Kitu gani unakijua kwa mtu wako wa karibu huku yeye akiamini hujui?

Kwamba wauza supu wanadhani hatujui kuwa Ile Miko ni mikono ya watu na viti ni migongo ya watu tunakalia na supu kabla ya kuileta sokon lazima wachambie ule utoko wa asubuhi kabla hajaoga papuchi.[emoji849] Lakini tunakula tu maisha yanaenda[emoji34]
Astaghafulilah to yeye nimeshindwa kumaliza supu yangu hapa kwa mama kigushe na leo ni IDD EL ADH'HAA
 
Dah😪😪😪hii imegusa moyo sana kuna siku nikiwa mazingira yangu hatarishi kikazi jamaa yangu sana akaniomba nikamchekie kitu sikumbuki hasa kilikua kitu gani kwenye begi lake,kufika pale nikaaanza kukitafuta ghafla bin vuu nikakutana na madonge ya Arv's dah nikarudisha fasta na jamaa hakujua kama nimekuta njugu mle
 
Biashara bila matangazo haiendi man[emoji3]
 
Inaonesha rafiki yako akikuomba trako utampa kirahisi sana we jamaa.
 
Enzi hizo home familia nzima tulikuwa tumetoka tumeenda kwenye sherehe nyumbani alibakia dada yangu mkubwa basi kule harusini nikamzingua bi mkubwa kuwa kichwa kinauma nataka kurudi home ila lengo langu ilikuwa niende Uwanjani kucheza mpira, sasa nafika home nakuta mlango uko wazi nikaingia taratibu kufika chumba cha sista nakuta mlango uko wazi sista anagongwa kifo cha mende na anko wetu, nilirudi nyuma taratibu nikatoka mbio kurudi kwenye sherehe, ile ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona watu wakifanya mapenzi, sikuwahi kumwambia mtu na hawajui kama niliwaona hadi leo hii sista aliolewa ana watoto wanne na yule anko alikua anajifanyaga mkuda enzi hizo nikikosea nyumbani yeye ndio anaitwa anichape ila siku hizi huwa nakaa nae tunapiga tungi, nimepanga siku moja tukilewa nimchane nilimuona akimgonga sista.
 
Kwamba wauza supu wanadhani hatujui kuwa Ile Miko ni mikono ya watu na viti ni migongo ya watu tunakalia na supu kabla ya kuileta sokon lazima wachambie ule utoko wa asubuhi kabla hajaoga papuchi.[emoji849] Lakini tunakula tu maisha yanaenda[emoji34]
Wee utakua mchawi pia ndio maana unaona yote hayo[emoji23][emoji23]
 
Aiseee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Kwamba wauza supu wanadhani hatujui kuwa Ile Miko ni mikono ya watu na viti ni migongo ya watu tunakalia na supu kabla ya kuileta sokon lazima wachambie ule utoko wa asubuhi kabla hajaoga papuchi.[emoji849] Lakini tunakula tu maisha yanaenda[emoji34]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kweli kabisaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…