nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Tulia wewe, wachaga mnajenga kijijini na kukimbia, mnaenda kukaa mikoa ya wastaarabu hukoWewe kweli hazimo,Kuna watu wanaothamin kwao kuzid wachaga? Umeshawah ona nyumba yoyote ya nyasi UCHAGANI? Mbumbumbu we
Bakhersa alivopewa mashamba na serikali je Hana uwezo wa kukunua? Tatizo unasumbuliwa na ukosefu wa elimuKama mnajiamini ndio mtumie nguvu zenu na uwezo wenu mpate hayo mashamba msitegemee kuomba msaada,serikali yetu ina mambo mengi ya kufanya.
Mbona umesema hawarud kabisa? Mbumbumbu bhana unasahau kama nyumbuZaidi ya kurudi December, mchaga hua harudi kwao
Kwanza wewe utajua nini maana ushafanywa pesa na mangi mjanja hahaha.
Hivi huoni tofauti hapo?Bakhersa alivopewa mashamba na serikali je Hana uwezo wa kukunua? Tatizo unasumbuliwa na ukosefu wa elimu
wenye elimu huwa wanakimbilia kuwa ombaomba?Bakhresa ana mchango mkubwa kwa Taifa na jamii kwa ujumla,kapuku kama wewe una faida gani kwa Taifa letu.Bakhersa alivopewa mashamba na serikali je Hana uwezo wa kukunua? Tatizo unasumbuliwa na ukosefu wa elimu
Kwanza hakuna mgeni anayerusiw kumilik ardhi tz, lbd kukodisha tu..kwani mzungu huwa anapewa bure au ananunua kwa hela zake
Kuwa na garage ndio utajiri ? Tunataka utueleze hapa bilionea mchagga kanda ya ziwa siyo ohh tuna garage mabatini ! Shit tunaongea matajiri wa ukweli wewe unaleta stori za kijiweni ? Kweli bangi mbaya sana, fyuuuuuu.We kweli punguani tena unajitoa akili mapema sana, nenda kule mabatini kaangalie ni wakina nani wanamiliki makampuni ya usafirishaji na magereji yote Yale, mabatini nzima imetekwa na wachagga usijifanye hujui dogo.
Nenda buhongwa, ukaone wachagga walivyokamata kule, kule kona ya bwiru maghorofani ndio usiseme, sijakutajia maeneo mengine , nimekaa sana mwanza tena sana unidanganyi kitu, wasukuma mmebaki kuwa makuli tu, nenda mpaka geita, kule katoro kaangalie biashara imetawaliwa na kina nani maana katoro ilistawishwa sana na madini kuliko hata geita au chato, wafanyabiashara wengi walioistawisha katoro walikuwa wachagga, nenda kaangalie waliokuwa maengineers pale GGM na Buzwagi walitoka wapi, wote walikuwa wachagga tena walitokea machame kisiki, usitake nikutajie hadi majina yao, wasukuma mmebaki kuokoteza yale makinikia yanayobaki baada ya madini kuchechuliwa, mnavamia makapi ya udongo mpaka mnafukuzwa kwa risasi na walinzi wa migodi sijui kama mmesahau hili.
Naona pia umeshasahau jinsi mlivyobaki masikini mpaka mkaanza kula mapanki ya samaki baada ya minofu yote kupelekwa ulaya, biashara iliyobaki kwenu ilikuwa kula mapanki na ukahaba tu huku madini yakipelekwa ulaya ahahaaaa. Nenda kaangalie film ya "nightmare!" iliyorekodiwa hapo mwanza na yule mfaransa!
Ahahaaa. Ndio maana nikakuita wewe ni mpumbavu aisee!
Afadhali hata ungekuwa mjinga basi ujinga wako ungetoka hata kidogo lakini mpumbavu haelimishiki kamwe.
Lakini kusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu masikioni na Mimi sitaacha kukuzibua mpaka utokwe damu usikie!
