Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Watanzania wavivu sana wa kusoma vitabu, ndio maana wanamshambulia mwandishi wa hiki kitabu as if kawakosea, jamani mwandishi yupo sahihi ametoa njia mbadala ameonhezea njia nyingine ya kufuata ili ufanikiwe...someni kitabu muuongeze maarifa acheni kumtweza mwamdishi
Ukisoma wewe na ukapata hayo so called "mafanikio" kuna tatizo gani mkuu?
 
Asante sana mkuu,
Kila kitu kwenye maisha yangu, mpaka kufika hapa nilipo sasa na ukilinganisha na kule nilikotoka, ni hatua na mafanikio makubwa.
Lakini mafanikio makubwa kabisa ninayoweza kujivunia mbele ya yeyote yule ni kuweza kuliishi kusudi la maisha yangu, ambalo ni kuyafanya maisha ya wengine kuwa bora zaidi kupitia kila ninachofanya.
Nimekuwa nafanya hivyo kupitia uandishi, kufundisha, ukocha na kutibu.
Na kutokana na mrejesho ninaopata kutoka kwa wale wanaoguswa na kazi zangu, ni mafanikio makubwa.
Nimejipa sharti moja kubwa la kuandika kila siku mpaka siku ambayo ninakufa.
Na tangu tarehe 01/01/2015 nimeandika kila siku bila kuacha hata siku moja.
Katika mchakato huo nimeweza kuandika vitabu 17.
Na katika muongo huu wa 2020 - 2030 napanga kuandika vitabu 100.
Hivyo karibu sana twende pamoja kwenye hili.
Unaweza kufuatilia kwa karibu kwenye www.amkamtanzania.com na www.kisimachamaarifa.co.tz
Karibu sana mkuu.
Hongera mkuu, pia samahani kama comments zangu zinakera wakati mwingine, naomba ufafanuzi hapo kwenye
From 2015-2020 vitabu 17.
From 2020-2030 vitabu 100(Matarajio yako) je ni madiliko ya technology au uzoefu kuwa mkubwa?
 
Mtu haujafanya kitu kikubwa halafu unaandika kitabu. Sipendi mimi watu kama nyie. Yani afadhali hata Diamond Platnumz japo na yeye ni feki mara nyingine.. ila ana jina kubwa. Angeandika kitabu yeye ningekinunua.

Diamond hawezi kuandika chochote hata yeye hajui hayo unayoita mafanikio kwake yamekujaje
HAKUNA ANACHOFANYA ZAIDI YA KUPIGA KELELE ZA MATUSI KURUKARUKA KAMA NGEDERE TAYARI HELA INAINGIA
 
Rafiki yangu mpendwa,

Unayataka mafanikio makubwa ndiyo maana unasoma hapa. Hongera sana kwa hilo.

Lakini kuna habari ambazo siyo nzuri sana kwenye hiyo safari uliyochagua. Takwimu za mafanikio zinatisha na kusikitisha.
Wanaoyataka mafanikio ni wengi, lakini wanaoyapata mafanikio hayo ni wachache mno.

Ni asilimia 1 tu ya watu kwenye eneo lolote lile wanakuwa wamefikia mafanikio makubwa. Huku asilimia nyingine 9 ya watu wakiwa na mafanikio ya wastani.

Kinachoumiza ni hiki, asilimia 90 ya watu kwenye eneo lolote lile hawapati mafanikio.

Siyo kwamba watu hao hawayataki mafanikio, wanayataka mno.

Siyo kwamba watu hao ni wazembe, wanajituma sana.

Lakini kwa namna fulani ambayo wengi hawaielewi, wachache ndiyo wanaofanikiwa huku wengi wakibaki bila mafanikio.

Kwa miaka mingi tafiti zimekuwa zinafanywa kuhusu kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa.

Kila ambacho watu walikuwa wanadhani ni sababu imegundulika siyo.



Watu walidhani elimu ni sababu, lakini siyo. Kuna watu wenye elimu kubwa waliofanikia na ambao hawajafanikiwa. Na kuna watu wenye elimu ndogo waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa.

