Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Nashangaa sana hao wanaombeza na malandcruser yao, wakati wao walitamani mafanikio ya magari na Makirita alitamani mafanikio yake ya we ni utunzi wa vitabu
Ndio wabongo tulivyo mkuu tunaamini mafanikio ni kua na pesa nyingi,ila wanasahau Kila mtu ana kipimo chake Cha mafanikio
Yule mwandishi aliechukua Nobel prize ya Literature kule UK angekua bongo angekua kashakata tamaa Kwenye harakati now angekua Kwenye mwanasiasa uchwara ila sababu alikua Dunia ya kwanza Ndio tunaona mafanikio yake
Kweli aliyeimba bongo bahati mbaya hakukosea Aisee hii nchi Ina wajinga wengi
Shithole
(In Trump voices)
 
yaani unatwambia mwandishi ni kama mshumaa,ameamua kuteketea ili wengine wapate kuona njia.

lakini anauza vitabu hatoi bure[emoji3166][emoji3166][emoji3166]

ukiitiwa fulsa.............
NOTE
sina ugomvi na mleta mada
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its
 
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its
Naona watu wamekariri tu "eti ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa" zaidi ya hapo hajui kitu kingine
 
Kweli mkuu, ndiyo maana tusipangiane wala kupeana/kuuziana vitabu. Kila mtu ana njia yake. Tambua anayetaka kukuuzia kitabu siyo kwamba ana huruma na wew kutokuwa na mafanikio ila anataka atoboe kupitia wewe.
Kuna wengine wanatka kushirikisha watu wengune kwenye mambo mema.
Hiyo kuuza ni kulipia gharama za vitendea kazi na kumwezesha apate shibe na huduma zingine za msingi za kibinadamu.
 
Acha ulaghai....
Umefanya nini kinachokupa uhalali wa kuwaelekeza wengine au kuwa kocha wao?

Hicho kitabu ni tailored plagiarism tu ya vitabu vya wazungu.

Umeifanyia nini nchi kiuchumi au wewe mwenyewe kwanza.

Ontario akifanikiwa kwa sababu angalau alikuwa na takwimu feki na angalau picha akitunukiwa certification za maana
 
Vitabu vyake ni 5000., 10000 na 20000 sidhani kama ina-cost kiasi hicho kumfanya mtu aseme anapigwa ... perception tu za kibongo kurudishana nyuma na kukatisha watu tamaa
Vitabu baada ya kusoma vitabu, nitofauti na vitabu baada ya kupractice nondo za vitabu katika uhalisia.

Hapo ndipo upigaji unaanzia. Chanzo cha utajiri kiwe ni kuuzA vitabu na kutoza watu ada kwenye magroup. Hakuna nchi iliyoendelea kwa ujanjaujanja
 
Rafiki yangu mpendwa,

Unayataka mafanikio makubwa ndiyo maana unasoma hapa. Hongera sana kwa hilo.

Lakini kuna habari ambazo siyo nzuri sana kwenye hiyo safari uliyochagua. Takwimu za mafanikio zinatisha na kusikitisha.
Wanaoyataka mafanikio ni wengi, lakini wanaoyapata mafanikio hayo ni wachache mno.

Ni asilimia 1 tu ya watu kwenye eneo lolote lile wanakuwa wamefikia mafanikio makubwa. Huku asilimia nyingine 9 ya watu wakiwa na mafanikio ya wastani.

Kinachoumiza ni hiki, asilimia 90 ya watu kwenye eneo lolote lile hawapati mafanikio.

Siyo kwamba watu hao hawayataki mafanikio, wanayataka mno.

Siyo kwamba watu hao ni wazembe, wanajituma sana.

Lakini kwa namna fulani ambayo wengi hawaielewi, wachache ndiyo wanaofanikiwa huku wengi wakibaki bila mafanikio.

Kwa miaka mingi tafiti zimekuwa zinafanywa kuhusu kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa.

Kila ambacho watu walikuwa wanadhani ni sababu imegundulika siyo.



Watu walidhani elimu ni sababu, lakini siyo. Kuna watu wenye elimu kubwa waliofanikia na ambao hawajafanikiwa. Na kuna watu wenye elimu ndogo waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa.

