Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Sema nini mkuu, keep writing bro kupigwa vita ni kawaida.
100%. Naamini hizi posts zimemfunza kitu. Apambane sana sana kwa biashara nk, afanye kitu fulani cha maendeleo na cha kuonekana. Naamini anaweza kabisa. Au vitabu sio lazima vya aina hii. J. K. Rowling aliyeandika vitabu vya Harry Potter amekuwa mwandishi mkubwa sana na wa mafanikio makubwa sana duniani. Kama ni mwandishi mzuri, anaweza hamishia nguvu yake kwa uandishi wa namna nyingine na akatoboa vizuri. Juzi tu mzaliwa wa Tanzania (Zanzibar) ameshinda Nobel prize ya uandishi (literature) ambayo wanapewa usd 250,000 cash ukishinda. Kwa hio yote hapa ni kuelimishana. Lugha inaweza kuwa kali ili mtu azingatie kabisa. Hivi vitabu vya mafanikio vinapotosha wengi sababu vinaandikwa na watu wasiojua hata siri hizo. Ni watu wasanii wanaotafuta hela. Na mjasiriamali kama mimi inaniudhi sana kuona watu wanaopambania maisha wakipotoshwa namna hii.
 
Nikajua ushakisoma hicho kitabu ili nawe ufanikiwe, kumbe na ww unasaka mafanikio
 
Karibuni kupata kitabu,
Kinakupa mwongozo sahihi wa kuishi maisha ya kweli kwako badala ya kuiga maisha ya wengine.
Na eneo la kwanza kuwa mkweli kwako ni kwenye maana ya mafanikio.
Wengi wanahangaika na maana za mafanikio ambazo siyo zao, mwisho hata wakifikia hayo wanayoambiwa ni mafanikio, bado ndani yao wanajiona watupu.
Usiendelee kupoteza muda na maisha yako kwa kuhangaika na maana ya mafanikio isiyo sahihi kwako.
Pata leo kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ili ujue maana sahihi ya mafanikio kwako na uifanyie kazi.
Wasiliana na 0752 977 170 kupata kitabu chako leo.
Nimeshindwa kusoma comments zote, ila Nina wazo kwako, naogopa watu wanafamywa fursa wakati wakitafuta fursa. Mwanzo wako ulikuwa mzuri, ila kama ulikuwa na nia njema, ungetoa summary ambayo ingekuwa kama chambo. Mbona kuna watu wanatoaga simulizi mpaka watu wanawaomba watoe kitabu! Wewe umekuja kama unataka kuwageuza watu fursa wakati nao wanatafuta fursa.
 
100%. Naamini hizi posts zimemfunza kitu. Apambane sana sana kwa biashara nk, afanye kitu fulani cha maendeleo na cha kuonekana. Naamini anaweza kabisa. Au vitabu sio lazima vya aina hii. J. K. Rowling aliyeandika vitabu vya Harry Potter amekuwa mwandishi mkubwa sana na wa mafanikio makubwa sana duniani. Kama ni mwandishi mzuri, anaweza hamishia nguvu yake kwa uandishi wa namna nyingine na akatoboa vizuri. Juzi tu mzaliwa wa Tanzania (Zanzibar) ameshinda Nobel prize ya uandishi (literature) ambayo wanapewa usd 250,000 cash ukishinda. Kwa hio yote hapa ni kuelimishana. Lugha inaweza kuwa kali ili mtu azingatie kabisa. Hivi vitabu vya mafanikio vinapotosha wengi sababu vinaandikwa na watu wasiojua hata siri hizo. Ni watu wasanii wanaotafuta hela. Na mjasiriamali kama mimi inaniudhi sana kuona watu wanaopambania maisha wakipotoshwa namna hii.
Mkuu the Nobel prize winner wa sasa hivi does not deserve it. Anyway uko sahihi kwa mengi. Ila kama wataka more info kuhusu yeye naweza kushare hapa hapa. Sorry for my Swanglishi.
 
100%. Naamini hizi posts zimemfunza kitu. Apambane sana sana kwa biashara nk, afanye kitu fulani cha maendeleo na cha kuonekana. Naamini anaweza kabisa. Au vitabu sio lazima vya aina hii. J. K. Rowling aliyeandika vitabu vya Harry Potter amekuwa mwandishi mkubwa sana na wa mafanikio makubwa sana duniani. Kama ni mwandishi mzuri, anaweza hamishia nguvu yake kwa uandishi wa namna nyingine na akatoboa vizuri. Juzi tu mzaliwa wa Tanzania (Zanzibar) ameshinda Nobel prize ya uandishi (literature) ambayo wanapewa usd 250,000 cash ukishinda. Kwa hio yote hapa ni kuelimishana. Lugha inaweza kuwa kali ili mtu azingatie kabisa. Hivi vitabu vya mafanikio vinapotosha wengi sababu vinaandikwa na watu wasiojua hata siri hizo. Ni watu wasanii wanaotafuta hela. Na mjasiriamali kama mimi inaniudhi sana kuona watu wanaopambania maisha wakipotoshwa namna hii.
Mkuu,
Mimi nilishamalizana na wewe,
Sina tatizo binafsi na wewe wala mafanikio yako.
Na kitu pekee post zako hapa zimenifundisha ni namna ya kutambua na kuepuka negative energy kama zako.
Hivyo asante kwa hilo.
Nitaendelea kuandika na siwezi kuacha kwa sababu ya maoni ya mtu aliye hasi kama wewe.
Nikutakie kila la kheri.
 
Nimeshindwa kusoma comments zote, ila Nina wazo kwako, naogopa watu wanafamywa fursa wakati wakitafuta fursa. Mwanzo wako ulikuwa mzuri, ila kama ulikuwa na nia njema, ungetoa summary ambayo ingekuwa kama chambo. Mbona kuna watu wanatoaga simulizi mpaka watu wanawaomba watoe kitabu! Wewe umekuja kama unataka kuwageuza watu fursa wakati nao wanatafuta fursa.
Huenda ndiyo umesoma andiko hili pekee mkuu, pitia maandiko yangu ya nyuma, utaona hicho ulichoshauri ndiyo nafanya.
Kwa mfano kwa kitabu hiki tu, hii ni sumary ya tatu naweka hapa.
Hivyo wa kupinga huwa hawakosekani, ila wale makini wanaelewa.
 
Mkuu the Nobel prize winner wa sasa hivi does not deserve it. Anyway uko sahihi kwa mengi. Ila kama wataka more info kuhusu yeye naweza kushare hapa hapa. Sorry for my Swanglishi.
Hapa ndipo watanzania tunajichekeshaga na huu ujuaji wetu.
Yaani sisi ni maexpert kwenye kila jambo.
Kamati ya watu imekaa, ikaweka vigezo na kuchagua mtu kulingana na vigezo walivyojiwekea wao, halafu wewe umekaa chumbani kwako tu na unaropoka Nobel Prize Winner does not deserve it?
Seriously? Yaani kama vile wewe ndiyo unajua zaidi kuliko wote waliopanga hayo na kupitia mchakato mpaka kuchagua mtu?
Tuwe tunashirikisha akili kabla ya kufungua midomo yetu au kuchezesha vidole vyetu.
 
Back
Top Bottom