Utapeli wake ukoje? Ebu funguka bibie wengine hatumjuiSasa jamani mbwembwe zote zile,Diva ni wa kuolewa na mganga wa kienyeji tena tapeli?Khaa kweli Dunia duara...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli wake ukoje? Ebu funguka bibie wengine hatumjuiSasa jamani mbwembwe zote zile,Diva ni wa kuolewa na mganga wa kienyeji tena tapeli?Khaa kweli Dunia duara...
Labda huyo mganga kashamfunga upeo wakeSasa jamani mbwembwe zote zile,Diva ni wa kuolewa na mganga wa kienyeji tena tapeli?Khaa kweli Dunia duara...
Kamtupia jini la kukubali kuolewa nae.Kumbe ni lak mbili tu mahari [emoji1787]diva bwana toka milion 500 mpk kuolewa na mganga wa majini
Kwa upande mwingine Sheikh anasema kuwa mahusiano yake na Diva yana wiki mbili😅😅😅😅😅😅😅😅😅Diva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!
Find ze different[emoji23]Kumbe ni lak mbili tu mahari [emoji1787]diva bwana toka milion 500 mpk kuolewa na mganga wa majini
Sasa kuanzia lini diva aliwahi kumiliki akiliSasa jamani mbwembwe zote zile,Diva ni wa kuolewa na mganga wa kienyeji tena tapeli?Khaa kweli Dunia duara...
Miungu ni wengi si unaona diva keshajinyakulia wake😄😄Kwa TANZANIA tayari tuna mungu?
499,800,000Find ze different[emoji23]
M500!!! kwa papuchi ipi alokuwa nayo? je tuliogonga kwa 100k afu tumiikuta haina haluahalua tukapotezeaDiva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!