Mtapost utumbo mpaka mtachoka. Ndio kwanza kibano kiko pale pale.Hahaha wameburuzwa n'a nn?
Yani nyie mnaolala nyumba za nyasi mtuburuze? Umekula ugoro nn mkuu?
Watu mnaotumia punda kama usafir ndio mtuburuze ? Hahaha
Nani kakuambia kwamba Edwin Mtei na Muhidini Kimaro walikuwemo kwenye Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika huru. Kweli wewe ni mtoto wa juzi. Nsilo Swai sawa lakini si hao uliowataja hawa walikuja baadaye sanaWachaga walikuwepo kwenye système tangu enzi za mkoloni
Soma Historia hata baraza la mawazir la Kwanza kabisa lilisheheni wachaga wengi tu kina nsilo swai,kina Edwin mtei ,kina muhidini kimario nk
Wachaga wamesoma tangu enz na enz
Kwani mzee kuna sehemu wachaga wamenyimwa kuishi mbona hueleweki?si taratibu za ardhi zinajulikana tu kwa mtanzania yyte anaweza kwenda popote au wanataka wapewe eneo waishi wao tu kama kabila lao?mbona wamejaa kimara kwani walipapataje?hao watu wote waliopo dar walihamiaje?Well said,
Wengi hawajui historia wanapuyanga tu, kuna watu wanaroho mbaya sana zimejaa kutu ya chuki za kikabila, hivi mzungu au mwarabu au muhindi akija kuomba ardhi akapewa ni sawa, warundi zaidi ya laki moja waliopewa uraia na kikwete walipopewa ardhi ilikuwa sawa, lakini watanzania wenzako wa nchi hiyo hiyo wachagga wakiomba ardhi ni nongwa kubwa sana watu watapayuka mpaka mishipa ya shingo itawatoka!
Tuache chuki za kikabila na wivu usio na msingi, na we we omba ardhi kama unaitaka kwani ni dhambi?! Threads kama hizi za kipuuzi sijui kwani ni mods wanaziacha!
Sasa mbona mbunge wa Vunjo anasema aardhi imekwisha, je sio kwa sababu ya kuzaliana? Pia, kama kanda ya ziwa wanazaliana sana, mbona ardhi haishi? Hapa ni suala la kurekebisha mila na tamaduni.Wanaozaliana hovyo huwajui? Lake zone ndio inazaliana kwa 100% kule average minimum ya family members Ni watoto 10
Hii picha ya pili, hiyo ninayoiona ni aina gani ya lami, kama lami ipo mpaka barabara za vichochoroni? Hii ndio namna ya kufikiri 'kichagga.'Wachaga walishangamana kitambo kabla hata ya Uhuru Tena walikuwa na exposure internationally
Kuhusu Kilimanjaro kuwa Kama Paris Hilo halipingiki, Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza tz kwa makaz bora vijijin,Hakuna mkoa wowote tz utakuta makaz ya kisasa kuzid Kilimanjaro
Pia kwa miundombinu Hakuna mpinzani lami zipo hadi vichochoroni,shule ndio mkoa unaoongoza kwa shule nyingi tz, huduma kama umeme kule upo tangu 1970's sasa kwann isiwe Paris?
Infact ripoti ya serikali inatuambia Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz kwa watu wake kuishi maisha Bora kwa 90%,ukiona hivyo ndio chuki inakujaa,huwez kufanikiwa kwa kumchukia aliyakuzid,nyie mmekalia Imani za kijinga za kuua vikongwe wenye macho mekundu hii inasabanishwa na ufinyu wa elimu
Karibu KILIMANJARO ujionee mandhari swaafi hatuna vijumba vya tembe,wala hatutumii punda kama usafir kama kule kwenu malampakaView attachment 1703100View attachment 1703101View attachment 1703102
Sio hvyo tu Ni ngumu mmarangu kupata ardhi rombo au mrombo kupata eneo machame na nkMkuu sina maana ya kuwaonea wivu jamaa yangu
Hoja yangu imejikita hapo kwenye ardhi, kwamba why ni rahisi mchaga kupata ardhi Morogoro au Mwanza ila ni vigumu Mluguru kupata ardhi Moshi,
Ila mkuu nimependa lugha unayotumia si ya matusi sana kama wenzako
Tuishie hapa sisi ni Watz, hili halitabadilika.