Wakadhani labda ni mazingira na eneo ambalo mtu yupo, nayo ikawa siyo kweli. Kwenye kila eneo, kuna watu wamefanikiwa sana na kuna ambao hawajafanikiwa. Yaani utakuta watu wanakaa eneo moja, wanafanya kazi au biashara ya aina moja, ila mmoja amefanikiwa na mwingine hajafanikiwa.

Pia watu walidhani ni kurithi, lakini hilo pia siyo kweli. Kuna watu wanarithi mali nyingi na kupoteza zote na kuna watu wanaanzia sifuri kabisa ila wanafanikiwa sana.

Kukosekana kwa majibu ya wazi ya kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa kumefanya watu watengeneze sababu zao wenyewe.

Kwa kuwa binadamu hatupendi kukosa sababu au maelezo ya watu, pale mtu anapokuwa amepata mafanikio makubwa na hatuwezi kuelezea ameyapataje, basi tunajipa jibu.

Tunasema huyo ni FREEMASON, au ana majini, mshirikina na kauli nyingine za aina hiyo.

Kwa kuwa hatujui nini kinawatofautisha watu hao, tunaamini kutakuwa na nguvu fulani za kishirikina ambazo ndiyo zinawatofautisha.

Lakini hilo nalo siyo kweli, ni sababu tu ya kujiridhisha, ambayo inawaacha wengi wakiwa hawajafanikiwa na wachache sana kupata mafanikio makubwa.

Kwa utafiti mkubwa ambao nimeufanya kwenye eneo la mafanikio, nimegundua kuna kitu kimoja ambacho kinawatofautisha wale wanaofanikiwa sana na ambao hawafanikiwi.

Kitu hicho kipo kwa kila aliyefanikiwa na kinakosekana kwa wote ambao hawajafanikiwa.

Tatizo la kitu hicho ni kiko wazi kabisa, lakini wengi hawakioni wala hawakielewi.

Hata wale wanaofanikiwa sana, hawajijui kama wana kitu hicho. Na ndiyo maana hata wanapoitwa freemason au wana majini, wanakosa cha kujitetea kwa sababu hata wao wenyewe hawaelewi kwa nini mafanikio makubwa sana yanakuja kwao.

Kitu hicho kimoja ambacho kinawatofautisha wanaofanikiwa sana na wanaoshindwa nimekipa jina la UBATIZO WA MAFANIKIO.
Hii ni dhana ambayo imekuwa haifundishwi kwenye maarifa mengi ya mafanikio, kwa sababu siyo rahisi kueleweka na wala haiwafurahishi watu.

Kwenye mafunzo mengi ya mafanikio, watu wanapenda kusikia vitu vizuri na vya kuhamasisha. Lakini kwenye uhalisia wa mafanikio mambo ni tofauti kabisa. Hakuna aliyefanikia kwa kufanya vitu rahisi na kwa namna anavyojisikia yeye.

Ubatizo wa mafanikio ni dhana iliyobeba ugumu hasa wa mafanikio ni kiasi ambacho mtu anapaswa kujitoa ili kuyapata mafanikio makubwa.

Umewahi kusikia ubatizo kwenye dini mbalimbali, kwa sehemu kubwa ubatizo huo ukiwa wa maji.

Sasa ubatizo wa mafanikio ni tofauti kidogo, siyo ubatizo wa maji, bali ubatizo wa moto.

Ni ubatizo unaokuacha ukiwa imara na kuweza kupambana na chochote kinachokuja mbele yako, bila kukata tamaa wala kurudi nyuma.

Ukishapata ubatizo huo wa mafanikio kuna vitu viwili tu mbele yako, kupata unachotaka au kufa ukiwa unakipambania. Hakuna chaguo jingine.

Ubatizo wa mafanikio una vitu viwili vikubwa; KAFARA NA MASHARTI.

Huwezi kupata mafanikio makubwa kama hujatoa kafara.

Na hapa kafara haimaanishi kuua watu, bali kuondokana na baadhi ya vikwazo vinavyokuzunguka sasa.

Pia huwezi kufanikiwa kama hujajiwekea masharti makali kwenye maisha yako.

