Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Hivi form two bado ni utotoni eeh
 
Nilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mi nadhani hii ni 'deja vu' itakuwa juzi ukubwani ulipotumwa ndo ukafanya hivyo. Sasa ukadhani labda ulishafanyaga udogoni tena.
 
Mimi nakumbuka nikiwa DOGO mbu walikuwa wanasumbua sana sasa kuna siku nikasema ngoja niwakomeshe nikachukua kiberiti na kuanza kuchoma neti ili niwateketeze...Nilichezea kipigo cha haja kutoka kwa dingi !!!!!
Good going Einstein. Hahaha
 
Nikiwa chekechea Moja iliitwa Neema pale kikuyu Dodoma, Enzi hizo habari za chuna ngozi zilitapakaa sana kwamba wanadanganya watoto Kwa pipi au wanateka Kwa nguvu, mama akaniambia nikitoka shule nisiwe napitia popote niende nyumbani straight.. Sasa kukawa na kasichana kanaitwa Ashura alikuwa rafiki sana na tulipendana... Yeye kwao ilikuwa karibu na kamlima Hivi, umbali kiasi na njia yao ina mapori.. Kwa mapenzi nliyokuwa nayo nikawa napuuza amri ya mama namsindikiza Ashura hadi karibu na kwao naiona nyumba ileee, halafu narudi mwenyewe spidi 120 mbio....
Mnh...
Ujasiri pendoni nmekua nao masikini mini!! .. Sijui yuko wapi siku hizi Ashura dah.!
 
Hahaaaaa no wonder unauza vifuniko vya asali aisee, hizi mambo kumbe unazo tangu utotoni, duuuh kubikiri sistaako!!
Teh teh..Nilikuwa sijui maana yake bro
 
Utundu wa kitoto tu nilitaka kujua kwanini ile hirizi inapumua na nikagundua kuwa mle ndani anaweka vinyonga, sijui walikuwa wanakaa muda gani mpaka kufa
Nilichoshindwa kujua mpaka leo ni je alijuaje kama mimi ndio nilichukua hirizi yake
Teh teh..Mkuu ufukunyuku wa hayo mambo umeanza kitambo kumbe
 
hahaha chamechaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…