Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Mi nakumbuka kuna demu alimzingua jamaa mmoja kitaa..Basi yule jamaa kwa asira akamwambia "ujue ntakubikiri"..Basi mi nikalipenda hilo neno bila hata kujua maana yake..Nikihisi kuwa litakuwa linamaanisha ntakupiga....Siku tumekaa sitting room na wazee pamoja na wagen tunacheki Tv tukaanza kugombania rimoti na sista..yeye akiwa anataka kubadili chanel..Ndo kumwambia "ujue ntakubikiri,we endelea tu"...

Nilipelekwa chemba nikapewa stiki za kutoha..Zen baadae darsa ndo likafwata..Ndo ikawa chanzo cha kupunguza kuokotaokota maneno kitaa
 
Kijana kumbe we ni bro wangu kwenye hizo vitu..Nakumbuka mi first time kuangalia nilikuwa form one..Basi baada ya kutoka kuangalia kila msichana ninayekutana naye namuona kama yupo uchi vile
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Nilikuwa na tabia moja, kuwe na joto kuwe na baridi; me Ntalala bila kuvaa nguo kabisa na blanket langu juu.

Siku ya siku nimelala wee, kuja kushtuka saa 1 asubuhi, nimepanic hatari nimeshachelewa shule. Nilichofanya ni kukurupuka piga uniform ndrukiii shule (bahati nzuri home na shule hakukuwa mbali)

Kufika shule nikakuta ndo wanamalizia usafi, na uzuri friends zangu waliniwahia namba. Kuja kutahamaki sikumbuki kama nilinawa uso, ila mswaki sikupiga na tei te (chupi) pia sikuvaa. Nikaona isiwe kesi nikaenda bombani nikanawa, ile kurudi nikawa najishtukia ukute domo linanuka. Nikaanza kupretend kuwa jino linauma so tukawa tunawasiliana kwa vimemo, navyopenda kustorisha sasa khaa niliumiaje. Kufika muda wa break ndo nikatamani nilie kabisa, rede imekolea nashindwa kucheza nisije nikapiga chejo nikamwaga radhi. Sijawahi kuwa na siku mbaya shuleni kama ile. Kuanzia siku ile nikawa nikilala, tei tei naiweka juu ya bag nisije nikasahau kuvaa asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Teh teh..Hii hujawahi kunisimulia
 
Hii ilikuwa miaka 1988 -89 nikiwa darasa 2 mkoani Kil.
Huwa tunatoka mapema(shuleni) kidogo siku hiyo nilitengewa ugali nyama paka akaniwahi akala nyama yote muda niliofika ndio anavutana na mfupa .Nilichofanya nilimfungia nikatafuta kisu nikakinoa vizuri kisha kazi ikanza mimi na paka hiyo vita yake usiombe .Nifanikiwa kumkata kichwa (kutenganisha kiwiliwili na kichwa) Mimi nililazwa kwani alifanikiwa kuniparua vibaya mno .Nakumbuka mama alilia hujui wapi na wapi nmeumia kwani mwili umetapakaa damu ya paka na yangu huku akisema wewe utakuwa mtu wa sambuli gani.
Nilipona nilikuwa mtemi wa rika langu kwani kila mmoja aliujua ukatili wangu. Kama unavyojua maisha ya watu wa Kil.na Arusha huwa wanakuwa na marika na mtemi wa rika fulani
 
Mimi nilikulia Ushuani geti kali kutoka na gari kurudi na gari na home after homework tunakaa na familia kwa utulivu hatukuwa kama nyie home kwenu nothing lazima muwe wajinga na vituko.mfano hapo juu kuna mchangiaji alikuwa haendi shule kazi kujificha.


swissme
 
Mi nakumbuka kuna demu alimzingua jamaa mmoja kitaa..Basi yule jamaa kwa asira akamwambia "ujue ntakubikiri"..Basi mi nikalipenda hilo neno bila hata kujua maana yake..Nikihisi kuwa litakuwa linamaanisha ntakupiga....Siku tumekaa sitting room na wazee pamoja na wagen tunacheki Tv tukaanza kugombania rimoti na sista..yeye akiwa anataka kubadili chanel..Ndo kumwambia "ujue ntakubikiri,we endelea tu"...

Nilipelekwa chemba nikapewa stiki za kutoha..Zen baadae darsa ndo likafwata..Ndo ikawa chanzo cha kupunguza kuokotaokota maneno kitaa
Kwa kwa kwa kwa
 
Mmewasumbua sana wazazi wenu mkumbuke kuwapelekea chochote na watoto wakiwafanana msianze kulialia mjue maji hufuata mkondo
 
Mimi nakumbuka tulikuwa na mchezo wa kufunga Barabara kwa kamba wakati usiku baiskeli ikipita au wakipita watu tunanyanyua ile kamba juu ili wajikwae. Tulikuwa na tunajificha kwenye fensi za michongoma kila mtu na upande. Ilikuwa balaa sana.
 