Je upo tayari kupata ubatizo wa mafanikio ili ujihakikishie kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako?

Kama jibu ni ndiyo basi jipatie leo nakala yako ya kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

Ndani ya kitabu hicho kipya utajifunza kwa kina kuhusu dhana hii ya ubatizo wa mafanikio na jinsi unavyoweza kujibatiza wewe mwenyewe ili ufanikiwe.

Kwa kusoma kitabu hiki na kuchukua hatua, mafanikio kwako litakuwa swala la muda tu, hutakuwa na wasiwasi wowote kwamba huwezi kufanikiwa.



Jipatie leo nakala ya kitabu kipya cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ujue kafara unazopaswa kutoa na masharti unayopaswa kujiwekea ili upate mafanikio makubwa.

Kupata kitabu wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo.

Usikubali kubaki kwenye giza unapokuja kwenye swala la mafanikio.

Usikubali kuwa sehemu ya asilimia 90 ya watu ambao wanahangaika sana ila hawafanikiwi.

Jua kuhusu ubatizo wa mafanikio na ujibatize wewe mwenyewe ili uwe na uhakika wa mafanikio.

Chukua hatua sasa ya kupata kitabu ili ujipe uhakika wa kufanikiwa.

Rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani.

HAKUNA UBATIZO WA MAFANIKIO HUO NI UTAPELI MKUBWA WAKUDANGANYA KUPITIA HADITHI ZA ALFULELA ULELA

NINACHO AMINI NA NDIVYO ILIVYO MASUALA YA MAFANIKIO HUPANGWA NA MUNGU ILA JUHUDI KUELEKEA MAFANIKIO HAPO NDIPO HUTEGEMEA JUHUDI YA MTU LAKINI HAKUNA MISINGI MAALUM YA KUFANIKIWA KWA HALI YA JUU.
 
Mtu haujafanya kitu kikubwa halafu unaandika kitabu. Sipendi mimi watu kama nyie. Yani afadhali hata Diamond Platnumz japo na yeye ni feki mara nyingine.. ila ana jina kubwa. Angeandika kitabu yeye ningekinunua.
Acha ufala uandishi ni taaluma sio kila mtu anaweza kuandika andiko la kuibadilisha jamii, huyu Dr Amani ni msomi na mtafiti sio kanjanja.
Pia watu ma genius walioishape dunia tulipofikia sasa hakuna tajiri hata mmoja. Walikua tabaka la chini bt matajiri wa akili na maarifa
 
Rafiki yangu mpendwa,

Unayataka mafanikio makubwa ndiyo maana unasoma hapa. Hongera sana kwa hilo.

Lakini kuna habari ambazo siyo nzuri sana kwenye hiyo safari uliyochagua. Takwimu za mafanikio zinatisha na kusikitisha.
Wanaoyataka mafanikio ni wengi, lakini wanaoyapata mafanikio hayo ni wachache mno.

Ni asilimia 1 tu ya watu kwenye eneo lolote lile wanakuwa wamefikia mafanikio makubwa. Huku asilimia nyingine 9 ya watu wakiwa na mafanikio ya wastani.

Kinachoumiza ni hiki, asilimia 90 ya watu kwenye eneo lolote lile hawapati mafanikio.

Siyo kwamba watu hao hawayataki mafanikio, wanayataka mno.

Siyo kwamba watu hao ni wazembe, wanajituma sana.

Lakini kwa namna fulani ambayo wengi hawaielewi, wachache ndiyo wanaofanikiwa huku wengi wakibaki bila mafanikio.

Kwa miaka mingi tafiti zimekuwa zinafanywa kuhusu kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa.

Kila ambacho watu walikuwa wanadhani ni sababu imegundulika siyo.



Watu walidhani elimu ni sababu, lakini siyo. Kuna watu wenye elimu kubwa waliofanikia na ambao hawajafanikiwa. Na kuna watu wenye elimu ndogo waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa.

Wakadhani labda ni mazingira na eneo ambalo mtu yupo, nayo ikawa siyo kweli. Kwenye kila eneo, kuna watu wamefanikiwa sana na kuna ambao hawajafanikiwa. Yaani utakuta watu wanakaa eneo moja, wanafanya kazi au biashara ya aina moja, ila mmoja amefanikiwa na mwingine hajafanikiwa.