Wakadhani labda ni mazingira na eneo ambalo mtu yupo, nayo ikawa siyo kweli. Kwenye kila eneo, kuna watu wamefanikiwa sana na kuna ambao hawajafanikiwa. Yaani utakuta watu wanakaa eneo moja, wanafanya kazi au biashara ya aina moja, ila mmoja amefanikiwa na mwingine hajafanikiwa.

Pia watu walidhani ni kurithi, lakini hilo pia siyo kweli. Kuna watu wanarithi mali nyingi na kupoteza zote na kuna watu wanaanzia sifuri kabisa ila wanafanikiwa sana.

Kukosekana kwa majibu ya wazi ya kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa kumefanya watu watengeneze sababu zao wenyewe.

Kwa kuwa binadamu hatupendi kukosa sababu au maelezo ya watu, pale mtu anapokuwa amepata mafanikio makubwa na hatuwezi kuelezea ameyapataje, basi tunajipa jibu.

Tunasema huyo ni FREEMASON, au ana majini, mshirikina na kauli nyingine za aina hiyo.

Kwa kuwa hatujui nini kinawatofautisha watu hao, tunaamini kutakuwa na nguvu fulani za kishirikina ambazo ndiyo zinawatofautisha.

Lakini hilo nalo siyo kweli, ni sababu tu ya kujiridhisha, ambayo inawaacha wengi wakiwa hawajafanikiwa na wachache sana kupata mafanikio makubwa.

Kwa utafiti mkubwa ambao nimeufanya kwenye eneo la mafanikio, nimegundua kuna kitu kimoja ambacho kinawatofautisha wale wanaofanikiwa sana na ambao hawafanikiwi.

Kitu hicho kipo kwa kila aliyefanikiwa na kinakosekana kwa wote ambao hawajafanikiwa.

Tatizo la kitu hicho ni kiko wazi kabisa, lakini wengi hawakioni wala hawakielewi.

Hata wale wanaofanikiwa sana, hawajijui kama wana kitu hicho. Na ndiyo maana hata wanapoitwa freemason au wana majini, wanakosa cha kujitetea kwa sababu hata wao wenyewe hawaelewi kwa nini mafanikio makubwa sana yanakuja kwao.

Kitu hicho kimoja ambacho kinawatofautisha wanaofanikiwa sana na wanaoshindwa nimekipa jina la UBATIZO WA MAFANIKIO.
Hii ni dhana ambayo imekuwa haifundishwi kwenye maarifa mengi ya mafanikio, kwa sababu siyo rahisi kueleweka na wala haiwafurahishi watu.

Kwenye mafunzo mengi ya mafanikio, watu wanapenda kusikia vitu vizuri na vya kuhamasisha. Lakini kwenye uhalisia wa mafanikio mambo ni tofauti kabisa. Hakuna aliyefanikia kwa kufanya vitu rahisi na kwa namna anavyojisikia yeye.

Ubatizo wa mafanikio ni dhana iliyobeba ugumu hasa wa mafanikio ni kiasi ambacho mtu anapaswa kujitoa ili kuyapata mafanikio makubwa.

Umewahi kusikia ubatizo kwenye dini mbalimbali, kwa sehemu kubwa ubatizo huo ukiwa wa maji.

Sasa ubatizo wa mafanikio ni tofauti kidogo, siyo ubatizo wa maji, bali ubatizo wa moto.

Ni ubatizo unaokuacha ukiwa imara na kuweza kupambana na chochote kinachokuja mbele yako, bila kukata tamaa wala kurudi nyuma.

Ukishapata ubatizo huo wa mafanikio kuna vitu viwili tu mbele yako, kupata unachotaka au kufa ukiwa unakipambania. Hakuna chaguo jingine.

Ubatizo wa mafanikio una vitu viwili vikubwa; KAFARA NA MASHARTI.

Huwezi kupata mafanikio makubwa kama hujatoa kafara.

Na hapa kafara haimaanishi kuua watu, bali kuondokana na baadhi ya vikwazo vinavyokuzunguka sasa.

Pia huwezi kufanikiwa kama hujajiwekea masharti makali kwenye maisha yako.

Je upo tayari kupata ubatizo wa mafanikio ili ujihakikishie kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako?

Kama jibu ni ndiyo basi jipatie leo nakala yako ya kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

Ndani ya kitabu hicho kipya utajifunza kwa kina kuhusu dhana hii ya ubatizo wa mafanikio na jinsi unavyoweza kujibatiza wewe mwenyewe ili ufanikiwe.

