khaa aisee hii balaaaMimi nilienda kwa mama mkubwa wa mchumba wangu,tukakuta kajukuu kake pale kadogo kapo chekechea,ni kajanja sana nikmpa simu yangu nikamuwekea game acheze,nikawa naendelea na story na yule mama mara ghafla kikampelekea simu bibi yake kumuonyesha mi nikajua kamewin ile game kumbe kanamuonyesha video ya porn iliyokuwa mule.Niliishiwa pozi kabisa.
Oyaa siom kweli... haa ah ha haMimi nilikuwa nimeenda kujitambulisha ukweni(nyumbani kwao demu wangu)
Sasa kama ujuavyo familia za kishua tunavua viatu mlangoni tunaingia na kukaa sitting room ghafla kuna katoto ka miaka kama 7 hivi kakarudi kutoka shule kalipofika mlangoni kakachukua soksi zangu kakazibana na kijiti kakaingia nazo sebureni kanauliza kwa sauti "eti mama hizi soksi za nani chafu zimechanika halafu zinanuka vibaya kama mavi ya fungo"
Sebure nzima walicheka kwa sauti yaani niliaibika sana siku hiyo
Sasa wadada wengine huwa wanawadekeza watoto wanawapa simu wachezee hadi unakuta imepasuka vioo kisa akina Juniya.Mim mtoto yeyote hakuna kushika simu yangu
kuna tabia za mwanangu ambazo ni jukumu langu kuzirekebisha yani mimi kuchapa mtoto ni dak sifuri anajua sitakagi ujingaaa... tabia za kipuuzi nakomesha chapKwa aunt analmtoto 5years wa kiume,yaani anawasha gesi inshot ana mambo ya hatari sana,muharibifu,binti wa kazi anakoma,
Nilikuwa zangu jikoni nimepika nikatoka,nikasimama dinning natizama nje,
Yule mtoto sijui alipita muda gani kuelekea jikoni,nashtuka nimebandikwa na kisu cha moto mkononi aisee nilitamani ardhi ipasuke,,,,,alidundwa na mama yake na Mungu akamlaani siku ya pili alikuwa anachezea moto wa mkaa akaukanyaga kwa miguu yote miwili,aliungua vibaya sana,
Siku naondoka kananiambia usiondoke mie nitabaki na nani,aunt nikikumisi utakuja kuniona huku kanalia,
Sijaendaga tena,wanaishia tu kuniambia utakuja lini,
Maana aunt analalamika adumu na wasichana wa kazi,,nikagundua shida ni tabia za mwanae maana mwenyewe yupo poa tu
nahisi inasababishwa pia na malezi ya mama pekee
Sasa wadada wengine huwa wanawadekeza watoto wanawapa simu wachezee hadi unakuta imepasuka vioo kisa akina Juniya.
Mimi kuna dada alikuwaga mpenzi wangu zamani sasa bado tunaiva kwa sababu tuliachana kwa njia ya amani kwa maslahi mapana ya pande zote.
Sasa kuna siku aliniambie niende kwake nikale sikukuu, nikamwambia nakuja na nikaenda.
Nilivyofika akanipakulia pilau, mara kajuniya kakaanza kung'anng'ania TECNO yangu kanataka kacheze game.
Nilivyokuwa nakakatalia kakawa kasumbufu sana, hata kula nikawa siwezi. Mama yake akasema we mpe tu anataka kuchezea tu game, nikakapatia tu kwa shingo upande coz hata mwanangu huwa hachezei simu yangu, nimemnunulia vigari ndio achezee. Kalivyoona simu haina game ya kueleweka kakaifanya simu kama gari kanaiburuza chini, nikamcheki mama yake usoni nikaona ana-enjoy tu. Nilivyojaribu kunyang'anya kakaitupa kule! Nilikawasha kibao hicho kalilia kilio hicho! mimi huyoo
Mie ilikua kwa baba wa nyumba sio mtoto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siamini Kama unakosa experience yoyote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupe hiyoMie ilikua kwa baba wa nyumba sio mtoto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ilikua kwa baba wa nyumba sio mtoto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naileta baadaee dea.Tunaisubiria
Ntaileta baadae.Tupe hiyo
Ilikuwaje dearMie ilikua kwa baba wa nyumba sio mtoto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vitoto vya English medium uwa vina sifa vikiona wageni na wanaovipa bichwa ni wazazi waoAliniuliza kabati la kuwekea nguo kwa kingereza linaitwaje kipindi nipo form nyoya wakuu
Nimetoka zangu senti kayumba najua kingereza cha good morning na can you help me some drinking water tosha katoto kalikuwa English medium
Kabla sijajibu kakataja halafu kakasema sijui nikaaibika sana siku ile
Nilikuja kununua dictionary nikajifunza maneno mengi sana mpaka naweza kukaa na mzungu tukapiga ngeli hata siku nzima
Siwezi kuongea wote mtalia na kuzima simu
NaisubiriNtaileta baadae.
Dah polee,ila hizi nyumba za watu ni shida sana hasa Kwa Hawa wazazi walimbukeni ambao wakipata Hela basi Wana Lea watoto wao vibaya eti kisa uzungu,m kitu ambacho Nina omba kisitokee na sipendi why ni pale mtu atakapo nipiga Kofi aiseee naweza mtoa macho .. mtuMiaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
Tupo Sebuleni tunatizama Habari ITV namsikia kabisa kuwa Kajamba Yeye ila kwakuwa yuko Kwao akanisingizia Mimi na Mimi kwa Hasira sasa nikaamua Kuwajambia Mubashara ambapo Harufu ya Mjambo wangu ikaonekana ni tofauti na yake ndipo Baba yake akamkamata na Kumchapa sana Viboko na baadae Kuniomba Radhi pia.
Kama n KE anaomtaji anajua namna gan ataishi ndio maana hata wazazi wake hawajajisumbua juu yakeMtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.
nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Jinga kabisa huyo mzazi wakeDogo aling'ang'ania miwani Hadi akaivunja hakurizika akatoka nje viatu nilivulia mlangoni akavichukua akavikojolea dada wa kazi akampiga mama mtu akaja juu eti kwanini usingemwambia kwaustarabu maana mtoto hajui chochote niliaga hapo hapo na sijawahi Tena kukanyaga Ile familia