Pia watu walidhani ni kurithi, lakini hilo pia siyo kweli. Kuna watu wanarithi mali nyingi na kupoteza zote na kuna watu wanaanzia sifuri kabisa ila wanafanikiwa sana.

Kukosekana kwa majibu ya wazi ya kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa kumefanya watu watengeneze sababu zao wenyewe.

Kwa kuwa binadamu hatupendi kukosa sababu au maelezo ya watu, pale mtu anapokuwa amepata mafanikio makubwa na hatuwezi kuelezea ameyapataje, basi tunajipa jibu.

Tunasema huyo ni FREEMASON, au ana majini, mshirikina na kauli nyingine za aina hiyo.

Kwa kuwa hatujui nini kinawatofautisha watu hao, tunaamini kutakuwa na nguvu fulani za kishirikina ambazo ndiyo zinawatofautisha.

Lakini hilo nalo siyo kweli, ni sababu tu ya kujiridhisha, ambayo inawaacha wengi wakiwa hawajafanikiwa na wachache sana kupata mafanikio makubwa.

Kwa utafiti mkubwa ambao nimeufanya kwenye eneo la mafanikio, nimegundua kuna kitu kimoja ambacho kinawatofautisha wale wanaofanikiwa sana na ambao hawafanikiwi.

Kitu hicho kipo kwa kila aliyefanikiwa na kinakosekana kwa wote ambao hawajafanikiwa.

Tatizo la kitu hicho ni kiko wazi kabisa, lakini wengi hawakioni wala hawakielewi.

Hata wale wanaofanikiwa sana, hawajijui kama wana kitu hicho. Na ndiyo maana hata wanapoitwa freemason au wana majini, wanakosa cha kujitetea kwa sababu hata wao wenyewe hawaelewi kwa nini mafanikio makubwa sana yanakuja kwao.

Kitu hicho kimoja ambacho kinawatofautisha wanaofanikiwa sana na wanaoshindwa nimekipa jina la UBATIZO WA MAFANIKIO.
Hii ni dhana ambayo imekuwa haifundishwi kwenye maarifa mengi ya mafanikio, kwa sababu siyo rahisi kueleweka na wala haiwafurahishi watu.

Kwenye mafunzo mengi ya mafanikio, watu wanapenda kusikia vitu vizuri na vya kuhamasisha. Lakini kwenye uhalisia wa mafanikio mambo ni tofauti kabisa. Hakuna aliyefanikia kwa kufanya vitu rahisi na kwa namna anavyojisikia yeye.

Ubatizo wa mafanikio ni dhana iliyobeba ugumu hasa wa mafanikio ni kiasi ambacho mtu anapaswa kujitoa ili kuyapata mafanikio makubwa.

Umewahi kusikia ubatizo kwenye dini mbalimbali, kwa sehemu kubwa ubatizo huo ukiwa wa maji.

Sasa ubatizo wa mafanikio ni tofauti kidogo, siyo ubatizo wa maji, bali ubatizo wa moto.

Ni ubatizo unaokuacha ukiwa imara na kuweza kupambana na chochote kinachokuja mbele yako, bila kukata tamaa wala kurudi nyuma.

Ukishapata ubatizo huo wa mafanikio kuna vitu viwili tu mbele yako, kupata unachotaka au kufa ukiwa unakipambania. Hakuna chaguo jingine.

Ubatizo wa mafanikio una vitu viwili vikubwa; KAFARA NA MASHARTI.

Huwezi kupata mafanikio makubwa kama hujatoa kafara.

Na hapa kafara haimaanishi kuua watu, bali kuondokana na baadhi ya vikwazo vinavyokuzunguka sasa.

Pia huwezi kufanikiwa kama hujajiwekea masharti makali kwenye maisha yako.

Je upo tayari kupata ubatizo wa mafanikio ili ujihakikishie kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako?