Kwa kusoma kitabu hiki na kuchukua hatua, mafanikio kwako litakuwa swala la muda tu, hutakuwa na wasiwasi wowote kwamba huwezi kufanikiwa.



Jipatie leo nakala ya kitabu kipya cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ujue kafara unazopaswa kutoa na masharti unayopaswa kujiwekea ili upate mafanikio makubwa.

Kupata kitabu wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo.

Usikubali kubaki kwenye giza unapokuja kwenye swala la mafanikio.

Usikubali kuwa sehemu ya asilimia 90 ya watu ambao wanahangaika sana ila hawafanikiwi.

Jua kuhusu ubatizo wa mafanikio na ujibatize wewe mwenyewe ili uwe na uhakika wa mafanikio.

Chukua hatua sasa ya kupata kitabu ili ujipe uhakika wa kufanikiwa.

Rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani.
Soma Kwanza ulichoandika ukifanye ili ufanikiwe afu toa ushauri tu.
Pitia kwanza huo ubatizo na utoe kafara.
Ila watu bana motiveshno spika wako poa sana
 
Ktk sehemu nimeona unarukia vitu Ni hapa, Trump sio mtu wa kumsifia kwa chochote kile.Very unethical man kwny biashara,integrity yake Ni Zero kabisa na Wala hakuna brand/watu wenye reputation wanaojihusisha nae kwny biashara.Na kikubwa mpk Sasa Trump anavimba tu Wala sio bilionea Ni madeni matupu yanamzunguka.Kama unabisha khs hili tunaweza tukaenda sambamba hapa nikakuonyesha huyo jamaa Ni muongo na hata mnavyoambiwa khs assets na biz zake nyingi Ni uongo mtupu.

Trump ni billionea tena sio wa mchezo. Kinachofanyika ni kumchafua Trump na kumtoa kwenye reli ya kutambulika duniani na kuendelea kusimama kama mwanasiasa bora Duniani.
Hayo yote ni Propaganda hasa baada ya sera za Trump kua Kinzani sana na sera nyingi za watawala wa kidunia, wa chama chake baadhi na chama kikuu cha Upinzani.
Mara nyingi Trump hakupenda kupangiwa nini afanye na nini asifanye na kutokana na misimamo yake ndio hapo wakubwa wa Dunia chini ya kiongozi wa Dunia ( simtaji) wakaamua kumtoa na kumuweka kua kiongozi wa muhula mmoja.
Sasa kama unasema leo Trump hana lolote mimi niko tayari tukinzane kwa data ingawa naamini wewe data zako ni zile zilizopikwa tayari kumchafua Trump
Kama amekwepa kodi mbona hajapelekwa mahakamani hadi leo? Kama vitega uchumi vyake si Imara mbona bado hatusikii kutikisika kwake?
Mambo Haya ni magumu na yanahitaji elimu zaidi ya hii ya Dunia.
 
Acha ulaghai....
Umefanya nini kinachokupa uhalali wa kuwaelekeza wengine au kuwa kocha wao?

Hicho kitabu ni tailored plagiarism tu ya vitabu vya wazungu.

Umeifanyia nini nchi kiuchumi au wewe mwenyewe kwanza.

Ontario akifanikiwa kwa sababu angalau alikuwa na takwimu feki na angalau picha akitunukiwa certification za maana
Mkuu,
Umesoma kitabu au unaproject kile kilicho kwenye mawazo yako?
Hebu pata kitabu ukisome, kisha uje hapa na ueleze ni wapi nimefanya plagiarism huku ukiambatanisha na sources.
Kinyume na hapo utakuwa umeamua tu kuropoka kile unachofikiri na unachodhani ndivyo kila mtu alivyo.
Karibu mkuu.
 
Vitabu baada ya kusoma vitabu, nitofauti na vitabu baada ya kupractice nondo za vitabu katika uhalisia.

Hapo ndipo upigaji unaanzia. Chanzo cha utajiri kiwe ni kuuzA vitabu na kutoza watu ada kwenye magroup. Hakuna nchi iliyoendelea kwa ujanjaujanja
“Those who can, do; those who can’t, teach.”
— George Bernard Shaw
 
Soma Kwanza ulichoandika ukifanye ili ufanikiwe afu toa ushauri tu.
Pitia kwanza huo ubatizo na utoe kafara.
Ila watu bana motiveshno spika wako poa sana
Nimeshaupitia mkuu,
Na hapa ndiyo napambana kuufanyia kazi.
Na katika kufanya hilo, nawashirikisha na wengine pia.
Karibu twende pamoja.
 