Nskumbuka ndugu yangu miaka ya hivi karibuni alivizia mama yake na baba yake awapo akatupia kitu hicho,da umeme zii,jamaa kachanganyikiwa,sasa anajua kwamba mama yake jion humuagizia kwenye mambo ya vikoba,sasa jamaa kafikilia hapa wazee wakirud wakiniagiza harafu umeme ukarud itakuwaje,jamaa katulia tutweeeeeee,walivyorud jamaaa akaongopea km anaharisha kweli wazaz wake walivyorudi wakawa na lengo lilelile la kumuagiza,sasa baada ya kuona kwamba jamaa anaendesha basi wakasema atampelekea asubuhi,jmaaa huku akipiga misele ya ndani chooni,ndani chooon,sasa wakati ile nakwenda chooni anafungua mlango "anasikia uwoooooooooo",jamaaa badala ya kuingia choooni mbio ndan mpka wakamshangaaa,alivyofanikiwa akasema mwanzo na mwisho
ha hahahahahaha duh
 
Mimi nilikulia Ushuani geti kali kutoka na gari kurudi na gari na home after homework tunakaa na familia kwa utulivu hatukuwa kama nyie home kwenu nothing lazima muwe wajinga na vituko.mfano hapo juu kuna mchangiaji alikuwa haendi shule kazi kujificha.


swissme
Wewe ni wa kiswahili pretender tu.....
 
Hii ilikuwa miaka 1988 -89 nikiwa darasa 2 mkoani Kil.
Huwa tunatoka mapema(shuleni) kidogo siku hiyo nilitengewa ugali nyama paka akaniwahi akala nyama yote muda niliofika ndio anavutana na mfupa .Nilichofanya nilimfungia nikatafuta kisu nikakinoa vizuri kisha kazi ikanza mimi na paka hiyo vita yake usiombe .Nifanikiwa kumkata kichwa (kutenganisha kiwiliwili na kichwa) Mimi nililazwa kwani alifanikiwa kuniparua vibaya mno .Nakumbuka mama alilia hujui wapi na wapi nmeumia kwani mwili umetapakaa damu ya paka na yangu huku akisema wewe utakuwa mtu wa sambuli gani.
Nilipona nilikuwa mtemi wa rika langu kwani kila mmoja aliujua ukatili wangu. Kama unavyojua maisha ya watu wa Kil.na Arusha huwa wanakuwa na marika na mtemi wa rika fulani
ha hah ahaha haha uwiiii... yani umeniacha hoi
 
Mi nakumbuka kuna demu alimzingua jamaa mmoja kitaa..Basi yule jamaa kwa asira akamwambia "ujue ntakubikiri"..Basi mi nikalipenda hilo neno bila hata kujua maana yake..Nikihisi kuwa litakuwa linamaanisha ntakupiga....Siku tumekaa sitting room na wazee pamoja na wagen tunacheki Tv tukaanza kugombania rimoti na sista..yeye akiwa anataka kubadili chanel..Ndo kumwambia "ujue ntakubikiri,we endelea tu"...

Nilipelekwa chemba nikapewa stiki za kutoha..Zen baadae darsa ndo likafwata..Ndo ikawa chanzo cha kupunguza kuokotaokota maneno kitaa

Umenikumbusha neno la kichaga mjomba wetu alikuwa anapenda kulitumia, "tulu" (sina uhakika na spelling) kumbe ilimaanisha matako bana. Sasa sisi tukameza tulivyorudi mjini tukaanza kuitana hivyo, "Iyo nyi itulu!" ah! zamani tulichapwa kwa mengi aiseee...
 
Nilikuwa na tabia moja, kuwe na joto kuwe na baridi; me Ntalala bila kuvaa nguo kabisa na blanket langu juu.

Siku ya siku nimelala wee, kuja kushtuka saa 1 asubuhi, nimepanic hatari nimeshachelewa shule. Nilichofanya ni kukurupuka piga uniform ndrukiii shule (bahati nzuri home na shule hakukuwa mbali)

Kufika shule nikakuta ndo wanamalizia usafi, na uzuri friends zangu waliniwahia namba. Kuja kutahamaki sikumbuki kama nilinawa uso, ila mswaki sikupiga na tei te (chupi) pia sikuvaa. Nikaona isiwe kesi nikaenda bombani nikanawa, ile kurudi nikawa najishtukia ukute domo linanuka. Nikaanza kupretend kuwa jino linauma so tukawa tunawasiliana kwa vimemo, navyopenda kustorisha sasa khaa niliumiaje. Kufika muda wa break ndo nikatamani nilie kabisa, rede imekolea nashindwa kucheza nisije nikapiga chejo nikamwaga radhi. Sijawahi kuwa na siku mbaya shuleni kama ile. Kuanzia siku ile nikawa nikilala, tei tei naiweka juu ya bag nisije nikasahau kuvaa asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ha hhah a chupi ni muhimu
 
mimi nakumbuka, niliota nipo chooni, naharisha balaa....otea nilipoamka asbh ilikuwaje....!
 
mimi nakumbuka nikiwa darasa la tatu niliku mpenzi sana wa samaki sasa mzee alikuwa kila week analeta samaki wa bichi mama anawakaanga fresh anatia ndani ya jokofu.. mimi hata unipe samaki mzima kiu hamu haishi .. nikawa na katabia cha kuokoa samaki nakula upande mmoja halafu namgeuza anaonekana ajaguswa wakati wa kupika mama akiuliza kila mtu anakataa.. siku moja jioni jioni nikafanya huo mchezo wangu wa udokozi acha mfupa unipalie kooni mama ndiyo akagundua mwizi wake ni nani kipigo nilichopata baada ya kutolewa mfupa aisee mpaka leo siwezi gusa kitu cha mtu bila kuomba,........... udokozi mbaya hasa wa samaki
Hahaaaa hii imefanana na yangu
Tulikuwa tunafuata mikate ya shule, enzi hizo form one. Katikati ya safari tunaingia kichakani tunachokonoa mikate tunakula minofu ya ndani. Kesho yake wanakati wa breakfast watakaopewa hiyo iliyoliwa ndani shauri yao na hawalalamiki coz na wao ikifika zamu yao wanafanya hivyo hivyo, teh
 
Back
Top Bottom