luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Mchaga kupata ardhi popote ni héla yake kwani anavamia? Hata wewe ukiwa na hela utapata ardhi Moshi,tofauti Ni kuwa ardhi ya Moshi ina bei kubwa maana ni valuableMkuu sina maana ya kuwaonea wivu jamaa yangu
Hoja yangu imejikita hapo kwenye ardhi, kwamba why ni rahisi mchaga kupata ardhi Morogoro au Mwanza ila ni vigumu Mluguru kupata ardhi Moshi,
Ila mkuu nimependa lugha unayotumia si ya matusi sana kama wenzako
Tuishie hapa sisi ni Watz, hili halitabadilika.
Nimecheka kama mazuri yaani. ahahaaa.Wanaozaliana hovyo huwajui? Lake zone ndio inazaliana kwa 100% kule average minimum ya family members Ni watoto 10
Akili anayo mama yako anayefuga imitunga kule Gamboshi.Eti JF niko muda mrefu, fyuuuuuuu jinga kweli wewe huna akili kabisa.
Una chuki kali ngosha,tuliza wenge Kama mlikimbia umande mkakimbilia kucheza gobogobo pole yakoComment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.
Huoni hio kauli yako ndo INA ukabila kihalisia. unahisi kila aliyecomment tofauti Na wewe anawaonea wivu Na ni mpumbavu.
U really need professional help.
Hahahaha huyu atakuwa anamsumbuliwa na ushamba msamehe bureAkili anayo mama yako anayefuga imitunga kule Gamboshi.
Unapozidiwa kila kitu inabidi uwe mpole tu hakuna namna.
Hustahili hata kuitwa Mkuu, maana great thinkers hawana upeo finyu narrow mind kama yako!Comment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.
Huoni hio kauli yako ndo INA ukabila kihalisia. unahisi kila aliyecomment tofauti Na wewe anawaonea wivu Na ni mpumbavu.
U really need professional help.
Unasumbuliwa na inferiority complexMafanikio yao binafsi yanahusu nini mada hii hapa?
Una argue like a nursery kid.
U want a piece of land in this country, you find one and buy .
Kwani hao wachaga wamekataliwa kuhama huko uchagani, ? Nchi hii kuna mtu anakatazwa kuishi anapotaka, ? What’s so special with wachaga mpaka waombe na kufikiriwa kwenda sehemu ya nafasi, nauliza kwa nini hasa, ?Kabisa mkuu,
Watu wamejaa sumu ya ukabila, wamepofushwa macho na wivu na ukabila kiasi cha kushindwa kuona kuwa hao ni watanzania wenzao na wana haki ya kuomba kuishi popote na sio Mara ya kwanza kufanya hivi,
Wapo pia wasomali wa pale Tanga waliopewa uraia na ardhi, wapo warundi zaidi ya laki moja na nusu waliopewa uraia na ardhi, wanakuja wawekezaji wanapewa ardhi kubwa sana mamia ya hekari, lakini watanzania wenzao kuomba ardhi ni nongwa!
Kuna shida mahali.
Hahaha mkuu umefuga IMITUGA mingapi? Hahahaha Ila nyie mnapenda ulozi hatari Kuna thread hapa inaeleza kisa fulani shinyanga watu wanagombania nyama ya fisi[emoji1][emoji1]Eti JF niko muda mrefu, fyuuuuuuu jinga kweli wewe huna akili kabisa.
Acha upopona,nimetembea karibu mikoa yote tz Hakuna jamii ambayo haina wanalotumia kumuita mtu wa kuja(ambaye sio wa jamii husika)Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahaha
Ngoja tuwape elimu, mutabadilika tu
Hii mbinu ya kuzaa na dada zenu itazaa matunda soon.
Kwani nyie wachaga ni warundi, au mnatoka nchi tofauti, ? Mbona hatuwaelewi nyinyi? Mnataka ni is hasa? Kwanini msiende huko mikoa mingine mkaenda kwenye serikali za vijiji mkajitambulisha mkawa wanakijiji, au mnataka mwende wote, hamtaki kutengana eeee,Kabisa mkuu, Sasa kuna watu kwa kuto kujua historia au kwa chuki zao binafsi wanaleta mada mfu kama hizi, hawajisumbui hata kujifunza historia ya nchi yao!
