Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Mimi nilienda kwa mama mkubwa wa mchumba wangu,tukakuta kajukuu kake pale kadogo kapo chekechea,ni kajanja sana nikmpa simu yangu nikamuwekea game acheze,nikawa naendelea na story na yule mama mara ghafla kikampelekea simu bibi yake kumuonyesha mi nikajua kamewin ile game kumbe kanamuonyesha video ya porn iliyokuwa mule.Niliishiwa pozi kabisa.
khaa aisee hii balaaa
 
Ila yote haya malezi ndio sababu..si mnakumbuka enzi zile familia mgeni kapewa soda dogo hachezi mbali au anaenda kuleta kikombe umwekee kidogo😂😂😂
 
Hivi nyie vijana mnatoaga wapi haya mawazo?

Ok

Miaka ya nyuma kidogo tulikuwa tukienda kuchunga unabeba maji kwenye ka kibuyu

Sasa wengine badala ya maji ndani unaweka loko wiski ukijua maji utapata hata mbele ya safari..

Sa picha ikawa hivi
Tulikuwa tunapitia ng'ombe za majirani kwenye umoja wetu, sasa naingia mji mmoja nakuta hawajafungulia mifugo nikaambia nisubiri kidogo wanamalizia kukamua.
Sasa mjeda nina buyu langu ndani kuna kalinya yangu a.k.a gongo.
Sasa acha dogo aanze kulilia akijua ni maji
Mi nikamnyima mama yake alinikoromea nikaona upumbavu nikamwambia lakini usimalize.
Dogo kafakamia kama mafunda sita hivi akatoa anadao ni vichungu mara baada ya mda dogo kaanza kuanguka na kuinuka mieleka kama mitatu minne akapitiliza na usingizi.

Mama yake kuona vile kaanza kuhamaki
Alivyoniuliza nikamwambia kapiga pombe buyu langu sibebagi maji.

Asee kuja kumwambia mzee wangu nikapigwa mikwara walipotoka akanambia umefanya la maana sana ile familia ni wajinga saana

Nikasema sipendi ujinga
 
Mimi nilikuwa nimeenda kujitambulisha ukweni(nyumbani kwao demu wangu)
Sasa kama ujuavyo familia za kishua tunavua viatu mlangoni tunaingia na kukaa sitting room ghafla kuna katoto ka miaka kama 7 hivi kakarudi kutoka shule kalipofika mlangoni kakachukua soksi zangu kakazibana na kijiti kakaingia nazo sebureni kanauliza kwa sauti "eti mama hizi soksi za nani chafu zimechanika halafu zinanuka vibaya kama mavi ya fungo"
Sebure nzima walicheka kwa sauti yaani niliaibika sana siku hiyo
Oyaa siom kweli... haa ah ha ha
 
Mim mtoto yeyote hakuna kushika simu yangu
Sasa wadada wengine huwa wanawadekeza watoto wanawapa simu wachezee hadi unakuta imepasuka vioo kisa akina Juniya.

Mimi kuna dada alikuwaga mpenzi wangu zamani sasa bado tunaiva kwa sababu tuliachana kwa njia ya amani kwa maslahi mapana ya pande zote.

Sasa kuna siku aliniambie niende kwake nikale sikukuu, nikamwambia nakuja na nikaenda.
Nilivyofika akanipakulia pilau, mara kajuniya kakaanza kung'anng'ania TECNO yangu kanataka kacheze game.

Nilivyokuwa nakakatalia kakawa kasumbufu sana, hata kula nikawa siwezi. Mama yake akasema we mpe tu anataka kuchezea tu game, nikakapatia tu kwa shingo upande coz hata mwanangu huwa hachezei simu yangu, nimemnunulia vigari ndio achezee. Kalivyoona simu haina game ya kueleweka kakaifanya simu kama gari kanaiburuza chini, nikamcheki mama yake usoni nikaona ana-enjoy tu. Nilivyojaribu kunyang'anya kakaitupa kule! Nilikawasha kibao hicho kalilia kilio hicho! mimi huyoo
 
Kwa aunt analmtoto 5years wa kiume,yaani anawasha gesi inshot ana mambo ya hatari sana,muharibifu,binti wa kazi anakoma,

Nilikuwa zangu jikoni nimepika nikatoka,nikasimama dinning natizama nje,

Yule mtoto sijui alipita muda gani kuelekea jikoni,nashtuka nimebandikwa na kisu cha moto mkononi aisee nilitamani ardhi ipasuke,,,,,alidundwa na mama yake na Mungu akamlaani siku ya pili alikuwa anachezea moto wa mkaa akaukanyaga kwa miguu yote miwili,aliungua vibaya sana,