Kama jibu ni ndiyo basi jipatie leo nakala yako ya kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

Ndani ya kitabu hicho kipya utajifunza kwa kina kuhusu dhana hii ya ubatizo wa mafanikio na jinsi unavyoweza kujibatiza wewe mwenyewe ili ufanikiwe.

Kwa kusoma kitabu hiki na kuchukua hatua, mafanikio kwako litakuwa swala la muda tu, hutakuwa na wasiwasi wowote kwamba huwezi kufanikiwa.



Jipatie leo nakala ya kitabu kipya cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ujue kafara unazopaswa kutoa na masharti unayopaswa kujiwekea ili upate mafanikio makubwa.

Kupata kitabu wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo.

Usikubali kubaki kwenye giza unapokuja kwenye swala la mafanikio.

Usikubali kuwa sehemu ya asilimia 90 ya watu ambao wanahangaika sana ila hawafanikiwi.

Jua kuhusu ubatizo wa mafanikio na ujibatize wewe mwenyewe ili uwe na uhakika wa mafanikio.

Chukua hatua sasa ya kupata kitabu ili ujipe uhakika wa kufanikiwa.

Rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani.

walionacho, ambao ni mabilionea na sisi tusionacho ni mentality tu. jinsi wao wanavyo liona jambo ama fursa ni tofauti na wewe kapuku mwenzangu na bilionea

kwa mfano, mwnye mentality ya ubilionea na siye ambao hatuna, ikitokea tumeajiriwa na kulipwa laki moja kwa mwezi, wewe na mm tutatumiq elfu themanini na kuhifadhi elfu ishirini, while mwenye mentality ya ubilionea atatumia elfu ishirini na kuhifadhi elfu themanini
 
Ktk sehemu nimeona unarukia vitu Ni hapa, Trump sio mtu wa kumsifia kwa chochote kile.Very unethical man kwny biashara,integrity yake Ni Zero kabisa na Wala hakuna brand/watu wenye reputation wanaojihusisha nae kwny biashara.Na kikubwa mpk Sasa Trump anavimba tu Wala sio bilionea Ni madeni matupu yanamzunguka.Kama unabisha khs hili tunaweza tukaenda sambamba hapa nikakuonyesha huyo jamaa Ni muongo na hata mnavyoambiwa khs assets na biz zake nyingi Ni uongo mtupu.
Wewe na Trump nani mwenye mafanikio
 
Acha ufala uandishi ni taaluma sio kila mtu anaweza kuandika andiko la kuibadilisha jamii, huyu Dr Amani ni msomi na mtafiti sio kanjanja.
Pia watu ma genius walioishape dunia tulipofikia sasa hakuna tajiri hata mmoja. Walikua tabaka la chini bt matajiri wa akili na maarifa
Pointi
 
A
Wengi hapa mna mtazamo hasi ambao ndiyo kikwazo cha kwanza kwenye kupata mafanikio kwenye maisha.
Niwakaribishe sana mjipatie kitabu hiki, kitawafungua kwa namna ya tofauti na kuwapa mtazamo sahihi ambao utayafanya maisha kuwa bora zaidi.
Wasiliana na 0752 977 170 kupata nakala yako ya kitabu.
Karibuni sana wote.
Asante tutakuja Boss
 
Hongera mkuu, pia samahani kama comments zangu zinakera wakati mwingine, naomba ufafanuzi hapo kwenye
From 2015-2020 vitabu 17.
From 2020-2030 vitabu 100(Matarajio yako) je ni madiliko ya technology au uzoefu kuwa mkubwa?
Karibu mkuu, wala hunikeri, napenda sana watu wanapokosoa kwa namna yoyote yale ninayoandika, kwani inanisukuma kufikiri zaidi na pia inanipa mengi zaidi ya kuandika.
Kuhusu lengo hilo la vitabu 100;
Moja, uzoefu unaongezeka kadiri ninavyokwenda na vitu vya kuandikia vinakuwa vingi kila siku.
Mbili, kwa sasa nimepunguza mambo mengi niliyokuwa nafanya huko nyuma, hivyo napata muda zaidi wa kuandika. Kwa mfano kwa sasa naweza kupata masaa matatu ya kuandika kila siku, kitu ambacho kwa mwezi naweza kukamilisha kuandika kitabu.
Karibu sana.
 