Leo anaona ajabu sana watanzania wenzake kuomba ardhi kwenye nchi yao, wakati wakimbizi wa Burundi zaidi ya laki moja walipewa ardhi na uraia kule Rukwa na Katavi, wakimbizi wasomalia maelfu walipewa ardhi na uraia kule Tanga, wapigania Uhuru wa nchi za kusini mwa afrika walipewa ardhi Morogoro na Dodoma,
Lakini watanzania wenzao kuomba ardhi kwaajili ya kilimo na makazi ni nongwa!
Wachaga walishangamana kitambo kabla hata ya Uhuru Tena walikuwa na exposure internationallyWachaga hoyeee hahaha
Unajua mchaga akiizungumzia Kilimanjaro unaweza sema ni Paris ya bongo ila ukifika Kilimanjaro utacheeeka hahahahaha
Hawa jamaa wanapenda kusifiwa kinoma yaani, ukiwapinga kidogo kwa fact utaonekana unachuki hahaha
Shida ya baadhi ya wachaga walichelewa kuingiliana na baadhi ya makabila ya Tanzania hivyo kuamini wao ni kabila pekee lililostaarabika
Kitu ambacho si kweli
Ngoja niendelee kuwatombea dada zao ili tuwatoe mbegu za ubaguzi.
Hahaha wameburuzwa n'a nn?Sasa hivi nikisikia mchagga ndoo kwanza navuta shuka kulala maana tunawaburuza tu, kila sehemu wamedhibitiwa wamebaki kukesha kwenye mitandao tu. Chezea ... Weye.
Swali lako halina msingi maana waliwahi kuomba na kupewa na baba wa taifa na hakukuwa na tatizo! Wakiomba tena ni dhambi?! Wewe unapungukiwa kitu?! Au ndio chuki zilezile?!Kwani hao wachaga wamekataliwa kuhama huko uchagani, ? Nchi hii kuna mtu anakatazwa kuishi anapotaka, ? What’s so special with wachaga mpaka waombe na kufikiriwa kwenda sehemu ya nafasi, nauliza kwa nini hasa, ?
Au hawataki kuchangamana na watanzania wengine? Kwani hili kabila likoje jamani,
Au nauliza huko kwao uchagani hawakuwahi kuchangamana na makabila mengine sasa wanaogopa kwenda kwao huko? Mimi nauliza tu, maana sielewi,
Naona wasukuma wapo mpaka lindi huko, waliomba kibali serikalini waende huko au waliona fursa wakaenda na wanajua kujichanganya na jamii nyingine wakakubalika,
Au hawa watu wanaukabila mbaya sana kiasi kwamba hawawezi kuhama mmoja mmjoja ni lazima wahame wote, mimi nauliza tu,
Kwani hawa ni watanzania au ni wakenya,
Hili ni ombi la ajabu kabisa kupatia kulisikia, au labda mimi Ndio sielewi.
Umeandika kwa chuki kali za uananzengo japo umejifanya eti "Mimi nauliza tu!"Kwa ushauri tu, hebu leo waamue waende kigoma huko au lindi au songea au Dodoma au tabora au musoma, tuone nani atawafukuza,
Kama walikuwa wanafukuzia makabila mengine huko kwao , basi sisi tunaambia hatuna roho hizo waje tu tutawapokea.,
Wachaga walikuwepo kwenye système tangu enzi za mkoloniMchaga bila kubebwabwa hawana tofauti na wagogo. Wamshukuru sana Mkapa, alivyooa mchaga basi wakatumia nafasi hiyo kujichomeka chomeka sehemu nyeti
Wew kweli lofa,kimei kaiacha CRDB ikiwa ndio bank yenye matawi mengi kuliko bank yoyote nchiniCRDB ni moja ya bank mbovu nchi. Haina maajabu zaidi ya kufanya biashara na serikali na kuzungusha mtaji wa serikali.
Unamzungumzia banking industry, unamjua James Mwangi ??
Unajua alikoitoa Equity bank ?? .
Huyo Kimei kakaa CRDB miaka 30 lakini kaacha ina tawi Burundi tu,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha mkuu umembana vilivyo huyo jamaa mwenye chuki kali za kijinga nadhani hatarudia Tena kuandika ujingaSwali lako halina msingi maana waliwahi kuomba na kupewa na baba wa taifa na hakukuwa na tatizo! Wakiomba tena ni dhambi?! Wewe unapungukiwa kitu?! Au ndio chuki zilezile?!
