koti.
Tumepiga piga vipombe weee sasa muda wa kutoka ikabidi nimpe kiberiti aiwashe ili mi nivute kipande changu ye aende na chake.
Aseeeee sikutegemea mshtuko
na jamaa ndo kiongozi wa ma dancer🤣🤣🤣🤣sipati picha alivyokuwa anajituma kukatika on the stage....
Ilimlazimu tu sasa angefanyeje😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀nimecheka kifala... vipi aliitoa??
Unamdharau wakati ushamegewa? Nyie Watoto wa sasa hivi mbona laini sanaNilitemana na pisii jamaa angu kabisa akawa anamegaaa nilijua sikumwambia kitu ila nilimdharau jamaaa....
sasa nilishakula mpaka nimesazaa alafu jamaa nae kaenda kwa ex..Unamdharau wakati ushamegewa? Nyie Watoto wa sasa hivi mbona laini sana