Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka ni mungu siyo MunguKwa TANZANIA tayari tuna mungu?
Diva ameolewa na mganga 🤣🤣🤣🤣🤣Wanasema ukistaajabu ya Uwoya kuwa billionaire ikiwa hajulikani anafanya shughuli gani basi utayaona ya Diva kuolewa kwanza halafu ndio kuja kuvalishwa pete na kuposwa!
We nawe mbea 😆Original East ameshamwaga mboga huko, hakuna ndoa pale, jamaa ni mganga na wengi wa wateja wake ni wanawake.
Hii ndrama ya ndoa ni jamaa kujitakasa mbele ya jamii.
SIO BUKU NI FREEMahari yake ikifika buku mnistue.
Haloo 😂😂😂Diva ameolewa na mganga 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo kaolewa na mganga na posa kajilipia kwa pesa yakeWanasema ukistaajabu ya Uwoya kuwa billionaire ikiwa hajulikani anafanya shughuli gani basi utayaona ya Diva kuolewa kwanza halafu ndio kuja kuvalishwa pete na kuposwa!
Mtangazaji Diva jana amevishwa pete ya uchumba na kijana anaye jiita Sheikh na kutangaza uchumba rasmi na Sheikh huyo na ikisemekana posa ya Diva haijazidi shillingi laki mbili!
Diva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!
Kwa upande mwingine Sheikh anasema kuwa mahusiano yake na Diva yana wiki mbili hadi sasa ....
Hata hivyo baada ya kuvishwa pete ya uchumba Diva aliweka wazi kuwa baada ya kufurushwa Clouds Media alipitia kipindi kigumu sana na aliyemuokoa kwenye hali ile ilikuwa Msanii Diamond Platinumz na kumpa ajira ya kutangaza hivyo yeye anamuona Diamond ni “mungu” maana wengine walimuacha ateseke lakini yeye alimshika mkono.
“ Diamond kwangu ni mungu”- alisema Diva
Laki 2 kazidiwa na wakijijini anaelipiwa mahari ya ngombe 5Diva alitoa taarifa ya kuolewa siku ya wapenda nao na akisema yeye ni mke wa mtu rasmi lakini cha kushangaza jana ilibidi avishwe pete ya uchumba na kutolewa posa ya Tsh laki mbili badala ya million 500 aliyowai kuhitaja kama mahali!
I said mama she's the best but today it hurts me soMom said, son...''did you take time to know her..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi jaman khaaaahOriginal East ameshamwaga mboga huko, hakuna ndoa pale, jamaa ni mganga na wengi wa wateja wake ni wanawake.
Hii ndrama ya ndoa ni jamaa kujitakasa mbele ya jamii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa jamani mbwembwe zote zile,Diva ni wa kuolewa na mganga wa kienyeji tena tapeli?Khaa kweli Dunia duara...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ni lak mbili tu mahari [emoji1787]diva bwana toka milion 500 mpk kuolewa na mganga wa majini