Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kwa namna ulivyoandika tu inaonekana hio kichwa Ni empty set,Bora muda wa kubishana na wewe nikapige Puli.Trump ni billionea tena sio wa mchezo. Kinachofanyika ni kumchafua Trump na kumtoa kwenye reli ya kutambulika duniani na kuendelea kusimama kama mwanasiasa bora Duniani.
Hayo yote ni Propaganda hasa baada ya sera za Trump kua Kinzani sana na sera nyingi za watawala wa kidunia, wa chama chake baadhi na chama kikuu cha Upinzani.
Mara nyingi Trump hakupenda kupangiwa nini afanye na nini asifanye na kutokana na misimamo yake ndio hapo wakubwa wa Dunia chini ya kiongozi wa Dunia ( simtaji) wakaamua kumtoa na kumuweka kua kiongozi wa muhula mmoja.
Sasa kama unasema leo Trump hana lolote mimi niko tayari tukinzane kwa data ingawa naamini wewe data zako ni zile zilizopikwa tayari kumchafua Trump
Kama amekwepa kodi mbona hajapelekwa mahakamani hadi leo? Kama vitega uchumi vyake si Imara mbona bado hatusikii kutikisika kwake?
Mambo Haya ni magumu na yanahitaji elimu zaidi ya hii ya Dunia.
Ndugu Makirita Amani achana na huyo mpuuzi anayejifanya anajua sana kumbe hana alijualo. Anavunga ana mafanikio kumbe pengine hata nyumba ya kulala inayofanana na banda la njiwa hana.Hapa JF kila mtu anajifanyaga ana mafanikio.Mkuu,
Nimeanza kuandika hapa JF kuhush personal development mwaka 2013.
Hii Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja ni moja ya makala niliyoandika hapa mwaka 2014 na watu mpaka leo wananishukuru kwa kuchukua hatua ya kuwekeza UTT.
Hivyo jua nilikuwepo hapa, nipo na nitaendelea kuwepo.
Karibu sana ujifunze na uweze kuwa bora.
Na pia nikutakie kila la kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbeba hirizi kwenye matako. Kuwa makini.
Siyo kweli mkuu, none is here for you my friend, you're on your own. By the way umejibu kiungwana na kibusara sana. [emoji106]Kuna wengine wanatka kushirikisha watu wengune kwenye mambo mema.
Hiyo kuuza ni kulipia gharama za vitendea kazi na kumwezesha apate shibe na huduma zingine za msingi za kibinadamu.
Hiko kitu kimoja ndio hilo Tabu lako la motivesheno spika? Hebu wacha ujinga wewe
Anazingua bange huyo jamaa maelezo mengi si angesema anauza kitabu tuNa wewe huwa unatoaga dongo kiasi hichi😂😂😂
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its
Naona watu wamekariri tu "eti ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa" zaidi ya hapo hajui kitu kingine
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its
Kwani mimi ni fukara mkuu? Kwanin umeniita hivyo ndugu?Na wewe usiposoma ukabaki na ufukara wako kutakua na tatizo mkuu? Kwanini kila mmoja asishike hamsini zake?
Hata Mengi na Mkapa pia waliuza vitabu vyao. So what's your point?
Wala hatukuhitaji Boss, endelea na kazi zako.Kuna Kazi Naenda Kuifanya. Nitawarudia Hapa Nikipata Muda baadae. Good time to everybody
Ukute upo kwa mama yako umejilza miguu imepauka unasubiri kula,hakuna mmiliki wa gari yenye c.c 4000 ,mwenye akili ndogo na tambo kama zakoNimefanikiwa sana. Mimi nilizaliwa maskini sana. Na sasa hivi nimejenga mnoo na nina assets nyingine nyingi sana tu ikiwa pamoja na magari aina ya land cruisers mengi tu. Nina residence nchi ya nje ambako mshahara wangu unamzidi hata mbunge wa Tanzania. Na utanisikia tu kwa media in the years to come. I guarantee you.
Karibu kwa maoni mkuuWakuu oneni hili topolo. Nimelidharau balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]