Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Kama mnajiamini ndio mtumie nguvu zenu na uwezo wenu mpate hayo mashamba msitegemee kuomba msaada,serikali yetu ina mambo mengi ya kufanya.
Bakhersa alivopewa mashamba na serikali je Hana uwezo wa kukunua? Tatizo unasumbuliwa na ukosefu wa elimu
 
Humu tunajadiliana na watu waliotengenezwa pesa, huu mjadala hautofika mwisho

Mtu haelewi tofauti ya Bakhresa kupewa ardhi kama muwekezaji na jamii ya kichaga kuomba kupewa ardhi ili wakaendeleza ukabila wao kwenye mikoa ya watu huko!

Huyu mtu unamsaidiaje?
 
Bakhersa alivopewa mashamba na serikali je Hana uwezo wa kukunua? Tatizo unasumbuliwa na ukosefu wa elimu
wenye elimu huwa wanakimbilia kuwa ombaomba?Bakhresa ana mchango mkubwa kwa Taifa na jamii kwa ujumla,kapuku kama wewe una faida gani kwa Taifa letu.
 
Kuwa na garage ndio utajiri ? Tunataka utueleze hapa bilionea mchagga kanda ya ziwa siyo ohh tuna garage mabatini ! Shit tunaongea matajiri wa ukweli wewe unaleta stori za kijiweni ? Kweli bangi mbaya sana, fyuuuuuu.
 
Jibu hoja niliziweka hapo usilete ngojera za kizezeta kama uko Kishimundu
 
Nimekwambia hujui historia unakataa. Wala hujui wakati majimbo yanagawanywa kutoka 9 hadi mikoa 17 mwaka 1963. Aidha, hujui ni wilaya zipi zilihusika. Ndio maana unataja wilaya ya juzi kama Simanjiro ambayo imeanzishwa miaka ya 1973 - 1976.Kutokana uelewa wako mdogo wa historia unabwabwaja tu hujui kitu. Kutokana na hali hiyo nimegundua kwamba ninaongea na mtu aliyezaliwa miaka ya 70 au 80 hivyo nikuache uendelee kuamini hicho unachoamini. "Bye "
 
Hujui usemalo ! Kwanza nikuulize swali dogo tu, he, unaweza ukanieleza maana ya baraka ? Au unajisemea tu ?
Hivi kweli mtu kwenye akili timamu anaweza kweli kushindanisha wachagga na wasukuma kwa hali yoyote ile? sio uchumi wala elimu, wachagga wako juu, actually, aliyebarikiwa kabarikiwa tu. tuache wivu jamani.

Let me laughing...!
 
Tukumbuke hawa wenzetu wengi wamefanywa pesa na ndugu zao, so ukiona unatoa hoja anakupinga kwa matusi jua either unaongea na mwehu au zezeta aliyefanywa pesa tayari.
Kweli kabisa kwa sababu MTU badala ya kujibu hoja anarusha matusi.
 
Kuwa na garage ndio utajiri ? Tunataka utueleze hapa bilionea mchagga kanda ya ziwa siyo ohh tuna garage mabatini ! Shit tunaongea matajiri wa ukweli wewe unaleta stori za kijiweni ? Kweli bangi mbaya sana, fyuuuuuu.
Sasa hayo ma investiment alokutajia hapo Yana thamami ya shilingi ngapi? Unamjua bilionea Lema ? Aisée nikiamua Kutaja wachaga wenye mihela hapo mwanza tutakesha
Pia kwa wasukuma wote sijaona mtu hata mmoja anaeweza ku compète na mtu mmoja tu bwana Tarimo mmiliki wa Eckenford University
 
wenye elimu huwa wanakimbilia kuwa ombaomba?Bakhresa ana mchango mkubwa kwa Taifa na jamii kwa ujumla,kapuku kama wewe una faida gani kwa Taifa letu.
Unasumbuliwa na utapiamlo wa akili,hoja Ni kupewa bure ndipo nakuuliza je bakhersa hana uwezo wa kununua? Ukiwa na elimu ya memkwa hutaelewa
 
Waliojeuzwa pesa wapo makao makuu ya wachawi Afica kule GAMBOSHI
 
Huna lolote kumiliki chuo kibovu kama Eckeniford ndio utajiri. Nimefika hapo Tanga chuo chenyewe majengo yake ni hovyo kabisa. Nimekupa Nondo uzijibu unaruka ruka kama kipepeo. Hakuna Bilionea mchagga Katika Jiji la Mwanza. Waliopo ni wabangaiziaji tu.
 


Mbona una puyanga tu, unajikanyaga mwenyewe, mara kuomba sio kosa alafu tena unarudi kulekule kwamba sio mbunge kuomba,

Alaah, kwani mbunge akiomba kavunja sheria?! Kama hajavunja sheria tatizo nini?! Uliona speaker kamwambia ummevunja sheria kaa chini?! Ukiona kapewa taarifa ya kukosolewa bungeni?! Hakupewa vyote hivyo kwasababu Yuko sawa! Kimei kaona fursa kwa watu wake na kaitumia, na nyie ombeni muone kama mtanyiwa!

Shida mnataka kushindana na msomi PhD Holder! Dr. Kimei, "akili ndogo haiwezi kuiongoza akili kubwa mwanamayu!"
 


Ulivyo zuzu la kisukuma, umeweweseka na simanjiro, lakini mkoa was manyara hujauona?!

Nilivyotaja kule nyuma kwamba wachagga waliwahi kupelekwa KATAVI hukushtuka, wakati miaka ile hakukuwa na mkoa wa katavi Bali mbeya, tena ukaja kumegwa kuwa mkoa wa Rukwa! Alafu unajifanya kushtuka kutajaa simanjiro, ndio maana nawaambia nyie akili zenu mmeshachukuliwa imitunga na ndugu zenu, siongei na watu kamili Bali misukule, huenda muda huu uko Gamboshi unalima majarubani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…