Trump ni billionea tena sio wa mchezo. Kinachofanyika ni kumchafua Trump na kumtoa kwenye reli ya kutambulika duniani na kuendelea kusimama kama mwanasiasa bora Duniani.
Hayo yote ni Propaganda hasa baada ya sera za Trump kua Kinzani sana na sera nyingi za watawala wa kidunia, wa chama chake baadhi na chama kikuu cha Upinzani.
Mara nyingi Trump hakupenda kupangiwa nini afanye na nini asifanye na kutokana na misimamo yake ndio hapo wakubwa wa Dunia chini ya kiongozi wa Dunia ( simtaji) wakaamua kumtoa na kumuweka kua kiongozi wa muhula mmoja.
Sasa kama unasema leo Trump hana lolote mimi niko tayari tukinzane kwa data ingawa naamini wewe data zako ni zile zilizopikwa tayari kumchafua Trump
Kama amekwepa kodi mbona hajapelekwa mahakamani hadi leo? Kama vitega uchumi vyake si Imara mbona bado hatusikii kutikisika kwake?
Mambo Haya ni magumu na yanahitaji elimu zaidi ya hii ya Dunia.
Ni jambo la kushangaza na hata kuchekesha mtu anakuambia Trump hajafanikiwa.
Watu wengi wamemjua Trump baada ya kuwa raisi wa Marekani.
Ila sisi tunaomjua kabla hata hajawa raisi, tunajua yale ndiyo maisha yake.
The man is real na hanaga unafiki wa wanasiasa.
Hivyo ndivyo amekuwa akiendesha biashara zake tangu enzi na enzi.
Na mtu akipata nafasi ya kusoma kitabu chake alichoandika miaka mingi sana, THE ART OF THE DEAL, atamweleza namna anavyofikiri na kufanya mambo yake.
Anapotaka kitu, huwa anakitaka kweli na hutumia kila njia kukipata.
Tatizo watu hawajifunzi kwa kina, wanameza propaganda wanazolishwa kwa urahisi.
 
Wewe ambaye roho haikuumi na unataka kujifunza mbinu za kufanikiwa kwa ambaye hajafanikiwa kwa nini usipite kimya na kuchukua namba then unanunua kitabu tu bila kupiga kelele
Ukizeeka utakua mchawi mbeba hirizi matakoni.
 
Rafiki yangu mpendwa,

Unayataka mafanikio makubwa ndiyo maana unasoma hapa. Hongera sana kwa hilo.

Lakini kuna habari ambazo siyo nzuri sana kwenye hiyo safari uliyochagua. Takwimu za mafanikio zinatisha na kusikitisha.
Wanaoyataka mafanikio ni wengi, lakini wanaoyapata mafanikio hayo ni wachache mno.

Ni asilimia 1 tu ya watu kwenye eneo lolote lile wanakuwa wamefikia mafanikio makubwa. Huku asilimia nyingine 9 ya watu wakiwa na mafanikio ya wastani.

Kinachoumiza ni hiki, asilimia 90 ya watu kwenye eneo lolote lile hawapati mafanikio.

Siyo kwamba watu hao hawayataki mafanikio, wanayataka mno.

Siyo kwamba watu hao ni wazembe, wanajituma sana.

Lakini kwa namna fulani ambayo wengi hawaielewi, wachache ndiyo wanaofanikiwa huku wengi wakibaki bila mafanikio.

Kwa miaka mingi tafiti zimekuwa zinafanywa kuhusu kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa.

Kila ambacho watu walikuwa wanadhani ni sababu imegundulika siyo.



Watu walidhani elimu ni sababu, lakini siyo. Kuna watu wenye elimu kubwa waliofanikia na ambao hawajafanikiwa. Na kuna watu wenye elimu ndogo waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa.

Wakadhani labda ni mazingira na eneo ambalo mtu yupo, nayo ikawa siyo kweli. Kwenye kila eneo, kuna watu wamefanikiwa sana na kuna ambao hawajafanikiwa. Yaani utakuta watu wanakaa eneo moja, wanafanya kazi au biashara ya aina moja, ila mmoja amefanikiwa na mwingine hajafanikiwa.