Wachagga ni state! Ni zaidi ya kabila, kitaalamu kabila (tribe) linapovuka mpaka wa kikabila chiefdom, ugeuka kuwa kingdom, Tanzania ni makabila machache sana yaliyopevuka na kuunda hali hii ya kuwa tawala kubwa yaani muunganiko wa jamii kubwa ambazo ugeuka na kuwa falme (kingdoms) au nchi (states), mojawapo ya makabila kama haya ni wahaya na wanyakyusa! Nakupa elimu hapa maana elimu hii huna, we unadhani kuwa kabila kuunda jamii mbalimbali basi huo ni udhaifu, sasa kiwango cha kabila kuunda jamii mbalimbali huko ni kukomaa sana, kupevuka na ku-upgrade hatua kubwa zaidi, waingereza waliwatambua wachagga kama kabila ambalo limetengeneza mfumo wa nchi state!
Kuhusu wachagga kutawala arusha, hapa bado uko na ujinga mwingi wa kisukuma, wakati wa wakoloni hakukuwa na mipaka ya marginal boundaries kama hii ya kisasa, bali makabila yalitambulika kwa uasili wao wa mahali au kuteka sehemu husika. Wameru ambao ndio kiasili niwakazi wa maeneo hayo nimeshakuelimisha huko juu kuwa ni wachagga!! Naona hili limekuumiza sana, kwataarifa yako wameru walikuwa na bado ni sehemu ya wachagga mpaka sana kama walivyo wagweno wa upareni na facts nilikupa hata wao wanalitambua hili, arusha sio asili ya wamaasai, mji wa arusha ni asili ya wameru ambao ni wachagga (waliitwa wameru kutokana na mlima meru), japo kiasili hakuna kabila la wameru, ni kama kusema kabila la wamachame au wamarangu ambalo kimsingi halipo bali ni sehemu ya chagga'sdom.
So mwl nyerere alipoanza kugawa mikoa (regions) kutoka kwenye majimbo (provinces) ili kurahisisha utawala na maendeleo aliona maeneo ya umaasaini ni nyika na mapori hakukuwa na mji mkubwa unaoweza kuunda makao makuu ya utawala wa mkoa huo mpya kama mji wa arusha ya wameru ambao kimsingi ni wachagga, hivyo akaamua kuumega mji wa Arusha kutoka kwenye kabila la wachagga na kuunda mkoa wa arusha pamoja na wilaya za monduli, manyara, simanjiro, n.k
Lengo la kuuweka mji wa arusha pamoja na maeneo ya wamaasai na wambulu (wairaqwi) ilikuwa ndio mji wenye maendeleo sana kwa wakati huo na unafaa sana kuwa makao makuu ya mkoa kuliko mji wowote wa eneo la wamaasai au wambulu kwa wakati ule, na kwakuwa kilimanjaro bado ilikuwa na miji mingine mikubwa kama moshi na himo haikuleta shida yoyote kwa wakazi wa Kilimanjaro. Kugawa miji kwa mtindo huu sio ngeni hata Chato iliyokuwa sehemu ya mkoa wa Kagera ilimegwa na kuungwa na wilaya ya Geita iliyokuwa mkoa wa Mwanza na kuunda mkoa wa Geita. Acha kujito akili basi, maana nyie watu ni mambumbumbu mno hata kwenye kiwango cha elimu mko nyuma sana hivyo kuwaelimisha nyinyi ni lazima tufanye juhudu za makusudi, hivi wasukuma wanashika nafasi ya ngapi kwenye viwango vya elimu hapa Tanzania?! Maana mnatia aibu sana, mkoa wengi kama nyumbu alafu wajinga watupu!
Ahahaaa. Ndio maana nikakuita wewe ni mpumbavu aisee!
Afadhali hata ungekuwa mjinga basi ujinga wako ungetoka hata kidogo lakini mpumbavu haelimishiki kamwe.
Lakini kusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu masikioni na Mimi sitaacha kukuzibua mpaka utokwe damu usikie!