Hapa umeonesha jinsi ulivyo na chuki za kipumbavu kuliko hata upumbavu wenyewe!
Kuna kabila limechangamana na watu kama wachagga?! Nenda kokote lazima utakuta duka la mangi. Au unajitoa ufahamu kwamba wachagga hawana maduka huko kwenu kanda ya ziwa?! Makabila yaliyosambaa sana kibiashara ni wachagga, wapemba na wakinga! Unaanzaje kujitoa ufahamu eti "hawataki kuchangamana na watanzania wengine!" Wewe ni pumbura original.
Swali la kipuuzi la mwaka hapa Jf , wanyamwezi na wasukuma wamejaa lukuki uchaggani walikuja tangu enzi za mkoloni kufanya vibarua kama manamba kwenye reli ya Dar- Tanga - Moshi - Arusha
Kisha wakaloea kwenye mashamba ya mkonge na kahawa, wengi wanajiita wachagga kwasasa! Wasukuma lukuki walisomea moshi, weruweru, moshi tech, umburi n.k. hata ndugu yenu Daudi Bashite alisomea pale ushirika Moshi tena alikiri mwenyewe kuwa alilipiwa ada take na Mchagga Dr. Reginald Abraham Mengi.
Upuuzi mwingine, kwani huko mwanza na geita wachagga hawapo?! Ficha ujinga wako kidogo. Sitaki kukwambia engineers wangapi wachagga wako migodini huko GGM, Buzwagi, mwadui, kakola nk.
hoja ya kutojichanganya ni ya kitoto mno!
Hapa ndio umedhihirisha jinsi ulivyo mpumbavu mmoja aliyejaa chuki za kikabila , ingekuwa hivyo kusingekuwa na maduka ya wachagga "dukani kwa Mangi!" Tanzania nzima!
Ujinga wa kiwango cha upumbavu, kwani watanzania hawaruhusiwi kuomba eneo la ardhi mkoa mwingine?! Ni kosa kisheria?! Walipoomba wakapewa mlipungukiwa nini?! Acheni chuki za kijinga nyie,
Umeandika kwa chuki kali za uananzengo japo umejifanya eti "Mimi nauliza tu!"
Hakuna Ushauri wa maana hapa wote huu utopolo ni upumbavu mtupu uliojaa chuki , ujinga na wivu wa kimaskini.
Kwani nyie wachaga ni warundi, au mnatoka nchi tofauti, ? Mbona hatuwaelewi nyinyi? Mnataka ni is hasa? Kwanini msiende huko mikoa mingine mkaenda kwenye serikali za vijiji mkajitambulisha mkawa wanakijiji, au mnataka mwende wote, hamtaki kutengana eeee,
Kama mpo hivyo basi hatuwataki, inaonesha nia yenu sio kuishi kindugu na jamii au ambayo mtaikuta huko,
Bora mbalimbali hukohuko
Koma kabisa kulinganisha kabila la watu ml 8 na kakikundi ka watu laki tatu. Unalinganisha mzanaki na msukuma ? We hovyo kabisa.We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!
Hebu anza kuhesabu mawazari uone ni kabila gani limeesheheni kwenye nyazifa hizo?! Nenda kwa wakurugenzi kuanzia TRC mpaka bandari, njoo jeshini, anza na mkuu wa majeshi,
Hata nyerere akujaza wazanaki namna hiyo! Alafu eti kwa ukabila kama huu mnataka kumfananisha na mwl nyerere thubutuuuu!
Nyerere alijaza wazanaki serikalini au jeshini?! Nyerere aliipendelea Butiama kama ilivyo sasa Chato?!
Alafu bila hata haya wala aibu unakuja hapa na kujitoa ufahamu unadai wachagga wakabila ofisi, mzee MEKO huoni anavyofanya sasa kuwajaza wakwenu?!
Alafu mnataka aongezewe muda??? Thubutuuuu mnataka kuigeuza Tanzania kama Rwanda?! Acheni upumbavu nyinyi!
Shame on you!
Unanizidi nini wewe paka shoe shine wa kwa Sadala. Pumbavu kabisa.Akili anayo mama yako anayefuga imitunga kule Gamboshi.
Unapozidiwa kila kitu inabidi uwe mpole tu hakuna namna.