Pia watu walidhani ni kurithi, lakini hilo pia siyo kweli. Kuna watu wanarithi mali nyingi na kupoteza zote na kuna watu wanaanzia sifuri kabisa ila wanafanikiwa sana.

Kukosekana kwa majibu ya wazi ya kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa kumefanya watu watengeneze sababu zao wenyewe.

Kwa kuwa binadamu hatupendi kukosa sababu au maelezo ya watu, pale mtu anapokuwa amepata mafanikio makubwa na hatuwezi kuelezea ameyapataje, basi tunajipa jibu.

Tunasema huyo ni FREEMASON, au ana majini, mshirikina na kauli nyingine za aina hiyo.

Kwa kuwa hatujui nini kinawatofautisha watu hao, tunaamini kutakuwa na nguvu fulani za kishirikina ambazo ndiyo zinawatofautisha.

Lakini hilo nalo siyo kweli, ni sababu tu ya kujiridhisha, ambayo inawaacha wengi wakiwa hawajafanikiwa na wachache sana kupata mafanikio makubwa.

Kwa utafiti mkubwa ambao nimeufanya kwenye eneo la mafanikio, nimegundua kuna kitu kimoja ambacho kinawatofautisha wale wanaofanikiwa sana na ambao hawafanikiwi.

Kitu hicho kipo kwa kila aliyefanikiwa na kinakosekana kwa wote ambao hawajafanikiwa.

Tatizo la kitu hicho ni kiko wazi kabisa, lakini wengi hawakioni wala hawakielewi.

Hata wale wanaofanikiwa sana, hawajijui kama wana kitu hicho. Na ndiyo maana hata wanapoitwa freemason au wana majini, wanakosa cha kujitetea kwa sababu hata wao wenyewe hawaelewi kwa nini mafanikio makubwa sana yanakuja kwao.

Kitu hicho kimoja ambacho kinawatofautisha wanaofanikiwa sana na wanaoshindwa nimekipa jina la UBATIZO WA MAFANIKIO.
Hii ni dhana ambayo imekuwa haifundishwi kwenye maarifa mengi ya mafanikio, kwa sababu siyo rahisi kueleweka na wala haiwafurahishi watu.

Kwenye mafunzo mengi ya mafanikio, watu wanapenda kusikia vitu vizuri na vya kuhamasisha. Lakini kwenye uhalisia wa mafanikio mambo ni tofauti kabisa. Hakuna aliyefanikia kwa kufanya vitu rahisi na kwa namna anavyojisikia yeye.

Ubatizo wa mafanikio ni dhana iliyobeba ugumu hasa wa mafanikio ni kiasi ambacho mtu anapaswa kujitoa ili kuyapata mafanikio makubwa.

Umewahi kusikia ubatizo kwenye dini mbalimbali, kwa sehemu kubwa ubatizo huo ukiwa wa maji.

Sasa ubatizo wa mafanikio ni tofauti kidogo, siyo ubatizo wa maji, bali ubatizo wa moto.

Ni ubatizo unaokuacha ukiwa imara na kuweza kupambana na chochote kinachokuja mbele yako, bila kukata tamaa wala kurudi nyuma.

Ukishapata ubatizo huo wa mafanikio kuna vitu viwili tu mbele yako, kupata unachotaka au kufa ukiwa unakipambania. Hakuna chaguo jingine.

Ubatizo wa mafanikio una vitu viwili vikubwa; KAFARA NA MASHARTI.

Huwezi kupata mafanikio makubwa kama hujatoa kafara.

Na hapa kafara haimaanishi kuua watu, bali kuondokana na baadhi ya vikwazo vinavyokuzunguka sasa.

Pia huwezi kufanikiwa kama hujajiwekea masharti makali kwenye maisha yako.

Je upo tayari kupata ubatizo wa mafanikio ili ujihakikishie kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako?

Kama jibu ni ndiyo basi jipatie leo nakala yako ya kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

Ndani ya kitabu hicho kipya utajifunza kwa kina kuhusu dhana hii ya ubatizo wa mafanikio na jinsi unavyoweza kujibatiza wewe mwenyewe ili ufanikiwe.

Kwa kusoma kitabu hiki na kuchukua hatua, mafanikio kwako litakuwa swala la muda tu, hutakuwa na wasiwasi wowote kwamba huwezi kufanikiwa.