Wachagga ni state! Ni zaidi ya kabila, kitaalamu kabila (tribe) linapovuka mpaka wa kikabila chiefdom, ugeuka kuwa kingdom, Tanzania ni makabila machache sana yaliyopevuka na kuunda hali hii ya kuwa tawala kubwa yaani muunganiko wa jamii kubwa ambazo ugeuka na kuwa falme (kingdoms) au nchi (states), mojawapo ya makabila kama haya ni wahaya na wanyakyusa! Nakupa elimu hapa maana elimu hii huna, we unadhani kuwa kabila kuunda jamii mbalimbali basi huo ni udhaifu, sasa kiwango cha kabila kuunda jamii mbalimbali huko ni kukomaa sana, kupevuka na ku-upgrade hatua kubwa zaidi, waingereza waliwatambua wachagga kama kabila ambalo limetengeneza mfumo wa nchi state!
Kuhusu wachagga kutawala arusha, hapa bado uko na ujinga mwingi wa kisukuma, wakati wa wakoloni hakukuwa na mipaka ya marginal boundaries kama hii ya kisasa, bali makabila yalitambulika kwa uasili wao wa mahali au kuteka sehemu husika. Wameru ambao ndio kiasili niwakazi wa maeneo hayo nimeshakuelimisha huko juu kuwa ni wachagga!! Naona hili limekuumiza sana, kwataarifa yako wameru walikuwa na bado ni sehemu ya wachagga mpaka sana kama walivyo wagweno wa upareni na facts nilikupa hata wao wanalitambua hili, arusha sio asili ya wamaasai, mji wa arusha ni asili ya wameru ambao ni wachagga (waliitwa wameru kutokana na mlima meru), japo kiasili hakuna kabila la wameru, ni kama kusema kabila la wamachame au wamarangu ambalo kimsingi halipo bali ni sehemu ya chagga'sdom.
So mwl nyerere alipoanza kugawa mikoa (regions) kutoka kwenye majimbo (provinces) ili kurahisisha utawala na maendeleo aliona maeneo ya umaasaini ni nyika na mapori hakukuwa na mji mkubwa unaoweza kuunda makao makuu ya utawala wa mkoa huo mpya kama mji wa arusha ya wameru ambao kimsingi ni wachagga, hivyo akaamua kuumega mji wa Arusha kutoka kwenye kabila la wachagga na kuunda mkoa wa arusha pamoja na wilaya za monduli, manyara, simanjiro, n.k
Lengo la kuuweka mji wa arusha pamoja na maeneo ya wamaasai na wambulu (wairaqwi) ilikuwa ndio mji wenye maendeleo sana kwa wakati huo na unafaa sana kuwa makao makuu ya mkoa kuliko mji wowote wa eneo la wamaasai au wambulu kwa wakati ule, na kwakuwa kilimanjaro bado ilikuwa na miji mingine mikubwa kama moshi na himo haikuleta shida yoyote kwa wakazi wa Kilimanjaro. Kugawa miji kwa mtindo huu sio ngeni hata Chato iliyokuwa sehemu ya mkoa wa Kagera ilimegwa na kuungwa na wilaya ya Geita iliyokuwa mkoa wa Mwanza na kuunda mkoa wa Geita. Acha kujito akili basi, maana nyie watu ni mambumbumbu mno hata kwenye kiwango cha elimu mko nyuma sana hivyo kuwaelimisha nyinyi ni lazima tufanye juhudu za makusudi, hivi wasukuma wanashika nafasi ya ngapi kwenye viwango vya elimu hapa Tanzania?! Maana mnatia aibu sana, mkoa wengi kama nyumbu alafu wajinga watupu!
Hivi kweli mtu kwenye akili timamu anaweza kweli kushindanisha wachagga na wasukuma kwa hali yoyote ile? sio uchumi wala elimu, wachagga wako juu, actually, aliyebarikiwa kabarikiwa tu. tuache wivu jamani.
