cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda huyo mganga kashamfunga upeo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda huyo mganga kashamfunga upeo wake
This choice I madeI said mama she's the best but today it hurts me so
Halooo ya foma kiboko ya uchafu 🤣Haloo 😂😂😂
Ina flyover [emoji1787][emoji1787][emoji1787]M500!!! kwa papuchi ipi alokuwa nayo? je tuliogonga kwa 100k afu tumiikuta haina haluahalua tukapotezea
flyover ya MEKO hiyo tunapita burreeee asavali ile ya JAKAYA KIGAMBONI BRIDGE inaheshma inalipiwa yaani wanapita wenye pesaIna flyover [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mboni mtafurahi mwakahuu 😂 😂 😂 👌Haloo 😂😂😂
mkuu na wewe imiviona vile vipele vi2 kwenye takoz la shotowana matatizo sana hawa wadada yaani kaliwa goti kapewa kazi anamuita jamaa Mungu loh? Mahari Milioni miatano kwa vipele hivyo vyote mwilini loh, usitukane mamba kabla hujavuka mto nduguyangu
Waganga na wasanii ni Pete na kidoleOriginal East ameshamwaga mboga huko, hakuna ndoa pale, jamaa ni mganga na wengi wa wateja wake ni wanawake.
Hii ndrama ya ndoa ni jamaa kujitakasa mbele ya jamii.
hahaaaa anajidai mahari sijui milioni miangapi kumbe uzwazwa tu ulikua umemjaa ,masela wanapakua kwa bia tu pamoja na mavipele yake na ndomu wanamvalia tena dabo maana haaminikimkuu na wewe imiviona vile vipele vi2 kwenye takoz la shoto