Hoja ya mleta uzi ni je ni lazima kuomba bungeni? au unaposema waliwahi kuhamishiwa Handeni, Mpanda Kilosa nk, ni utaratibu gani uliotumika? Kama waliomba serikalini na wakahamishwa then ni sahihi kwa utaratibu huo kutumika hata sasa. Lakini pia itakuja hoja nyingine, je kama huo ndio utaratibu je hao waliohamia sehemu nyingine bila kufuata utaratibu huo, walivunja sheria?wewe kweli wa jana. kwa taarifa wachaga waliwahi kuhamishiwa handeni, mpanda, kilosa nk. wakati wa awamu ya kwanza ili kuondoa msongamano. Haijaleta ubaguzi wowote na wamechanganyikana na wenyeji wao. Watu wa sasa ndio wabaguzi. NENDA HUKO UKACHUNGUZE
Hawajavunja sheria kama mamlaka husika ziliridhia. Sio rahisi sana kwa mtu mathalani yuko kilimanjaro akaelewa maeneo yalyo wazi kama vile huko mpanda. Pia ukumbuke ni watu wengi wenye shida ya ardhi na kuhitaji nguvu zaidi ya serikali kupata eneo la kutosha.Hoja ya mleta uzi ni je ni lazima kuomba bungeni? au unaposema waliwahi kuhamishiwa Handeni, Mpanda Kilosa nk, ni utaratibu gani uliotumika? Kama waliomba serikalini na wakahamishwa then ni sahihi kwa utaratibu huo kutumika hata sasa. Lakini pia itakuja hoja nyingine, je kama huo ndio utaratibu je hao waliohamia sehemu nyingine bila kufuata utaratibu huo, walivunja sheria?
Kibano kipo kwenu nyie maskini mnaolala nyumba za nyasi Hadi karne hii ya 21Mtapost utumbo mpaka mtachoka. Ndio kwanza kibano kiko pale pale.
Sasa unabisha nn mkuu? Tembea UCHAGANI mwenyewe Kama huaminiHii picha ya pili, hiyo ninayoiona ni aina gani ya lami, kama lami ipo mpaka barabara za vichochoroni? Hii ndio namna ya kufikiri 'kichagga.'
Mpaka shoe shine wa sadala Ana uhakika wa kuingiza 30000 kwa Siku Sawa n'a laki 9 kwa mwezi ukienda kwake unakuta nyumba nzuri na mifugo kama kuku ,mbuzi Bata Pia unakuta anasomesha mtoto wake private na Ana usafir angalau wa pikipik, Kilimanjaro vijijin mzunguko wa hela ni mkubwa sio kama kule kwenu nyan'gwale mtu kupata héla ni Mara moja kwa mwaka anapouza vi mpungaUnanizidi nini wewe paka shoe shine wa kwa Sadala. Pumbavu kabisa.
@nizakale umesikia?Alafu ulivyo mpumbavu eti unathubutu kabisa kujikakamua na kusema hatuwataki ahahaaa!
Wakati juzi tu hapa mfalme wenu JIWE, kalipa shamba la miti huko Geita jina la "mchagga" msomi Professor Dos Santos Silayo! Wachagga hawakwepeki ni kama maji, usipoyanywa utayaoga, kufulia nguo au kuoshea vyombo!
Ni hivyo tu yaani, tuliza mtori nyama zipo chini.
Hehehe ngoja tuwaache mkuu maana wamekua wakali kama pili pili.Sio hvyo tu Ni ngumu mmarangu kupata ardhi rombo au mrombo kupata eneo machame na nk
Hizo Ni hadithi tu,ukiwa na hela UCHAGANI utapata ardhiHehehe ngoja tuwaache mkuu maana wamekua wakali kama pili pili.
Hahaha ni kweli mkuu hizo ni hadithiHizo Ni hadithi tu,ukiwa na hela UCHAGANI utapata ardhi
Acha wivu wa kike ww, unaweweseka nn, km huna cha kuchangia kakojoe ukalale, aliyetangulia ametangulia tu.Wanajionaga wao ni first class citizens.
Ila jiwe kawaweza
Hujaelewa mantiki wewe,Kwan Kuna sehemu yoyote tz ambayo haina mchaga? Wachaga Ni WAHINDI wa kitanzania wame.invest ma miradi makubwa maeneo mengi tu tzWachaga hawahawa wanaojinadi kuwa magwiji wa kutafuta pesa ndiyo wamegeuka ombaomba.
Si Wana hela? Watafute maeneo kwingineko wanunue kama wanavyofanya makabila mengine.
Nyerere alishakufa na ujamaa wake kwa sasa tuko kwenye "ubeberu" kwahiyo hizo habari za Nyerere this Nyerere that ni yesterday news.
Mpaka shoe shine wa sadala Ana uhakika wa kuingiza kwa Siku Sawa n'a laki 9 kwa mwezi ukienda kwake unakuta nyumba nzuri na mifugo kama kuku ,mbuzi Bata Pia unakuta anasomesha mtoto wake private na Ana usafir angalau wa pikipik, Kilimanjaro vijijin mzunguko wa hela ni mkubwa sio kama kule kwenu nyan'gwale mtu kupata héla ni Mara moja kwa mwaka anapouza vi mpunga