Let me laughing...!
Kweli kabisa kwa sababu MTU badala ya kujibu hoja anarusha matusi.Tukumbuke hawa wenzetu wengi wamefanywa pesa na ndugu zao, so ukiona unatoa hoja anakupinga kwa matusi jua either unaongea na mwehu au zezeta aliyefanywa pesa tayari.
Toa jibu ili nikujibu fasta tatizo wewe hujibu hoja unakimbilia maneno ya kejeli.Ni kwamba huyajui au unataka tu ligi?
Sasa hayo ma investiment alokutajia hapo Yana thamami ya shilingi ngapi? Unamjua bilionea Lema ? Aisée nikiamua Kutaja wachaga wenye mihela hapo mwanza tutakeshaKuwa na garage ndio utajiri ? Tunataka utueleze hapa bilionea mchagga kanda ya ziwa siyo ohh tuna garage mabatini ! Shit tunaongea matajiri wa ukweli wewe unaleta stori za kijiweni ? Kweli bangi mbaya sana, fyuuuuuu.
Unasumbuliwa na utapiamlo wa akili,hoja Ni kupewa bure ndipo nakuuliza je bakhersa hana uwezo wa kununua? Ukiwa na elimu ya memkwa hutaelewawenye elimu huwa wanakimbilia kuwa ombaomba?Bakhresa ana mchango mkubwa kwa Taifa na jamii kwa ujumla,kapuku kama wewe una faida gani kwa Taifa letu.
Waliojeuzwa pesa wapo makao makuu ya wachawi Afica kule GAMBOSHIHumu tunajadiliana na watu waliotengenezwa pesa, huu mjadala hautofika mwisho
Mtu haelewi tofauti ya Bakhresa kupewa ardhi kama muwekezaji na jamii ya kichaga kuomba kupewa ardhi ili wakaendeleza ukabila wao kwenye mikoa ya watu huko!
Huyu mtu unamsaidiaje?
Huna lolote kumiliki chuo kibovu kama Eckeniford ndio utajiri. Nimefika hapo Tanga chuo chenyewe majengo yake ni hovyo kabisa. Nimekupa Nondo uzijibu unaruka ruka kama kipepeo. Hakuna Bilionea mchagga Katika Jiji la Mwanza. Waliopo ni wabangaiziaji tu.Sasa hayo ma investiment alokutajia hapo Yana thamami ya shilingi ngapi? Unamjua bilionea Lema ? Aisée nikiamua Kutaja wachaga wenye mihela hapo mwanza tutakesha
Pia kwa wasukuma wote sijaona mtu hata mmoja anaeweza ku compète na mtu mmoja tu bwana Tarimo mmiliki wa Eckenford University
Ndiyo maana kuna moral law na legal law. Hata kama lipo kisheria(legal) lakini si sawa. Nchi hii ipo huru, mtu anaweza kwenda popote na kupata ardhi popote. Na sheria ya ardhi ya 99 inaeleza utaratibu wa kupata ardhi. Sasa hao ambao wameshiwa ardhi wajiorganize na na kwenda kupata ardhi sehemu nyingine kwa utaratibu, hakuna anayezuiwa lakini si mbunge mzima anaomba Rais awape ardhi watu wake kama vile wamekatazwa kupata ardhi kwingineko?
Nimekwambia hujui historia unakataa. Wala hujui wakati majimbo yanagawanywa kutoka 9 hadi mikoa 17 mwaka 1963. Aidha, hujui ni wilaya zipi zilihusika. Ndio maana unataja wilaya ya juzi kama Simanjiro ambayo imeanzishwa miaka ya 1973 - 1976.Kutokana uelewa wako mdogo wa historia unabwabwaja tu hujui kitu. Kutokana na hali hiyo nimegundua kwamba ninaongea na mtu aliyezaliwa miaka ya 70 au 80 hivyo nikuache uendelee kuamini hicho unachoamini. "Bye "