Kituko: Diva avalishwa pete ya uchumba baada ya kufunga ndoa, Yasemekana ameposwa kwa laki mbili

Kituko: Diva avalishwa pete ya uchumba baada ya kufunga ndoa, Yasemekana ameposwa kwa laki mbili

Mmmmmh ndio ya wiki mbili daaaah,kibaya Zaid divaaa kazama kimahaba na shekh mpk kero
 
Dah,matatizo mengine ni ya kujitakia,kwahiyo Diamond ameshakuwa Mungu...?
 
Huyu dada angetumia condoms tu maisha yake yote, na tuombe zisipasuke kamwe.
 
Wanasema ukistaajabu ya Uwoya kuwa billionaire ikiwa hajulikani anafanya shughuli gani basi utayaona ya Diva kuolewa kwanza halafu ndio kuja kuvalishwa pete na kuposwa!

Mtangazaji Diva jana amevishwa pete ya uchumba na kijana anaye jiita Sheikh na kutangaza uchumba rasmi na Sheikh huyo na ikisemekana posa ya Diva haijazidi shillingi laki mbili!

Diva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!

Kwa upande mwingine Sheikh anasema kuwa mahusiano yake na Diva yana wiki mbili hadi sasa ....

Hata hivyo baada ya kuvishwa pete ya uchumba Diva aliweka wazi kuwa baada ya kufurushwa Clouds Media alipitia kipindi kigumu sana na aliyemuokoa kwenye hali ile ilikuwa Msanii Diamond Platinumz na kumpa ajira ya kutangaza hivyo yeye anamuona Diamond ni “mungu” maana wengine walimuacha ateseke lakini yeye alimshika mkono.

“ Diamond kwangu ni mungu”- alisema Diva

Kwahiyo kaolewa na mganga na posa kajilipia kwa pesa yake
 
Diva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!
Laki 2 kazidiwa na wakijijini anaelipiwa mahari ya ngombe 5
 
Waganga wanna nafasi ya kuwa matajiri kwa usiku mmoja. Dr Mwaka
 
Kiki za kijinga hizo huyo bi dada anapenda kuongelewa, sasa kama hapo alisema kaolewa baada ya siku mbili tena eti anavishwa pete??!!kwanza pete kwa dini hiyo ya kiislam ni wapi na wapi??!!
 
Original East ameshamwaga mboga huko, hakuna ndoa pale, jamaa ni mganga na wengi wa wateja wake ni wanawake.

Hii ndrama ya ndoa ni jamaa kujitakasa mbele ya jamii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi jaman khaaaah
 
Back
Top Bottom