Karibu mkuu, wala hunikeri, napenda sana watu wanapokosoa kwa namna yoyote yale ninayoandika, kwani inanisukuma kufikiri zaidi na pia inanipa mengi zaidi ya kuandika.
Kuhusu lengo hilo la vitabu 100;
Moja, uzoefu unaongezeka kadiri ninavyokwenda na vitu vya kuandikia vinakuwa vingi kila siku.
Mbili, kwa sasa nimepunguza mambo mengi niliyokuwa nafanya huko nyuma, hivyo napata muda zaidi wa kuandika. Kwa mfano kwa sasa naweza kupata masaa matatu ya kuandika kila siku, kitu ambacho kwa mwezi naweza kukamilisha kuandika kitabu.
Karibu sana.
Safi sana mkuu, asante kwa ufafanuzi mzuri usioleta maswali ya ziada.
 
Acha ufala uandishi ni taaluma sio kila mtu anaweza kuandika andiko la kuibadilisha jamii, huyu Dr Amani ni msomi na mtafiti sio kanjanja.
Pia watu ma genius walioishape dunia tulipofikia sasa hakuna tajiri hata mmoja. Walikua tabaka la chini bt matajiri wa akili na maarifa
Asante mkuu, wengi huwa wanachukulia uandishi poa, ila ukiwaambia wakae chini na kuandika hata kile tu wanachofanya inakuwa shughuli.
 
Nimefanikiwa sana. Mimi nilizaliwa maskini sana. Na sasa hivi nimejenga mnoo na nina assets nyingine nyingi sana tu ikiwa pamoja na magari aina ya land cruisers mengi tu. Nina residence nchi ya nje ambako mshahara wangu unamzidi hata mbunge wa Tanzania. Na utanisikia tu kwa media in the years to come. I guarantee you.
Mkuu una matatizo makubwa sana jichunguze. Kuna vitu haviko sawa kwako
 
Nice broo kwakua nayo ni Moja ya njia Yako ya kuyafikia mafanikio Yako nakupongeza kwa bandiko
Ila wapuuzie Wanaokubeza sababu hawajui unapitia ileile njia ngumu na kujitoa kafara ufikie mafanikio Yako,
Kuandika kitabu chenye page zaidi ya 300 inakugharimu muda na Nguvu na hiyo ipo Kwenye kipengere Cha kutoa kafara maana huo muda unaotenga kuandika ungeutumia vibaya Kwa kufuatilia pisi ya kula tunda kimasikhara usingefika ulipofikia,

Big up never give up!
 
Mkuu una matatizo makubwa sana jichunguze. Kuna vitu haviko sawa kwako
mkuu waafrika wengi tuna tatizo la wivu,chuki,ujuaji,roho mbaya,husda, uchawi ,ujinga
Ndio tulivyo badala ya kutiana moyo ila Kuna kundi la Watu wataibuka kukubeza tu yote hiyo inatokana na frustration na roho mbaya
Nakuapia yule jamaa
Mwingereza - Mzanzibar aliyechukua tuzo ya Nobel
Angekua kakulia hapa bongo hata asingefika levo Ile sababu ya uduni wa akili za raia hapa bongo!

Wabongo wanafki sana!
 
Nice broo kwakua nayo ni Moja ya njia Yako ya kuyafikia mafanikio Yako nakupongeza kwa bandiko
Ila wapuuzie Wanaokubeza sababu hawajui unapitia ileile njia ngumu na kujitoa kafara ufikie mafanikio Yako,
Kuandika kitabu chenye page zaidi ya 300 inakugharimu muda na Nguvu na hiyo ipo Kwenye kipengere Cha kutoa kafara maana huo muda unaotenga kuandika ungeutumia vibaya Kwa kufuatilia pisi ya kula tunda kimasikhara usingefika ulipofikia,

Big up never give up!
Nashangaa sana hao wanaombeza na malandcruser yao, wakati wao walitamani mafanikio ya magari na Makirita alitamani mafanikio yake ya we ni utunzi wa vitabu
 
Back
Top Bottom