Siku naondoka kananiambia usiondoke mie nitabaki na nani,aunt nikikumisi utakuja kuniona huku kanalia,

Sijaendaga tena,wanaishia tu kuniambia utakuja lini,

Maana aunt analalamika adumu na wasichana wa kazi,,nikagundua shida ni tabia za mwanae maana mwenyewe yupo poa tu

nahisi inasababishwa pia na malezi ya mama pekee
kuna tabia za mwanangu ambazo ni jukumu langu kuzirekebisha yani mimi kuchapa mtoto ni dak sifuri anajua sitakagi ujingaaa... tabia za kipuuzi nakomesha chap
 
Sasa wadada wengine huwa wanawadekeza watoto wanawapa simu wachezee hadi unakuta imepasuka vioo kisa akina Juniya.

Mimi kuna dada alikuwaga mpenzi wangu zamani sasa bado tunaiva kwa sababu tuliachana kwa njia ya amani kwa maslahi mapana ya pande zote.

Sasa kuna siku aliniambie niende kwake nikale sikukuu, nikamwambia nakuja na nikaenda.
Nilivyofika akanipakulia pilau, mara kajuniya kakaanza kung'anng'ania TECNO yangu kanataka kacheze game.

Nilivyokuwa nakakatalia kakawa kasumbufu sana, hata kula nikawa siwezi. Mama yake akasema we mpe tu anataka kuchezea tu game, nikakapatia tu kwa shingo upande coz hata mwanangu huwa hachezei simu yangu, nimemnunulia vigari ndio achezee. Kalivyoona simu haina game ya kueleweka kakaifanya simu kama gari kanaiburuza chini, nikamcheki mama yake usoni nikaona ana-enjoy tu. Nilivyojaribu kunyang'anya kakaitupa kule! Nilikawasha kibao hicho kalilia kilio hicho! mimi huyoo

Watoto usipomfundisha mapema atakupanda kichwani ,mim mhuwa sidekez watoto labda awe anaumwa ,mtoto wangu alivyoanza kutembea na kuongea akioga namuonyesha kitanda anaenda kulala akisikia usingizi tu ananyooka kitandani sijui maswal ya nibembe mgongoni ,ila bib yao anawadekeza ndio simu yake huchezewa yangu hawagusii [emoji23][emoji23]
 
Aliniuliza kabati la kuwekea nguo kwa kingereza linaitwaje kipindi nipo form nyoya wakuu

Nimetoka zangu senti kayumba najua kingereza cha good morning na can you help me some drinking water tosha katoto kalikuwa English medium

Kabla sijajibu kakataja halafu kakasema sijui nikaaibika sana siku ile

Nilikuja kununua dictionary nikajifunza maneno mengi sana mpaka naweza kukaa na mzungu tukapiga ngeli hata siku nzima
Vitoto vya English medium uwa vina sifa vikiona wageni na wanaovipa bichwa ni wazazi wao
 
Miaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
Dah polee,ila hizi nyumba za watu ni shida sana hasa Kwa Hawa wazazi walimbukeni ambao wakipata Hela basi Wana Lea watoto wao vibaya eti kisa uzungu,m kitu ambacho Nina omba kisitokee na sipendi why ni pale mtu atakapo nipiga Kofi aiseee naweza mtoa macho .. mtu
 
Tupo Sebuleni tunatizama Habari ITV namsikia kabisa kuwa Kajamba Yeye ila kwakuwa yuko Kwao akanisingizia Mimi na Mimi kwa Hasira sasa nikaamua Kuwajambia Mubashara ambapo Harufu ya Mjambo wangu ikaonekana ni tofauti na yake ndipo Baba yake akamkamata na Kumchapa sana Viboko na baadae Kuniomba Radhi pia.

f43fb6ab-2bbe-4363-a213-d9f289827612.jpg
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Kama n KE anaomtaji anajua namna gan ataishi ndio maana hata wazazi wake hawajajisumbua juu yake

Amekalia uchumi


Kama n ME bas Kuna juma lokole na akina deliciousness mwingne anatengenezwa maana amekalia uchumi wa nyuma 0712
 
Dogo aling'ang'ania miwani Hadi akaivunja hakurizika akatoka nje viatu nilivulia mlangoni akavichukua akavikojolea dada wa kazi akampiga mama mtu akaja juu eti kwanini usingemwambia kwaustarabu maana mtoto hajui chochote niliaga hapo hapo na sijawahi Tena kukanyaga Ile familia
Jinga kabisa huyo mzazi wake
 
Back
Top Bottom