Jipatie leo nakala ya kitabu kipya cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ujue kafara unazopaswa kutoa na masharti unayopaswa kujiwekea ili upate mafanikio makubwa.

Kupata kitabu wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo.

Usikubali kubaki kwenye giza unapokuja kwenye swala la mafanikio.

Usikubali kuwa sehemu ya asilimia 90 ya watu ambao wanahangaika sana ila hawafanikiwi.

Jua kuhusu ubatizo wa mafanikio na ujibatize wewe mwenyewe ili uwe na uhakika wa mafanikio.

Chukua hatua sasa ya kupata kitabu ili ujipe uhakika wa kufanikiwa.

Rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani.
Huu ni ujinga wa kgm 60 yaani nisome hicho kitabu ndipo nifanikiwe, endeleeni tu kula pesa za wavivu na wenye tamaa
 
Nimefanikiwa sana. Mimi nilizaliwa maskini sana. Na sasa hivi nimejenga mnoo na nina assets nyingine nyingi sana tu ikiwa pamoja na magari aina ya land cruisers mengi tu. Nina residence nchi ya nje ambako mshahara wangu unamzidi hata mbunge wa Tanzania. Na utanisikia tu kwa media in the years to come. I guarantee you.
NDIYO shida ya maskini walivyo wakipata hela

Sijawahi kuona mtu mshamba kama wewe
 
Rafiki yangu mpendwa,

Unayataka mafanikio makubwa ndiyo maana unasoma hapa. Hongera sana kwa hilo.

Lakini kuna habari ambazo siyo nzuri sana kwenye hiyo safari uliyochagua. Takwimu za mafanikio zinatisha na kusikitisha.
Wanaoyataka mafanikio ni wengi, lakini wanaoyapata mafanikio hayo ni wachache mno.

Ni asilimia 1 tu ya watu kwenye eneo lolote lile wanakuwa wamefikia mafanikio makubwa. Huku asilimia nyingine 9 ya watu wakiwa na mafanikio ya wastani.

Kinachoumiza ni hiki, asilimia 90 ya watu kwenye eneo lolote lile hawapati mafanikio.

Siyo kwamba watu hao hawayataki mafanikio, wanayataka mno.

Siyo kwamba watu hao ni wazembe, wanajituma sana.

Lakini kwa namna fulani ambayo wengi hawaielewi, wachache ndiyo wanaofanikiwa huku wengi wakibaki bila mafanikio.

Kwa miaka mingi tafiti zimekuwa zinafanywa kuhusu kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa.

Kila ambacho watu walikuwa wanadhani ni sababu imegundulika siyo.



Watu walidhani elimu ni sababu, lakini siyo. Kuna watu wenye elimu kubwa waliofanikia na ambao hawajafanikiwa. Na kuna watu wenye elimu ndogo waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa.

Wakadhani labda ni mazingira na eneo ambalo mtu yupo, nayo ikawa siyo kweli. Kwenye kila eneo, kuna watu wamefanikiwa sana na kuna ambao hawajafanikiwa. Yaani utakuta watu wanakaa eneo moja, wanafanya kazi au biashara ya aina moja, ila mmoja amefanikiwa na mwingine hajafanikiwa.

Pia watu walidhani ni kurithi, lakini hilo pia siyo kweli. Kuna watu wanarithi mali nyingi na kupoteza zote na kuna watu wanaanzia sifuri kabisa ila wanafanikiwa sana.

Kukosekana kwa majibu ya wazi ya kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa kumefanya watu watengeneze sababu zao wenyewe.

Kwa kuwa binadamu hatupendi kukosa sababu au maelezo ya watu, pale mtu anapokuwa amepata mafanikio makubwa na hatuwezi kuelezea ameyapataje, basi tunajipa jibu.

Tunasema huyo ni FREEMASON, au ana majini, mshirikina na kauli nyingine za aina hiyo.

Kwa kuwa hatujui nini kinawatofautisha watu hao, tunaamini kutakuwa na nguvu fulani za kishirikina ambazo ndiyo zinawatofautisha.

Lakini hilo nalo siyo kweli, ni sababu tu ya kujiridhisha, ambayo inawaacha wengi wakiwa hawajafanikiwa na wachache sana kupata mafanikio makubwa.

Kwa utafiti mkubwa ambao nimeufanya kwenye eneo la mafanikio, nimegundua kuna kitu kimoja ambacho kinawatofautisha wale wanaofanikiwa sana na ambao hawafanikiwi.

Kitu hicho kipo kwa kila aliyefanikiwa na kinakosekana kwa wote ambao hawajafanikiwa.

Tatizo la kitu hicho ni kiko wazi kabisa, lakini wengi hawakioni wala hawakielewi.

Hata wale wanaofanikiwa sana, hawajijui kama wana kitu hicho. Na ndiyo maana hata wanapoitwa freemason au wana majini, wanakosa cha kujitetea kwa sababu hata wao wenyewe hawaelewi kwa nini mafanikio makubwa sana yanakuja kwao.

Kitu hicho kimoja ambacho kinawatofautisha wanaofanikiwa sana na wanaoshindwa nimekipa jina la UBATIZO WA MAFANIKIO.
Hii ni dhana ambayo imekuwa haifundishwi kwenye maarifa mengi ya mafanikio, kwa sababu siyo rahisi kueleweka na wala haiwafurahishi watu.

Kwenye mafunzo mengi ya mafanikio, watu wanapenda kusikia vitu vizuri na vya kuhamasisha. Lakini kwenye uhalisia wa mafanikio mambo ni tofauti kabisa. Hakuna aliyefanikia kwa kufanya vitu rahisi na kwa namna anavyojisikia yeye.

Ubatizo wa mafanikio ni dhana iliyobeba ugumu hasa wa mafanikio ni kiasi ambacho mtu anapaswa kujitoa ili kuyapata mafanikio makubwa.

Umewahi kusikia ubatizo kwenye dini mbalimbali, kwa sehemu kubwa ubatizo huo ukiwa wa maji.

Sasa ubatizo wa mafanikio ni tofauti kidogo, siyo ubatizo wa maji, bali ubatizo wa moto.

Ni ubatizo unaokuacha ukiwa imara na kuweza kupambana na chochote kinachokuja mbele yako, bila kukata tamaa wala kurudi nyuma.

Ukishapata ubatizo huo wa mafanikio kuna vitu viwili tu mbele yako, kupata unachotaka au kufa ukiwa unakipambania. Hakuna chaguo jingine.

Ubatizo wa mafanikio una vitu viwili vikubwa; KAFARA NA MASHARTI.

Huwezi kupata mafanikio makubwa kama hujatoa kafara.

Na hapa kafara haimaanishi kuua watu, bali kuondokana na baadhi ya vikwazo vinavyokuzunguka sasa.

Pia huwezi kufanikiwa kama hujajiwekea masharti makali kwenye maisha yako.

Je upo tayari kupata ubatizo wa mafanikio ili ujihakikishie kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako?

Kama jibu ni ndiyo basi jipatie leo nakala yako ya kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

Ndani ya kitabu hicho kipya utajifunza kwa kina kuhusu dhana hii ya ubatizo wa mafanikio na jinsi unavyoweza kujibatiza wewe mwenyewe ili ufanikiwe.

Kwa kusoma kitabu hiki na kuchukua hatua, mafanikio kwako litakuwa swala la muda tu, hutakuwa na wasiwasi wowote kwamba huwezi kufanikiwa.



Jipatie leo nakala ya kitabu kipya cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ujue kafara unazopaswa kutoa na masharti unayopaswa kujiwekea ili upate mafanikio makubwa.

Kupata kitabu wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo.

Usikubali kubaki kwenye giza unapokuja kwenye swala la mafanikio.

Usikubali kuwa sehemu ya asilimia 90 ya watu ambao wanahangaika sana ila hawafanikiwi.

Jua kuhusu ubatizo wa mafanikio na ujibatize wewe mwenyewe ili uwe na uhakika wa mafanikio.

Chukua hatua sasa ya kupata kitabu ili ujipe uhakika wa kufanikiwa.

Rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani.
Hapa jf unapoteza muda wako bure bila kujua

Hapa watu wanatumia majina bandia and they have nothing to lose

Huwezi kubishana na mtu anatumia Jina bandia

Nenda Facebook au Instagram then run ads for your business

Usipoteze muda wako hapa

Hapa mtu anaongea atakalo na huwezi kumblock wala kufuta comment yake mpaka umtaarifu moderator

Usipoteze muda hapa
 
Back
Top Bottom